Serikali imfanyie uchunguzi Mwamnyeto, inawezekana ni forward au kiungo halafu anatuzuga ni beki

We jana si umeshinda hujakatazwa kushangilia ushindi wa timu yako.

Mimi nimemfunga bingwa mtetezi wewe umemfunga nan? Wewe umekutana na timu hata pass haiwezi kupiga
 
Aizn = Chatera.

Pumbav u

Ndio maana wanakutukana yaani umeona mimi ni Aizn , hata kwenda kwenye profile uone hua naanzisha maada gani na Aizn anaanzisha maada gani umeshindwa?
 
Aizn = Chatera.

Pumbav u

kitimoto wewe haramu kwa sisi hatuli nguruwe kaa pembeni n then siwez jibizana na kilaza kama wewe siwezi kukujibu mtu mjinga kabsa bora nitafute sehemu ya ibada nikaimbe mapambio ntapata chochote
 
kitimoto wewe haramu kwa sisi hatuli nguruwe kaa pembeni n then siwez jibizana na kilaza kama wewe siwezi kukujibu mtu mjinga kabsa bora nitafute sehemu ya ibada nikaimbe mapambio ntapata chochote
Leo tumekutengenezea kilo 2 umeondoka nazo alafu hapa unajifanya sijui uli, eeee.
 
Hii tabia ya kipa kubinuka makalio juu na kamguu hewani kama anasikilizia utamu wa MKUYENGE sio nzuri kwa kweli [emoji1787]
 
Alipigwa sita huyo aliyemfunga bingwa mtetezi sasa mtu na akili zake anafungwaje sita
Lakin kwakwe Wydad si alipigwa mbili? Halafu umesahahu kama kupigwa nyingi ni kutokuwa na akili, wewe ushapigwa tano mara ngapi ktk misimu minne iliyopita ina maana na ww ilikuwa hauna akili?

Halafu hii comment yako naihifazi tutakumbushana baada ya marudiano na Wydad.
 
Alipompiga WYDAD mbili akafika wapi??si alitolewa akaangukia kwenye Kombe la LOOSERS au,hii tabia ya kipa wenu kubinuka makalio juu ni tabia ya kichokoView attachment 2597484
Tatizo lenu mnasahau sana,huyo aliyebunika makilo juu ni mchezaji wa nani?



Kwani wewe Wydad umempiga ngapi? Kwa hiyo unaona tayari ushamtoa. Maana ushindi wako na Rivers ni sawa tena mwenzako kampiga mbili Wydad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…