Hivi mtwara si ndo kuna gesi na bahari? Kwa nni inazidiwa uchumi na MAENDELEO na jiji la Mwanza lenye ziwa na milima tu? R.I.P wote waliouliwa wakati wa vuguvugu la kuzuia gesi isitoke Mtwara. Ntwara kuchereee
Ni wakati sasa wananchi kufanya maamuzi magumu kutuma ujumbe kwa wanasiasa Oktoba 2020 kuwa wamechoka ahadi hewa.