Man filandu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 412
- 402
Sawa kwa kiarabu chenu ni issa, lakini issa wa kiarabu kazaliwa kwenye mtende wakati Yesu, Jesus alizaliwa kwenye holi la ng'ombeIssa kiarabu, kiswahili yesu,nyie mna husda sana na chuki, yaani mnazungukazunguka hamueleweki hamtaki nini,si muende mkam-challenge kama mnajiamini sana,midahalo ya kisiasa mnaitaka ya dini hamuitaki
Ni kuleta hofuHivi ugaidi ni nini maana yake?!
Wavaaa kobazi ndio wanaongoza ndio marefa wa pande zote zenji na bara unafikili watakuelewsVitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
AchaIndia ni nchi ya wahindu, waislam ni chini ya Milion 300 katika watu Bilion moja na nusu, na kuna chuki kubws ya wahindu kwa waoslam, kwa Dr. Zakir Naik kupewa kesi ya ugaidi ni issue ya kisiasa tu haimaanishi kwamba kweli ni Gaidi ni kama kesi ya Ugaidi ya Mbowe na Nelson Mandela ilivyokuwa, huyu ni mhubiri wa Dini ni mtu wa midahalo, anaishi Malaysia na wala hakuna Diplimatic Querels baina ya India na Malaysia kwasabab yake. Tanzania ni nchi ambayo haina dini ila wananchi wake wana dini na wana uhuru wa kuabudu. Zanzibar ni nchi ya waislam wengi, kwa Dr. Zakir Naik kufika huko haipaswi kuwa agenda kubwa ya kushupaza shingo. Kila mtu ana uhuru wa kuabdu na kufuata anachoona ni sahihi, kama mijdala ya huyu Dr. Zakir haikuvutii au inakukera haipaswi kukushughulisha kama ambavyo mie niliachaga kumfuatilia.
Hili la ng'ombe halikosi mtende, bethlehem tende kibao,holi siyo ukumbi bali sehemu ng'ombe na mifugo mingine hunywea maji,na muda aliozaliwa yaani mid-summer tende huwa zimeivaSawa kwa kiarabu chenu ni issa, lakini issa wa kiarabu kazaliwa kwenye mtende wakati Yesu, Jesus alizaliwa kwenye holi la ng'ombe
Kwake ajafa mwambie yupo wp anakuletea picha ya Mwamposa ndio yesu wao. Alie hai!!Wote wamekufa
Wewe endelea kujilisha upepo tu kuwa mid-summer tende huwa zimeiva, sisi tunachojua Isaka ndio mtoto wa Ibrahimu aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinjwa na sio Ishmael kama mlivyoaminishwa.Hili la ng'ombe halikosi mtende, bethlehem tende kibao,holi siyo ukumbi bali sehemu ng'ombe na mifugo mingine hunywea maji,na muda aliozaliwa yaani mid-summer tende huwa zimeiva
Nani alikuambia dini inabadilika?. Vitu vya maana kwako ni vipi kuliko dini?.Mimi muislamu lakini mada za dizaini hii, sijui uislamu vs ukristo,muhamad vs Jesus sizifagilii kabisa,kila mmoja abaki na imani yake.
Waislamu kitu ambacho kinatusumbua ni ku resist CHANGE ulimwengu unabadilika bila kubadilisha mitazamo yetu na fikra zetu tutabaki nyuma na kulalamika kila siku. Maisha yamebadilika inabidi tujadili vitu vya maana.
HuelewekiKwake ajafa mwambie yupo wp anakuletea picha ya Mwamposa ndio yesu wao. Alie hai!!
Mungu wako nanHueleweki
Kobaz ata YESU alivaa na kanzu juu ukimuona YESU kwenye picha kavaa suti chini moka mkague usoni uyo MWAMPOSAVijana wa Kobazi katika ubora wao😄
Kwa mantiki hii Hawa wadhamini wanaunga mkono ugaidi? Kama kweli jamaa anatuhumiwa hii ni red flag,Hao wadhamini hapo chini uwezi waona kwenye tamasha la TYK
serikali ipi ipinge, hii hii ya mvaa ushungi>......Vitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
AllahMungu wako nan