Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hujanikomoa lakn!Raisi wangu nitajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujanikomoa lakn!Raisi wangu nitajiri
Hahahahaaa..[emoji23]Ametoa Dr John Pombe Magufuli, jembe kutoka Chato.
Kusingekuwa na uchaguzi mwaka huu wananchi wa kusini wangezisikia bilioni 20 kwenye bomba.Homa ya uchaguzi imepanda!!
Ndiyo maana yakeInamaana korosho haijauzwa ama haikuuzika?
Ametoa Dr John Pombe Magufuli, jembe kutoka Chato.
Kusingekuwa na uchaguzi mwaka huu wananchi wa kusini wangezisikia bilioni 20 kwenye bomba.
Ndiyo maana yake
Alafu kuna watanzania,kwa ujinga tu,wanataka upinzani ufe!!!Kabisa ndiyo walikuwa wameshadhulumiwa na zingepelekwa chato. Yaani wameuza korosho tangu 2019 wanalipwa mwaka mmoja baadaye! 😳
Wamshukuru Membe na zaidi washukuru upinzani bado una nguvu tena kubwa tu.Hofu ya October 25 2020 inaleta neema kwa wakulima.
Comment deleted!Wamshukuru Membe na zaidi washukuru upinzani bado una nguvu tena kubwa tu.