Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Issa kiarabu, kiswahili yesu,nyie mna husda sana na chuki, yaani mnazungukazunguka hamueleweki hamtaki nini,si muende mkam-challenge kama mnajiamini sana,midahalo ya kisiasa mnaitaka ya dini hamuitaki
Sawa kwa kiarabu chenu ni issa, lakini issa wa kiarabu kazaliwa kwenye mtende wakati Yesu, Jesus alizaliwa kwenye holi la ng'ombe
 
Ukiangalia tu orodha ya hao wadhamini utagundua huyu ni gaidi ndani ya magaidi wenzake
 
Serikali yetu haihusiki katika mambo ya Imani. We ulitaka ibada Yako iende,jifungie ndani kwako umuabudu Mungu wako.
ZBC2 inafanya nini katika udhamini wa hilo tukio??
 
Vitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
Wavaaa kobazi ndio wanaongoza ndio marefa wa pande zote zenji na bara unafikili watakuelews
 
India ni nchi ya wahindu, waislam ni chini ya Milion 300 katika watu Bilion moja na nusu, na kuna chuki kubws ya wahindu kwa waoslam, kwa Dr. Zakir Naik kupewa kesi ya ugaidi ni issue ya kisiasa tu haimaanishi kwamba kweli ni Gaidi ni kama kesi ya Ugaidi ya Mbowe na Nelson Mandela ilivyokuwa, huyu ni mhubiri wa Dini ni mtu wa midahalo, anaishi Malaysia na wala hakuna Diplimatic Querels baina ya India na Malaysia kwasabab yake. Tanzania ni nchi ambayo haina dini ila wananchi wake wana dini na wana uhuru wa kuabudu. Zanzibar ni nchi ya waislam wengi, kwa Dr. Zakir Naik kufika huko haipaswi kuwa agenda kubwa ya kushupaza shingo. Kila mtu ana uhuru wa kuabdu na kufuata anachoona ni sahihi, kama mijdala ya huyu Dr. Zakir haikuvutii au inakukera haipaswi kukushughulisha kama ambavyo mie niliachaga kumfuatilia.
Acha
 
Reynhard Bonke alikuwa anakuja nchini mara kwa mara kufanya mihadhara kuthibitisha kuwa Ukristo ndiyo dini sahihi kuliko dini zote na Yesu ndiyo njia na uzima. Katika miaka yote hiyo hatukuwahi kusikia Waislam wakiitaka Serikali imzuie. Huu muhadhara ni wa kawaida kama ile ya akina Mazinge. Hakuna aliyelazimishwa kuhudhuria ukitaka nenda hutaki baki nyumbani kwako. Msitake kuzua taharuki isiyo ya lazima. Hii nchi ni ya Watanzania wote na si Wakristo peke yao.
 
Sawa kwa kiarabu chenu ni issa, lakini issa wa kiarabu kazaliwa kwenye mtende wakati Yesu, Jesus alizaliwa kwenye holi la ng'ombe
Hili la ng'ombe halikosi mtende, bethlehem tende kibao,holi siyo ukumbi bali sehemu ng'ombe na mifugo mingine hunywea maji,na muda aliozaliwa yaani mid-summer tende huwa zimeiva
 
Hili la ng'ombe halikosi mtende, bethlehem tende kibao,holi siyo ukumbi bali sehemu ng'ombe na mifugo mingine hunywea maji,na muda aliozaliwa yaani mid-summer tende huwa zimeiva
Wewe endelea kujilisha upepo tu kuwa mid-summer tende huwa zimeiva, sisi tunachojua Isaka ndio mtoto wa Ibrahimu aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinjwa na sio Ishmael kama mlivyoaminishwa.
 
Mimi muislamu lakini mada za dizaini hii, sijui uislamu vs ukristo,muhamad vs Jesus sizifagilii kabisa,kila mmoja abaki na imani yake.

Waislamu kitu ambacho kinatusumbua ni ku resist CHANGE ulimwengu unabadilika bila kubadilisha mitazamo yetu na fikra zetu tutabaki nyuma na kulalamika kila siku. Maisha yamebadilika inabidi tujadili vitu vya maana.
Nani alikuambia dini inabadilika?. Vitu vya maana kwako ni vipi kuliko dini?.
 
Huomkutano unamuhusu huyo shehe na watu waimaniyake.
Jesus anahusika nini kwenyemamboyao, amawanatafuta kiki.

Hawajamaa wamekuwa kama wasanii, msanii akiona anadoda anaanza kutafuta bifu namsanii mkubwa Ili apate tension, nikama willy Paul na Diamond tu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hayo mambo kama hayo ni ujinga tu Serikali inashindwa kuleta wataalamu mbali mbali wanao husika na masuala ya kiuchumi na innovation Halafu wakafanya semina ktk uwanja wa Taifa ili watu wapate elimu ya bure kuhusu maendeleo Wana tuletea mambo ya dini ktk Karne hii period

Shida ni kwamba Viongoz wengi Wana amini ktk kuwatawala watu Kwa kutumia mwamvuli wa Imani za kidini that's why wanaruhusu hayo mambo
 
Vitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
serikali ipi ipinge, hii hii ya mvaa ushungi>......
 
Back
Top Bottom