Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.
Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?
View attachment 3187483
Naona umepindisha kidoogo story yako ilitakiwa isomeke hivi , "
"Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini anayesakwa na India kwa kuwasilimisha wahindu na wakristo wengi kwa hoja zilizo wazi kutua nchini? "
Huyo ni mwanafunzi wa ahmed deedat (Allah awe radhi naye) ni moja ya mada'i wakubwa mno duniani amefanys ziara nchi nyingi sana kulingania dini na Allah (the almighty) amejaaliia yeye kuwa sababh tya mamilionj ya wahindu , wakristo na wabudha kuupokea uislamu kwa hoja zilizo wazi kabisa.
Huyu mwamba amehifadhi QURAN, BIBLIA , VEDAS , UPANISHAD na vitabu vengine va uhindu, pia ni msomi wa Afya ya mwili wa binadamu , hii inawafanya watu wengi washindwe pa kumbana na maswali maana Allah (the almighty) amemjaalia kipawa kama hicho anakupiga na hoja za kitabu chaako mwenyewe 🤣 achana na wakina mazinge.
Halafu kama haujui tu mbona alishafika Tanzania 2017 na akafanya ziara yake kisha akaondoka na mwaka kesho ndo anarudi tena so hii si mara yakee ya kwanza .
N.B
Mwalimu wake Ahmed deedat (Allah awe radhi naye) naye alikuwa da'ai na aliwahi kum challenge papa john paul II kwenye mdahalo wa kidini na akamwambia papa achague ukumbi anaotaka yeye na atalipia gharama zote ila sharti kila kitu kirikodiwe na kisambazwe ulimwenguni Papa akachomoa , enzi zake ndo kulikuwa na miamba wa kikristo si sasa hivi kuwataja wachache
1. Reverend jimmy swaggart
2. Reverend anis shorosh
3.Reverend stanley sjoberg
4.Reverend eric bock
5. Pastor robert douglas
6. Reverend john gilchrist
7. Professor floyd E. Clark
8. Pastor R.P.D Green
9. Pope john paul II ( Aligoma mdahalo)
10. Billy graham (Aligoma mdahalo)