Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

"Waislamu wanaritadi kwa maelfu" 😂😂😂 shushia kwanza maji mkuu sawa ? Hii itabaki kuwa ndoto ila jua hivi kwa kila muislamu mmoja anayeritadi nyuma yake kuna wakristo elfu kumi wanasilimu just angalia dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani ulete hapa hizo data just few google searches.

Halafu kwenye mdahalo wa jamaa unaruhusiwa kuichambua biblia kama ulivyosema ndiyo maana ninataraji uende pale ukiwa na hoja zako hizo 😂 Nasubiri kwa hamu mkuu .
Jibu limepatikana. Huyo mhubiri anakuja kutafuta wakristo awasilimishe. Lakini Uarabuni ni marufuku mkristo kumhuburi hata tu kumtaja Yesu. Chuki, mauaji ugaidi na uislam ni Pete na kidole.
 
😂😂 sijataja taja tu hayo yote kwa kuropoka nina aya specific zinazopoint hayo yote vipi unataka nikuwekee ? Nasubiri jibu lako
Hueleweki. Biblia imeandika makosa na kuonya, ulitakaje isionye. Manabii walipoonya waliruhusu, ushoga, uzinzi nk. Kuna amri 10 zinazokataza dhambi. Je, MUNGU alipoziandika alitahadharisha au aliruhusu. The same na Quran ilipoandika maovu yasifanywe.
 
Huwa nashangaa sana hawa wahubiri wanao toka nje kuja kufundisha dini na imani, kwanza mawasilisho yao hayaeleweki kwa urahisi kwa sababu ya lugha zao, pili hapa nchini kuna waalimu na wahubiri na wataalamu wa hizo imani vipi tumeshindwa kuwasikiliza wao hadi wa nje waje watulinganie dini.

Hakujawahi kuwa na faida ya moja kwa moja kutoka kwa watu hao kamwe.
Lakini wazungu waje sio au waislamu tu
 
Huyo muhubiri apigwe marufuku,ni moja ya mawakala wa ugaidi,tuwe makini nae kukaribisha watu kama hawa nchini ni kuleta mtafaruku hasa ukizingatia mada yake imekaa kichochezi na leo ovu nyuma yake.
Kuna ushahidi wowote wa kigaidi ulionao dhidi yake? Kuhusu mada yake usihofu, kwa maana imeandikwa kwenye Biblia Takatifu ya kwamba kila kinywa kitakiri ya kwamba Yesu ni Bwana! Sasa Bingwa vitamkiri vipi kama havimuongelei?
 
Akina Ibrahim, Daudi na Daniel tukiwaongelea bado mtaleta vurugu. Injili hamuitambui, na Yesu mnamuongelea kiislam sio kweli kama mnatambua. Yesu alishiriki meza ya Bwana. Yesu alimzumgumzia Roho mtakatifu. Yesu alikufa msalabani. Yote haya hamuyakubali.
Kwa hiyo kwenye mahubili yenu huwa hamuwaongelei manabii hao?
 
Vitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
Amealikwa na nani? Mdahalo utaendshwaje? Nani ataenda kuwa upande wa Yesu? Au Kanisa la Wasabato kama kawaida Yao?
 
Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.

Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?

View attachment 3187483
"India also has reciprocal extradition arrangements with the following 10 countries: Fiji, Italy, Papua New Guinea, Singapore, Sri Lanka, Sweden, Tanzania, Thailand, Croatia and Peru."

 
Pumbafuuu Kabisa Huyo gaidi anakuja kufanya Nini Kwetu,,Mambo ya Yesu Sijui Mohammad yanatusaidia Nini Sisi!??? please Serikali kataeni upuuuzi Huo..Kazi kuingilia Dini za Watu Tuu.Tuache ..Takataka Hiyo hatuitaki Hapa.
Wewe kama nani? Nenda kwa mwamposa ukanunue udongo wa milioni moja ili upate utajiri. Atakuja na Wakiristo wenye akili wataenda kumsikiliza ,tena uwanja utajaa
 
Waisilam hawajawahi kumshindanisha Yesu na Muhammad kwa sababu kwa mujibu wa uisilam wote walikuwa manabii wa Mungu wenye daraja sawa.
Ok. Sasa waweza fahamu huu muhadhara una mantiki gani? Na je ushawahi hudhuria mihadhara ya namna hiyo kipindi cha nyuma?
 
"India also has reciprocal extradition arrangements with the following 10 countries: Fiji, Italy, Papua New Guinea, Singapore, Sri Lanka, Sweden, Tanzania, Thailand, Croatia and Peru."


Nimeona alivyopigwa maswali nchini Kenya, muhubiri Dr. Zakir Naik amepanick sana, ana dharau kwa wauliza maswali, anadharau elimu ya wauliza maswali, anadharau ya asili ya mtu, anadharau na imani ya mtu ... ni mtu anayelenga kukosoa imani ya mtu na siyo kuhubiri imani yake anayoamini ..

26 December 2024
Nairobi, Kenya

Lecture : Prophet Muhammad in the Bible - Dr. Zakir Naik | Talk + Q&A | Kenya, East Africa

View: https://m.youtube.com/watch?v=C4jvfQRrXg8
 
Usishangazwe na hilo ..........pia hapa si alikuja yule mturuki mwenye ugomvi na ErdoÄŸan.........anaitwa fetula gulen ...........mbona hakukamatwa na wala hakukuwa na ugomvi kati ya Tanzania na uturuki...............tena jamaa alitaka kupindua serikali ya Ankara kabisa ........ila ikashindikana
 
Nimeona alivyopigwa maswali nchini Kenya, muhubiri Dr. Zakir Naik amepanick sana, ana dharau kwa wauliza maswali, anadharau elimu ya wauliza maswali, anadharau ya asili ya mtu, anadharau na imani ya mtu ... ni mtu anayelenga kukosoa imani ya mtu na siyo kuhubiri imani yake anayoamini ..

26 December 2024
Nairobi, Kenya

Lecture : Prophet Muhammad in the Bible - Dr. Zakir Naik | Talk + Q&A | Kenya, East Africa

View: https://m.youtube.com/watch?v=C4jvfQRrXg8


Hata Sheikh wetu nchini Tanzania, mwanazuoni Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania aliwahi kuonya juu ya dhehebu moja kuanza fitna, misuguano, kutishiana n.k dhidi la dhehebu jingine, wakati wote ni dini moja ya ki-Islamu..

19 January 2023
Dar es Salaam, Tanzania

SHEIKH ABUU - HATARI INAKUJA TUSIPOTOA TAHADHARI KWA HAYA YANAYOENDELEA



Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania ametoa tahadhari hiyo kwa kuwa inaweza kupelekea amani kuvunjika nchini Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi CV (wasifu) yake imesheheni nyadhifa kadha wa kadha sawia na maktaba yake binafsi iliyosheni mabuku juu ya mabuku ya elimu duniya na ilm ya dini pia ktk utumishi ulitukuka kwa dini na jamii.

Pia sheikh Abuu Iddi ni imamu mkuu msikiti wa Masjid Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam. Pia kwa miaka 16 amekuwa akiendesha kipindi ktk kituo cha televisheni cha Channel Ten kutoa daawa na darsa, mratibu Al Risala Foundation, Mratibu wa Kudumisha Amani katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwandishi wa kitabu kinachokwenda kwa jina Misingi 15 ya amani, mwandishi wa makala katika gazeti kubwa la Mwananchi pia ni Mshauri wa dini na jamii wa Mufti Mkuu wa Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi ameelekeza tahadhari hii hususan kwa madhehebu ya Sunni Saudia na Shia linaloegamia Iran, Pakistani, India yanayo shambuliana kupitia propaganda kutoka maeneo mbalimbali ya dunia ya mitandao ya kijamii wakiongozwa na viongozi wao wenye ushawishi wa kisiasa wa ndani na nje ya nchi kuchochea misuguano
 
Nifafanue nini na Watu wake wenyewe huko India hawamtaki,wanamuona ni Mchochezi?.kwamba sisi ndio tupo smart sana tusiwaamini India?.
Anakuja akitokea uganda.. ugaidi gani kafanya Uganda?..yaani unawaamini wahindi, unajua kiendeleacho india Kati ya wahindu (serikali) na waislam?
 
Hata Sheikh wetu nchini Tanzania, mwanazuoni Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania aliwahi kuonya juu ya dhehebu moja kuanza fitna, misuguano, kutishiana n.k dhidi la dhehebu jingine, wakati wote ni dini moja ya ki-Islamu..

19 January 2023
Dar es Salaam, Tanzania

SHEIKH ABUU - HATARI INAKUJA TUSIPOTOA TAHADHARI KWA HAYA YANAYOENDELEA



Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania ametoa tahadhari hiyo kwa kuwa inaweza kupelekea amani kuvunjika nchini Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi CV (wasifu) yake imesheheni nyadhifa kadha wa kadha sawia na maktaba yake binafsi iliyosheni mabuku juu ya mabuku ya elimu duniya na ilm ya dini pia ktk utumishi ulitukuka kwa dini na jamii.

Pia sheikh Abuu Iddi ni imamu mkuu msikiti wa Masjid Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam. Pia kwa miaka 16 amekuwa akiendesha kipindi ktk kituo cha televisheni cha Channel Ten kutoa daawa na darsa, mratibu Al Risala Foundation, Mratibu wa Kudumisha Amani katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwandishi wa kitabu kinachokwenda kwa jina Misingi 15 ya amani, mwandishi wa makala katika gazeti kubwa la Mwananchi pia ni Mshauri wa dini na jamii wa Mufti Mkuu wa Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi ameelekeza tahadhari hii hususan kwa madhehebu ya Sunni Saudia na Shia linaloegamia Iran, Pakistani, India yanayo shambuliana kupitia propaganda kutoka maeneo mbalimbali ya dunia ya mitandao ya kijamii wakiongozwa na viongozi wao wenye ushawishi wa kisiasa wa ndani na nje ya nchi kuchochea misuguano

Mnapenda kujitia hofu,huyo kishafika,kama una swali kamuulize
 
Huyuu jamaa ni alqaida ni gaidi sana asije Tanzania 🇹🇿 kabisaa
 
Back
Top Bottom