Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
πππAmetoa Dr John Pombe Magufuli, jembe kutoka Chato.
Alafu kuna watanzania,kwa ujinga tu,wanataka upinzani ufe!!!
Jiwe si ajiuzulu tu na kushtakiwa alinde heshima yake
Mimi nakumbuka korosho ziliuzwa zote na wote walilipwa tena kwa wakati...Inamaana korosho haijauzwa ama haikuuzika?
Sasa hiii serikali inatoa ys niniMimi nakumbuka korosho ziliuzwa zote na wote walilipwa tena kwa wakati...
Mpwa itakua fitna tu za kumchafua Mwenyekiti wetu, taarifa zipo wazi kabisa kuwa walishalipwa na kwamba ambaye hajalipwa ni wale waliokua na madeni fekiSasa hiii serikali inatoa ys nini
Mali Kauli
Zilibanguliwa na kombora mkuu.Inamaana korosho haijauzwa ama haikuuzika?
Daaah! Huyu kweli ni rais wa wanyonge,yaaani rais katoa bilion 20 kwenye mshahara wake!!!!!!!!????? Kama thread inavyojieleza,au Mimi sijaelewa? Amezitoa wakati muafaka karibia Oct 2020. Korosho zilinunuliwa msimu uliopita mwaka Jana zinalipwa ndani ya muda mwezi mmoja kabla ya msimu mwingine wa ununuzi wa korosho!!!!! Hongera rais wetu mwenye moyo mzuri kwa wanyonge19 Jul 2020
Mtwara, Tanzania
Serikali imetoa shilling bilioni 20 za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho. "Rais Magufuli ametoa fedha hizi kwa ajili ya Tandahimba, Masasi, Mtwara na Kibiti kwa ajili ya waliokuwa wamelipwa nusu, waliolipwa kiasi na wasiolipwa kabisa. Fedha hizi zitaanza kulipwa kesho asubuhi," Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametoa kauli hii leo (Jumapili, Julai 19, 2020) wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Msingi (AMCOS) cha Matogoro na wakazi wa Tandahimba mkoani Mtwara alikoenda kuhamasisha maandalizi ya msimu wa ununuzi wa korosho.
Source : Azam TV
For sure mkuu.Ni rushwa,km rushwa nyngne tu...
Majitu hayaelewi bila Membe kutangaza nia upinzani wangeisoma namba. Wawaulize watumishi wa umma( hakuna Cha annual increanment Tena kwa mujibu wa katiba)Comment deleted!
Hivi mtwara si ndo kuna gesi na bahari? Kwa nni inazidiwa uchumi na MAENDELEO na jiji la Mwanza lenye ziwa na milima tu? R.I.P wote waliouliwa wakati wa vuguvugu la kuzuia gesi isitoke Mtwara. Ntwara kuchereee16 Julai 2020
Mtwara vijijini
Tanzania
''TUNAPANDA KWENYE MIKOROSHO KUTAFUTA MAWASILIANO''.
Shida kubwa ya mawasiliano ya simu, barabara, shule ya sekondari , zahanati , hakuna maji safi yalito salama kwa wananchi sehemu ya Moma pia Afisa Mtendaji wa Kata athibitisha kero hizo.
Source : HTv Tanzania