Mtu_ bakize
Senior Member
- Jul 8, 2018
- 157
- 214
N suala la muda tu watoto wa Nabii hawaSina mengi wenyewe mmeona kwenye mechi ya Leo tarehe 23 April 2023 wakicheza Yanga na Rivers United huko Nigeria
Naomba kuwasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N suala la muda tu watoto wa Nabii hawaSina mengi wenyewe mmeona kwenye mechi ya Leo tarehe 23 April 2023 wakicheza Yanga na Rivers United huko Nigeria
Naomba kuwasilisha
Aiii umeshika kwenye natiii nazani atakutajia subiri
JF unajua ilianzishwa liniUngejua hata usinge screen shot bwam mdogo hii ni id mpya ukiachana na I’d zangu kama 20 hivi... first time kujiunga jf I think ni 2005... are you ok young boy
Achana na Aizn tafuta I’d Kwa jina la Aizna na nyingine nyingi tu ambazo siwezi kuziweka waz kijana sana wewe
Kila mwaka lazima nifungue id zisizopungua 7 au 8
Kwa ujinga wako unaona unaakili nyingi na unajiita kitimoto— unaliwa kila siku
JF unajua ilianzishwa lini
Acc. March 2023.Mwanaume kasema hatokujibu chochote- tafuta mwanaume mwingine uko sawa wewe
Ushamba na ulimbukeni tu unawasumbuaHakikaaa!!! Ilihali sie tumeshinda jana na wala haturingi
Ebu nitajie timu zilizochezaji Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika mwaka 1998!Kombe la shirikisho Ni la yanga , period
Wewe JF si imeanza 2007 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Ungejua hata usinge screen shot bwam mdogo hii ni id mpya ukiachana na I’d zangu kama 20 hivi... first time kujiunga jf I think ni 2005... are you ok young boy
Achana na Aizn tafuta I’d Kwa jina la Aizna na nyingine nyingi tu ambazo siwezi kuziweka waz kijana sana wewe
Kila mwaka lazima nifungue id zisizopungua 7 au 8
Kwa ujinga wako unaona unaakili nyingi na unajiita kitimoto— unaliwa kila siku