Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mitume na mikesha yao walikuwa wanahubiri kuhusu nn afu huyu mhindi anakuja kuongea nn? Ww huoni point ya huo mkutano inahusu nn ww huoni kuna tatizo tayari hapo?Midahalo ya wale mitume na mikesha ya maombezi kwa Mkapa inaruhusiwa ila kwa huyu mhindi ukakasi unatoka wapi? Atahubiri kama wale wazungu wengine tu tuwe wavumilivu
Muhammad sio mtume wa wote kwa sababu nyinyi hamumtambui na wala kwenye Bible yenu haimtamui.Kama Yesu ni WA wote na Mohamed ni mtume wa wote msikasirike au kukereka akihubiriwa na kuchambuliwa msiamzishe jazba na vurugu. Quran iko wazi na tunayo.
Id zinazo anzisha mijadala hiyo hapa jf zina julikana na zote milengo yao ya kidini inajulikana.Kwani atheist hawezi kufanya hivyo??
Hujawahi kuona watu wasio na vyama vya siasa wakati wa uchaguzi wanaichagua CCM au CHADEMA??
Huu ni ushahidi tosha kuwa watu wanaofanya kazi za Mungu hupigwa vita kwelikweli, hata Yesu alipigwa vita na watu wake mpaka alisalitiwa na mwanafunzi wake.Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.
Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?
View attachment 3187483
Mbona hata Makonda amepigwa marufuku USA, wakati huku kwetu ni mkuu wa mkoa?Wewe kilaza hata TV ya huyo sheikh imepigwa marufuku na kufungiwa nchi nyingi tu zikiwemo Uingereza na Canada. Unaelewa tolerance kubwa ya kidini iliyopo Uingereza ukipigwa ban ina maana una matatizo makubwa sana??
Kwani wakristo wana hati miliki ya yesu kiasi kwamba hatakiwi kujadiliwa na watu wengine tofauti na wao?Mi nadhani, na kwa maoni yangu... Huyu muhubiri kuja ni sawa na haki kabisa, maana kila dini inahitaji kulishwa zaidi neno inaloliamini. Na Tanzania dini kuu ni mbili, so uislam na waislam wana haki ya kumsikiliza mfuasi wao anasema nini... Changamoto kubwa na mzozo ulipo ni aina ya mada anazotarajiwa kuzitoa (soma bango) ikiwemo hiyo ya JESUS (pbuh) na MUHAMMED (saw). Hiyo ni kutengeneza chuki ya wazi au kuchochea mabishano na mgogoro wa kiimani na kidini (kama unaoendelea hapa) usiokua wa lazima. Nadhani kama angeandika tu heading kwamba mada kuu ni kuhusu Mtume MUHAMMAD (saw), let say na maisha yake duniani, sidhani kama kungekua na tension ya namna hii.
Na mamlaka kuruhusu "heading" ya namna hii ni mapungufu makubwa, nikiamini mamlaka inajua madhara ya midahalo au mahubiri ya mtu wa Imani moja kuzungumzia imani nyingine. Ni wazi haitakua kwa kusifia bali kuponda. Refer kipindi cha kina Sheikh Mponda na mihadhara ya pale Kinondoni biafra (nadhani) enzi hizo, na pale msikiti wa mtambani. So yale matatizo ndio yanaanza kujijenga taratibu taratibu. Mbaya zaidi mwakani tunaingia kwenye uchaguzi, tusipozuia haya mapema, basi yamkini determinant ya uchaguzi ikawa mambo haya ya udini.
So tuwaombee busara viongozi wetu walione hili kwa jicho la karibu na wafanye maamuzi sahihi kwa faida na mustakabali wa taifa letu.
Ni hayo tu!
Yaani Ina maana wewe uko vizuri kwenye usalama Zaid ya waliopewa jukum la kwenye hiko kitengo??Huyo muhubiri apigwe marufuku,ni moja ya mawakala wa ugaidi,tuwe makini nae kukaribisha watu kama hawa nchini ni kuleta mtafaruku hasa ukizingatia mada yake imekaa kichochezi na leo ovu nyuma yake.
Sasa unaniuliza hayo maswali mm naishi huko uarabuni?Asante kwa jibu moja. Je naweza kupewa kibali kumhuburi Yesu Uarabuni ? Je, Zanzibar tu naweza kupewa ardhi ya kujenga Kanisa? Nikinyimwa sio chuki ya kidini ?
Kwa hoja hiyo ina onesha kuwa hao ni wahuni wasaka madaraka hawana uhusiano wowote na dini.Ni sawa na dereva mlevi anayesababisha ajali kwa familia yake anayoiendesha.
Diplomasia Ina mipaka yake kiongozi, alafu kuwa kwenye diplomasia sio kupangiwa Kila kitu.Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.
Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?
View attachment 3187483
Kwani mkuu nyinyi mna hati miliki ya yesu mpaka watu wengine wasiwe na haki ya kumuongelea isipo kuwa nyinyi?Mimi shida yangu iko sehemu moja tu; Jesus anahusika vipi na hiyo shughuli yao?
Samahani, wewe hutoi kibali, je serikali za Uarabuni wanaweza kunipa kibali kumhuburi Yesu na kumponda Mohamed?Sasa unaniuliza hayo maswali mm naishi huko uarabuni?
Kwa hiyo sasa hivi Tz waisilam wakitaka muhubili dini yao waombe ruhusa kwenu nyinyi wakristo?
Unaona ni sahihi dini moja kuzungumzia mambo ya dini nyingine? Au ni bora zaidi kila dini ikajikita kwenye malengo yake mahsusi?Kwani mkuu nyinyi mna hati miliki ya yesu mpaka watu wengine wasiwe na haki ya kumuongelea isipo kuwa nyinyi?
Kumbuka Yesu ni nabii kwenye uisilam.
Osama hakuanzisha Alqida ili kupambana na dini zingine bali akianzisha kundi hilo kupambana na uvamizi na uporaji wa Marekani na vibaraka wake kwenye nchi za watu wengine.Wanao uhusiano na dini,
Itikadi za dini ndio zimewaongoza kufanya hivyo.