India ni nchi ya wahindu, waislam ni chini ya Milion 300 katika watu Bilion moja na nusu, na kuna chuki kubws ya wahindu kwa waoslam, kwa Dr. Zakir Naik kupewa kesi ya ugaidi ni issue ya kisiasa tu haimaanishi kwamba kweli ni Gaidi ni kama kesi ya Ugaidi ya Mbowe na Nelson Mandela ilivyokuwa, huyu ni mhubiri wa Dini ni mtu wa midahalo, anaishi Malaysia na wala hakuna Diplimatic Querels baina ya India na Malaysia kwasabab yake. Tanzania ni nchi ambayo haina dini ila wananchi wake wana dini na wana uhuru wa kuabudu. Zanzibar ni nchi ya waislam wengi, kwa Dr. Zakir Naik kufika huko haipaswi kuwa agenda kubwa ya kushupaza shingo. Kila mtu ana uhuru wa kuabdu na kufuata anachoona ni sahihi, kama mijdala ya huyu Dr. Zakir haikuvutii au inakukera haipaswi kukushughulisha kama ambavyo mie niliachaga kumfuatilia.