Serikali imlipe Tundu Lissu gharama zake za matibabu

Serikali imlipe Tundu Lissu gharama zake za matibabu

Aende mahakamani ili spare haki yake,pia kuna wanasheria wehu tu
Na mwanya na ushahidi wa kwenda nao Mahakamani ndio huo ameshaupata..

Wameichelewesha tu haki yake, lakini mwisho wa siku karma itawalazimisha kutenda haki huku wakiwa wamenuna....
 
Serikali hii ipo tayari kuwalipa wasanii na kwenda nao kuzurura Korea ya Kusini, lakini si kumlipa Tundu Lissu stahiki zake Kwa mujibu wa sheria!😳
Siyo hivyo tu inashindwa kujenga matundu ya choo , kuweka madawati kwenye shule zenye Hali mbaya, lakini ni Hela ya Kupeleka manungayembe Korea IPO .

Kwanza hivi wale wazee Afrika Mashariki walishalipwa haki zao au wote ni marehemu and the game is over.

Na huu utaratibu wa kuzungusha malipo Hata kwenye tender/project walizotangaza wao wenyewe ni shida. Mfano yule mfanyabiasha wa Arusha aliyekuwa analia Kupelekea kufirisika.
 
Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
Yaani alipwe mara mbili? Wananchi tumchangie na serikali impe tena?
 
Back
Top Bottom