Punguza kiherehere wewe. Tanzania ni nchi huru na Ina kanuni zake na vigezo vya kumzuia mtu asiingie nchini.Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.
Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?
View attachment 3187483
100%Kwanini huko malaysia hawapati matatizo mpaka kafika hapa bongo kapita transist ngapi hajakamatwa wacheni kujitia wasi wasi kwa mambo yasiyo wahusu!
KabisaaaMuhamed ni cult tu Wala sio mtume Ndio mana hata Biblia haijawahi kutabiri Wala kuandika juu yake! Ujanja ujanja wake ulompa umaarufu basi!
Mbona wakristo mna hofu sana,acheni chuki za kipuuzi,wahubiri wangapi wa kikristo huwa wanakuja TzNimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.
Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?
View attachment 3187483
Ashawai kulipua wapi?Huyo muhubiri apigwe marufuku,ni moja ya mawakala wa ugaidi,tuwe makini nae kukaribisha watu kama hawa nchini ni kuleta mtafaruku hasa ukizingatia mada yake imekaa kichochezi na leo ovu nyuma yake.
Hata mtume wako mudi alikuwa gaidiMbona wakristo mna hofu sana,acheni chuki za kipuuzi,wahubiri wangapi wa kikristo huwa wanakuja Tz
India alilipuaa na ni wanted huko India mbwa huyoooAshawai kulipua wapi?
Acheni uoga wakristo,muende sasa mkapeleke ushaidi wa kimaandiko wa mabikira 72,na mtume kuoa binti mdogoHiyo mada yenyewe tayari imeonyesha kuwa ni kupandikiza chuki au kuleta taharuki za kidini nchini,huyo jamaa ni muslim unadhani ataongea jema gani dhidi ya upande mwingine,!?
Mbaya zaidi hii ishu inakuwa promoted all over the country kwa kupitia media maana yake watu wengi wataifuatilia matokeo yake ni nini,
Tutachukiana sana huku mtaani nani atakubali upande wake ufeli au uonekane inferior..
Labda uniambie kalipua makalio yako hayo makubwa,tofauti na hapo acha kumuita binadamu mwenzio mbwaIndia alilipuaa na ni wanted huko India mbwa huyooo
Sheikh umepotea sheikh..!Mimi muislamu lakini mada za dizaini hii, sijui uislamu vs ukristo,muhamad vs Jesus sizifagilii kabisa,kila mmoja abaki na imani yake.
Waislamu kitu ambacho kinatusumbua ni ku resist CHANGE ulimwengu unabadilika bila kubadilisha mitazamo yetu na fikra zetu tutabaki nyuma na kulalamika kila siku. Maisha yamebadilika inabidi tujadili vitu vya maana.
Wanakujaga na agenda kama hii ya yesu kristo na Muhammad??? Kwa nini asijikite kufundisha mafundisho ya dini yake pekeeMbona wakristo mna hofu sana,acheni chuki za kipuuzi,wahubiri wangapi wa kikristo huwa wanakuja Tz
Ndio unajua leo,hao sio watu mkuuComment za humu zinaonyesha kwa kiasi gani wakristo wa TZ wanachuki na Waislam na kama chuki za kiwango hicho wangekuwa nazo Waislam wa TZ bac kingewaka
Hebuu shangaa hapooWanakujaga na agenda kama hii ya yesu kristo na Muhammad??? Kwa nini asijikite kufundisha mafundisho ya dini yake pekee
Serikali yetu haihusiki katika mambo ya Imani. We ulitaka ibada Yako iende,jifungie ndani kwako umuabudu Mungu wako.Hiyo mada yenyewe tayari imeonyesha kuwa ni kupandikiza chuki au kuleta taharuki za kidini nchini,huyo jamaa ni muslim unadhani ataongea jema gani dhidi ya upande mwingine,!?
Mbaya zaidi hii ishu inakuwa promoted all over the country kwa kupitia media maana yake watu wengi wataifuatilia matokeo yake ni nini,
Tutachukiana sana huku mtaani nani atakubali upande wake ufeli au uonekane inferior..
Mtume mwamposa kongamano lake la kuhubiri ukristo liliua watu zaidi ya 20!! Mbona mlikaa kimiya!?au haikuwa kuvuruga amani? Na kiboko ya wachawi alikuwa Live redioni anagombanisha watu kwa kuwaambia kuwa huyo mama yako mzazi unaeishi nae hapo ndio anakuroga! Hamkuona kama pia nikuhatarisha amani?!Wanakujaga na agenda kama hii ya yesu kristo na Muhammad??? Kwa nini asijikite kufundisha mafundisho ya dini yake pekee
Kwa hio ndio tuletet huyo gaidi kisa mtume mwamposa kongamano lake liliua watu 20???huyo mwamposa unayemsema ushaona anajadili wazi yesu na Muhammad??? Ni context tunaongelea hapa...hizi ni chuki baina ya makundi makubwa ya dini,is it necessary ndio ujiulize...hilo gaidi lenu lingekuja kumuongelea Muhammad hamna mtu angehangaika naloMtume mwamposa kongamano lake la kuhubiri ukristo liliua watu zaidi ya 20!! Mbona mlikaa kimiya!?au haikuwa kuvuruga amani? Na kiboko ya wachawi alikuwa Live redioni anagombanisha watu kwa kuwaambia kuwa huyo mama yako mzazi unaeishi nae hapo ndio anakuroga! Hamkuona kama pia nikuhatarisha amani?!
Acheni chuki za kipuuzi