Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Waathirika wakubwa wa matendo ya boko haramu ni waisilam hata wale wanafunzi wa choboko waliotekwa %70 ya wanafunzi hao walikuwa waisilam.
Ni sawa na dereva mlevi anayesababisha ajali kwa familia yake anayoiendesha.
 
Hakuna nchi Dr.Zakir Naik hajawahi alikwa. Kama warranty ya kumkamata ingekuwa halali asingevuka kote.Mwezi huu kaanza Uganda,wiki hii yuko kenya, January ataanzia Tanzania. Kama tumekubali tuna kuna uhuru, basi tuvumilie wanaopenda kujifunza mawazo mapya, wakamsikilize
 
Waathirika wakubwa wa matendo ya boko haramu ni waisilam hata wale wanafunzi wa choboko waliotekwa %70 ya wanafunzi hao walikuwa waisilam.
Asante kwa jibu moja. Je naweza kupewa kibali kumhuburi Yesu Uarabuni ? Je, Zanzibar tu naweza kupewa ardhi ya kujenga Kanisa? Nikinyimwa sio chuki ya kidini ?
 
Muacheni aje tu, na apewe uhuru wa kuhubiri mahubiri yake, akileta mahubiri ya chuki kugawa watanzania aambiwe tanzania haina utamaduni huo. Na akishupaza shingo akamatwe na kutiwa misusuko mpaka wahubiri dizaini yake waiogope tanzania kuwa ni nchi isiyo ya kidini na haiongozwi kwa misingi ya dini ila watu wake wana dini wanazoziamini
 
Mbogo mpe kichwa cha habari tu.....ahahahaa

Sasa hata mada yenyewe haijazungumzwa watu washatililika...

Afu mwamposa anawabuluza watu kawe haaaa kimyaaa.....chau nyieee
 
Mimi shida yangu iko sehemu moja tu; Jesus anahusika vipi na hiyo shughuli yao?
 
kula tano
 
Kataa Udini Wanatuonea Wivu utulivu tulionao japokuwa Kuna changamoto zetu Tunazo, Wanatamani kuona vikundi vya Magaidi Tanzania
 
Serikali yetu kwa namna inavyotutendea ni kama wanafanana na huyo.
 
Hili ni jambo la kawaida kwa Awamu ya 6, kama ilivyokuwa Awamu ya pili!
Vuumilieni sindano iwaingie.
MTANIKUMBUKA
yale mamidahalo ya kipuuzi ya kina mazinge, kinyogoli na wapuuzi wengine yalianzia hapo. Ni kama ya mpuuzi huyu anayesakwa na india kwa madhambi yake
 
Hakuna anayepambana na chochote, hata ushoga, drugs, ujambazi imeshindikana kumaliza, sembuse dini. Lakini ukweli uko wazi uislam una chuki na dhamira mbaya kwa ukristo kwa vitendo, sheria na mafundisho ya Quran. Mkristo hatakiwi kulalamika au akijieleza, ataambiwa ni sheria zao. Wakiuana kwenye nchi zao za kiislam,, wanakimbilia nchi hizo hizo wanazoita makafiri wala nguruwe na mashoga.
 
India ni nchi ya wahindu, waislam ni chini ya Milion 300 katika watu Bilion moja na nusu, na kuna chuki kubws ya wahindu kwa waoslam, kwa Dr. Zakir Naik kupewa kesi ya ugaidi ni issue ya kisiasa tu haimaanishi kwamba kweli ni Gaidi
Mkuu huna uhakika kama ni Gaidi ama sio Gaid, usihitimishe!
huyu ni mhubiri wa Dini ni mtu wa midahalo,
Hujui ugaidi waislamu wameusambaza sana kupitia Dini? Refer Tanzania na Kenya
kama mijdala ya huyu Dr. Zakir haikuvutii au inakukera haipaswi kukushughulisha kama ambavyo mie niliachaga kumfuatilia.
Hoja ya Muhusika ni issue ya Kidiplomasia, Ungejibu kama kidiplomasia inaleta shida ama la
 
Pumbafuuu Kabisa Huyo gaidi anakuja kufanya Nini Kwetu,,Mambo ya Yesu Sijui Mohammad yanatusaidia Nini Sisi!??? please Serikali kataeni upuuuzi Huo..Kazi kuingilia Dini za Watu Tuu.Tuache ..Takataka Hiyo hatuitaki Hapa.
duh! Mpaka maustaadh wanampinga ndugu yao wa imaan hii kali
 
JESUS AND MUHAMMAD

PEACE BE UPON THEM

BROTHERS IN FAITH



Mwisho wa siku sisi sote tunajua lengo hasa la hizi dini za kigeni.
 
Kwahiyo mkuu unataka waislamu wasimzungumzie Jesus japo wanamtambua kama mtume kwao?
Jesus au Yesu kristo ni tofauti kabisa na mtume wao wanaomtambua kama Issa bin Marium. Wao wamulinganishe huyo na mtume Mohamed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…