Serikali imfanyie uchunguzi Mwamnyeto, inawezekana ni forward au kiungo halafu anatuzuga ni beki

JF unajua ilianzishwa lini
 
JF unajua ilianzishwa lini

Alaf ukishajua ilianzishwa lini? Unapata faida gani? Babu yako wa tano kutoka huyo babu yako unayemfahamu amezaliwa lini?

Acha upunguhani wewe ndio maana mnazidi kufa masikini bado uangalie maisha yako unahifadhi vitu vya kijinga kichwani na hata haujui tulikuwa tunazozana nini? Na chanzo nn! Unadandia gari tu Kwa mbele
 
Wewe JF si imeanza 2007 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Siku mkifungwa mnasema kauza mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…