KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Tumekuwa mbuzi wa kafara kwenye nchi yetu

Hii ni sawa na kusema, tunakula sisi wanashiba wao

Wanaugua wao tunakufa sisi

Inawezekana nchi yetu kuwa si ya kihuni

Kataa ccm
 
Nikitoa maoni kutoka kwenye heading ya uzi.

Hivi neno ”Mh” linapaswa kutumiwa ktk mazingira gani?anayeitwa hivyo anapaswa awe na nini au atende nini ili ku-fit ndani ya hilo neno?au labda kamusi ya Kiswahili imeandikwa upya....sijui!
Una hoja

Ni rasimi sasa kumwita kwa majina yake bila kitangulizi cha uheshimiwa wake maana usitahili wa neno hilo hana!
 
Nilikuwa naona kwenye media kwamba tozo kwenye LUKU zinapanda kimya kimya leo baada ya kununua LUKU ya 10,000/= na nimeambulia unit 10 pekee badala ya 28. Ile kuchungulia makato nikakuta "Debit" - Tsh.6000+ na kujikuta kati ya elfu 10 nimelipia umeme wa elfu tatu tu!

Hii imesababishwa na nini wakati kila mwezi lazima umeme ununuliwe? Haya makato yametoka wapi?
View attachment 3035158
Canite yote imejaa majitu ya madili dili tu
 
Nilikuwa naona kwenye media kwamba tozo kwenye LUKU zinapanda kimya kimya leo baada ya kununua LUKU ya 10,000/= na nimeambulia unit 10 pekee badala ya 28. Ile kuchungulia makato nikakuta "Debit" - Tsh.6000+ na kujikuta kati ya elfu 10 nimelipia umeme wa elfu tatu tu!

Hii imesababishwa na nini wakati kila mwezi lazima umeme ununuliwe? Haya makato yametoka wapi?
View attachment 3035158
1720282197827.jpg
 
Kwamba haya mambo ndio yamemvutia sana Mch Msigwa hadi ameona ccm inaleta maendeleo kwa kasi na I awali wananchi.
Hizo ndio zinaitwa akili za ndezi!
Inafika muda unaangalia na masilahi yako binafsi tujaribu kuwaelewa, hao watu washapitia misukosuko wakati sisi tupo humu mitandaoni sasa ajabu bado tunataka waendelee tu kutufurahisha kwa kuwa wapinzani ilihali tunajua hakuna watakachoweza kubadilisha bila nguvu yetu sisi ambao tumejificha humu mitandaoni.

Wenzetu Kenya wananchi wameamua kufanya walichoona wanaweza kufanya ili kupata wananchoona sahihi kwao ila sisi bado ndio kwanza tunakazana kulaumu mwanasiasa kutoka upinzani kwenda chama tawala.
 
Inafika muda unaangalia na masilahi yako binafsi tujaribu kuwaelewa, hao watu washapitia misukosuko wakati sisi tupo humu mitandaoni sasa ajabu bado tunataka waendelee tu kutufurahisha kwa kuwa wapinzani ilihali tunajua hakuna watakachoweza kubadilisha bila nguvu yetu sisi ambao tumejificha humu mitandaoni.

Wenzetu Kenya wananchi wameamua kufanya walichoona wanaweza kufanya ili kupata wananchoona sahihi kwao ila sisi bado ndio kwanza tunakazana kulaumu mwanasiasa kutoka upinzani kwenda chama tawala.
Ukiona huyawezi jiondoe na kukaa kimya. Lakini huwezi kutafuta uongozi na watu wakakupigania ukawa kiongozi wao kisha ghafla uyapinge yale ulikuwa ukiwahubiria kisa maslahi yako binafsi.
Mkuu nadhani wewe unaweza kuwa na familia, sasa kila siku uwe unaipigia kelele kuhusu madhara ya ushoga, halafu ghafla ukumbuke maslahi yako binafsi na uamue kuwa shoga!
Hapo unaona ni sawa tuu?
 
Ukiona huyawezi jiondoe na kukaa kimya. Lakini huwezi kutafuta uongozi na watu wakakupigania ukawa kiongozi wao kisha ghafla uyapinge yale ulikuwa ukiwahubiria kisa maslahi yako binafsi.
Mkuu nadhani wewe unaweza kuwa na familia, sasa kila siku uwe unaipigia kelele kuhusu madhara ya ushoga, halafu ghafla ukumbuke maslahi yako binafsi na uamue kuwa shoga!
Hapo unaona ni sawa tuu?
Kosa lake hapo ni lipi? Ana uhuru wa kubadili misimamo yake na kuangalia maslahi yake lazima tuheshimu hilo hauna deni nae, yani ulitaka miaka yake yote aendelee kuwa mpinzani na apitie misukosuko ya upinzani kisa kuwafurahisha nyie.

Kenya hawakuhitaji kuwalaumu wanasiasa bali wamechukua hatua wenyewe kwa namna wanayoona inafaa ila sisi kazi lawama tu mwanasiasa akihama chama lawama tunamuona adui, watu wakishabikia mpira na muziki lawama.

Haya yote ni kwa sababu tumekuwa na maneno mengi kuliko vitendo, yani tunataka sie tuongee humu halafu vitendo wafanye wengine ndio maana tunalawama za kijinga jinga.
 
Kosa lake hapo ni lipi? Ana uhuru wa kubadili misimamo yake na kuangalia maslahi yake lazima tuheshimu hilo hauna deni nae, yani ulitaka miaka yake yote aendelee kuwa mpinzani na apitie misukosuko ya upinzani kisa kuwafurahisha nyie.

Kenya hawakuhitaji kuwalaumu wanasiasa bali wamechukua hatua wenyewe kwa namna wanayoona inafaa ila sisi kazi lawama tu mwanasiasa akihama chama lawama tunamuona adui, watu wakishabikia mpira na muziki lawama.

Haya yote ni kwa sababu tumekuwa na maneno mengi kuliko vitendo, yani tunataka sie tuongee humu halafu vitendo wafanye wengine ndio maana tunalawama za kijinga jinga.
Ulimuona Lowassa alivyohama CCM kuja Chadema na baadae kurudi? Alitukana mtu au kuwakebehi upande wowote? Kafulila aka Tumbili umeona akitukana au kusimama kukebehi alikotoka? Na wapo wengi tuu wamehama lakini hawajafanya upuuzi huwa na maamuzi yao yameheshimiwa.
Kwa nini huyu? Jiulize.
 
24215612581
9002241922014596431
11.2KWH

3706 9710 9756 6366 7594

Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00

Mwenye UELEWA anieleweshe hiki wanachokifanya TANESCO ni nini??
 
24215612581
9002241922014596431
11.2KWH

3706 9710 9756 6366 7594

Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00

Mwenye UELEWA anieleweshe hiki wanachokifanya TANESCO ni nini??
Hujanunua umeme miezi mitatu iliyopita. Yani mara ya mwisho ulinunua mwezi wa 4. So wamechukua tozo ya miezi mitatu shilingi 2000 kila mwezi jumla 6000
 
Back
Top Bottom