Serikali imfanyie uchunguzi Mwamnyeto, inawezekana ni forward au kiungo halafu anatuzuga ni beki

Serikali imfanyie uchunguzi Mwamnyeto, inawezekana ni forward au kiungo halafu anatuzuga ni beki

Ungejua hata usinge screen shot bwam mdogo hii ni id mpya ukiachana na I’d zangu kama 20 hivi... first time kujiunga jf I think ni 2005... are you ok young boy

Achana na Aizn tafuta I’d Kwa jina la Aizna na nyingine nyingi tu ambazo siwezi kuziweka waz kijana sana wewe

Kila mwaka lazima nifungue id zisizopungua 7 au 8


Kwa ujinga wako unaona unaakili nyingi na unajiita kitimoto— unaliwa kila siku
JF unajua ilianzishwa lini
 
JF unajua ilianzishwa lini

Alaf ukishajua ilianzishwa lini? Unapata faida gani? Babu yako wa tano kutoka huyo babu yako unayemfahamu amezaliwa lini?

Acha upunguhani wewe ndio maana mnazidi kufa masikini bado uangalie maisha yako unahifadhi vitu vya kijinga kichwani na hata haujui tulikuwa tunazozana nini? Na chanzo nn! Unadandia gari tu Kwa mbele
 
Ungejua hata usinge screen shot bwam mdogo hii ni id mpya ukiachana na I’d zangu kama 20 hivi... first time kujiunga jf I think ni 2005... are you ok young boy

Achana na Aizn tafuta I’d Kwa jina la Aizna na nyingine nyingi tu ambazo siwezi kuziweka waz kijana sana wewe

Kila mwaka lazima nifungue id zisizopungua 7 au 8


Kwa ujinga wako unaona unaakili nyingi na unajiita kitimoto— unaliwa kila siku
Wewe JF si imeanza 2007 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom