BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Sina mengi wenyewe mmeona kwenye mechi ya Leo tarehe 23 April 2023 wakicheza Yanga na Rivers United huko Nigeria
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mjuzi wa mpira lakini nauliza kwani beki haruhusiwi kushambulia kwenye goli la timu pinzani?Sina mengi wenyewe mmeona kwenye mechi ya Leo tarehe 23 April 2023 wakicheza Yanga na Rivers United huko Nigeria
Naomba kuwasilisha
Inawezekana lakini sio kwa pass zile za kiufundi, zile ni pass za kiforward au kiungoSiyo mjuzi wa mpira lakini nauliza kwani beki haruhusiwi kushambulia kwenye goli la timu pinzani?
Hakikaaa!!! Ilihali sie tumeshinda jana na wala haturingiDuuh hawa jamaa wakishindaga daah hapakaliki!!!
Mkuu mi nimeshauri tu, sio kwa ubayaDuuh hawa jamaa wakishindaga daah hapakaliki!!!
Hakikaaa!!! Ilihali sie tumeshinda jana na wala haturingi
Hawajiongezi hataaa!!!Na tumemfunga bingwa mtetezi
Wenyewe nimewaambia hivyo wamenitumia hii!Na tumemfunga bingwa mtetezi
Member since Dec. 2022!Mnachezea tano Kwa mkapa jipangeni
Wewe JINGA kweli.Ungejua hata usinge screen shot bwam mdogo hii ni id mpya ukiachana na I’d zangu kama 20 hivi... first time kujiunga jf I think ni 2005... are you ok young boy
Kwa ujinga wako unaona unaakili nyingi na unajiita kitimoto— unaliwa kila siku