Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jana si umeshinda hujakatazwa kushangilia ushindi wa timu yako.Duuh hawa jamaa wakishindaga daah hapakaliki!!!
Na sisi tumemfunga aliyemfunga bingwa mtetezi.Na tumemfunga bingwa mtetezi
We jana si umeshinda hujakatazwa kushangilia ushindi wa timu yako.
Aizn = Chatera.
Pumbav u
Aizn = Chatera.
Pumbav u
Leo tumekutengenezea kilo 2 umeondoka nazo alafu hapa unajifanya sijui uli, eeee.kitimoto wewe haramu kwa sisi hatuli nguruwe kaa pembeni n then siwez jibizana na kilaza kama wewe siwezi kukujibu mtu mjinga kabsa bora nitafute sehemu ya ibada nikaimbe mapambio ntapata chochote
Leo tumekutengenezea kilo 2 umeondoka nazo alafu hapa unajifanya sijui uli, eeee.
Hii tabia ya kipa kubinuka makalio juu na kamguu hewani kama anasikilizia utamu wa MKUYENGE sio nzuri kwa kweli [emoji1787]View attachment 2597470
Na sisi tumemfunga aliyemfunga bingwa mtetezi.
Lakin kwakwe Wydad si alipigwa mbili? Halafu umesahahu kama kupigwa nyingi ni kutokuwa na akili, wewe ushapigwa tano mara ngapi ktk misimu minne iliyopita ina maana na ww ilikuwa hauna akili?Alipigwa sita huyo aliyemfunga bingwa mtetezi sasa mtu na akili zake anafungwaje sita
Huyo ambaye hajui kupiga pasi alimpiga Wydad mbili.Mimi nimemfunga bingwa mtetezi wewe umemfunga nan? Wewe umekutana na timu hata pass haiwezi kupiga
Alipompiga WYDAD mbili akafika wapi??si alitolewa akaangukia kwenye Kombe la LOOSERS au,hii tabia ya kipa wenu kubinuka makalio juu ni tabia ya kichokoHuyo ambaye hajui kupiga pasi alimpiga Wydad mbili.
Tatizo lenu mnasahau sana,huyo aliyebunika makilo juu ni mchezaji wa nani?Alipompiga WYDAD mbili akafika wapi??si alitolewa akaangukia kwenye Kombe la LOOSERS au,hii tabia ya kipa wenu kubinuka makalio juu ni tabia ya kichokoView attachment 2597484