Serikali imsaidie binti huyu alie katika hatihati ya kuacha masomo ya Chuo kikuu Kwa sababu ya kuponzwa na Shule za private

Serikali imsaidie binti huyu alie katika hatihati ya kuacha masomo ya Chuo kikuu Kwa sababu ya kuponzwa na Shule za private

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Kazaliwa 2003.

Chekechea na Primary: Shule ya English Medium...


O- level : Private

Advance : Private.


Kafika chuo kanyimwa bumu( boom)

Hajawa allocated.

Heslb wana mzungusha tu . Wanasema kanyimwa mkopo Kwa sababu Heslb wali estimate kwamba mzazi wake ana uwezo WA kumlipia ada ya Chuo ambayo ni ndogo Kuliko ile aliyo kuwa analipa kwenye shule za private.


Kumbe mzazi wake alikuwa ana bana Bana tu hana hata hela masikini ni kapuku.

Binti Sasa hivi yupo mwaka wa pili. Mwaka wa kwanza Kuna mitihani kaifanya kama special kwa sababu hiyo hiyo ya changamoto ya ada.

Mwaka huu Kuna mtihani pia hajafanya na yupo chupu chupu kusimamishwa Chuo.

Ada yenyewe anayo takiwa kulipa semester hii ni shilingi laki 4 tu mzazi kakosa kapata laki 2 wameikataa


Ombi langu Kwa serikali mruhusuni binti huyu afanye mitihani Yake.

Wapeni bumu watoto waliosoma shule za EMs na private Kwa sababu wazazi wao wengi hawajielewi wanajibana bana tu kulipa shule za EMs lakini ni masikini WA kutupwa.

Na ninyi wazazi msio na uwezo acheni kuharibu future za watoto wenu Kwa kijitutumua kulipa Ems wakati hamna uwezo .

Wakifika Chuo wanasumbuliwa na kwenye wana sumbuliwa pia.
 
Umeenda bodi ya mkopo ofisi zao ukakata rufaa? Au unaandika hapa nani akusaidie? Fata taratibu anzia Chuo anachosoma aonane na loan officer Kuna karatasi atapewa atasainiwa pia kisha ataenda kwa mkuu wa Chuo chake then ataipeleka ofisi za bodi ya mkopo huko ndiko wataona kama anafaa apewe.. au weka namba yake ya form 4 hapa
 
Chuo Ada Mil 1.5 maximum hafu miaka 3 wakati uko Chekechea ada hadi Mil 4 kwa mwaka, primary 7 years secondary 4 years + 2 years za Advance.

Wazazi waache janja janja wamsomeshe mtoto wao.
Mkuu kuna changamoto huwa zinatokea, pengine Biashara kuyumba au kupoteza kazi nk, huu mkopo si atatakiwa kuulipa badae?, mbona kuna masharti ya kipuuzi hivyo kama vile hatatakiwa kulipa baadae?.
 
Umeenda bodi ya mkopo ofisi zao ukakata rufaa? Au unaandika hapa nani akusaidie? Fata taratibu anzia Chuo anachosoma aonane na loan officer Kuna karatasi atapewa atasainiwa pia kisha ataenda kwa mkuu wa Chuo chake then ataipeleka ofisi za bodi ya mkopo huko ndiko wataona kama anafaa apewe.. au weka namba yake ya form 4 hapa
Kote Huko ameenda na vyote hivyo amefanya kote hola. Anaweza kusaidika Kweli?
 
Kazaliwa 2003.

Chekechea na Primary: Shule ya English Medium...


O- level : Private

Advance : Private.


Kafika chuo kanyimwa bumu( boom)

Hajawa allocated.

Heslb wana mzungusha tu . Wanasema kanyimwa mkopo Kwa sababu Heslb wali estimate kwamba mzazi wake ana uwezo WA kumlipia ada ya Chuo ambayo ni ndogo Kuliko ile aliyo kuwa analipa kwenye shule za private.


Kumbe mzazi wake alikuwa ana bana Bana tu hana hata hela masikini ni kapuku.

Binti Sasa hivi yupo mwaka wa pili. Mwaka wa kwanza Kuna mitihani kaifanya kama special kwa sababu hiyo hiyo ya changamoto ya ada.

Mwaka huu Kuna mtihani pia hajafanya na yupo chupu chupu kusimamishwa Chuo.

Ada yenyewe anayo takiwa kulipa semester hii ni shilingi laki 4 tu mzazi kakosa kapata laki 2 wameikataa


Ombi langu Kwa serikali mruhusuni binti huyu afanye mitihani Yake.

Wapeni bumu watoto waliosoma shule za EMs na private Kwa sababu wazazi wao wengi hawajielewi wanajibana bana tu kulipa shule za EMs lakini ni masikini WA kutupwa.

Na ninyi wazazi msio na uwezo acheni kuharibu future za watoto wenu Kwa kijitutumua kulipa Ems wakati hamna uwezo .

Wakifika Chuo wanasumbuliwa na kwenye wana sumbuliwa pia.
Huwa sielewi vigezo wanavyotumia helsb kugawa mikono
 
Kazaliwa 2003.

Chekechea na Primary: Shule ya English Medium...


O- level : Private

Advance : Private.


Kafika chuo kanyimwa bumu( boom)

Hajawa allocated.

Heslb wana mzungusha tu . Wanasema kanyimwa mkopo Kwa sababu Heslb wali estimate kwamba mzazi wake ana uwezo WA kumlipia ada ya Chuo ambayo ni ndogo Kuliko ile aliyo kuwa analipa kwenye shule za private.


Kumbe mzazi wake alikuwa ana bana Bana tu hana hata hela masikini ni kapuku.

Binti Sasa hivi yupo mwaka wa pili. Mwaka wa kwanza Kuna mitihani kaifanya kama special kwa sababu hiyo hiyo ya changamoto ya ada.

Mwaka huu Kuna mtihani pia hajafanya na yupo chupu chupu kusimamishwa Chuo.

Ada yenyewe anayo takiwa kulipa semester hii ni shilingi laki 4 tu mzazi kakosa kapata laki 2 wameikataa


Ombi langu Kwa serikali mruhusuni binti huyu afanye mitihani Yake.

Wapeni bumu watoto waliosoma shule za EMs na private Kwa sababu wazazi wao wengi hawajielewi wanajibana bana tu kulipa shule za EMs lakini ni masikini WA kutupwa.

Na ninyi wazazi msio na uwezo acheni kuharibu future za watoto wenu Kwa kijitutumua kulipa Ems wakati hamna uwezo .

Wakifika Chuo wanasumbuliwa na kwenye wana sumbuliwa pia.
Bado phase nyingine kubwa kuliko- ya kukosa ajira
 
Huyo mzazi pamoja na wazazi wote vilaza kama huyo ni WA kutiwa viboko tu pumbavu kwanini unamtesa mtoto wako namna hiyo.

WA Kayumba WaPo wanasoma Chuo yeye binti Yake anakosa masomo
Sujui nani kawadanganya wazazi wa siki hizi kwamba ukisoma shule za serikali hufanikiwi.

Wakurugenzi wote wa mshirika, mawaziri na wabunge wamesonea shule hizi hizi.

Hizi nyingine ni Anasa tu kama unataka Mwanao Aweze ku Enjoy pesa za Wazazi kwa kusoma mazingira mazuri.

Lakini kama kipato chako cha kuunga unga wekeza kwenye uwekezaji utamsaidia mtoto baadae
 
Kazaliwa 2003.

Chekechea na Primary: Shule ya English Medium...


O- level : Private

Advance : Private.


Kafika chuo kanyimwa bumu( boom)

Hajawa allocated.

Heslb wana mzungusha tu . Wanasema kanyimwa mkopo Kwa sababu Heslb wali estimate kwamba mzazi wake ana uwezo WA kumlipia ada ya Chuo ambayo ni ndogo Kuliko ile aliyo kuwa analipa kwenye shule za private.


Kumbe mzazi wake alikuwa ana bana Bana tu hana hata hela masikini ni kapuku.

Binti Sasa hivi yupo mwaka wa pili. Mwaka wa kwanza Kuna mitihani kaifanya kama special kwa sababu hiyo hiyo ya changamoto ya ada.

Mwaka huu Kuna mtihani pia hajafanya na yupo chupu chupu kusimamishwa Chuo.

Ada yenyewe anayo takiwa kulipa semester hii ni shilingi laki 4 tu mzazi kakosa kapata laki 2 wameikataa


Ombi langu Kwa serikali mruhusuni binti huyu afanye mitihani Yake.

Wapeni bumu watoto waliosoma shule za EMs na private Kwa sababu wazazi wao wengi hawajielewi wanajibana bana tu kulipa shule za EMs lakini ni masikini WA kutupwa.

Na ninyi wazazi msio na uwezo acheni kuharibu future za watoto wenu Kwa kijitutumua kulipa Ems wakati hamna uwezo .

Wakifika Chuo wanasumbuliwa na kwenye wana sumbuliwa pia.
Unapomsomesha mtoto shule za ada kubwa ni ujinga na upunguani kama hautaweza kumalizia kumsomesha Chuo Kikuu kwenye ada ndogo kuliko kule chini
 
Sujui nani kawadanganya wazazi wa siki hizi kwamba ukisoma shule za serikali hufanikiwi.

Wakurugenzi wote wa mshirika, mawaziri na wabunge wamesonea shule hizi hizi.

Hizi nyingine ni Anasa tu kama unataka Mwabao Aweze ku Enjoy pesa za Wazazi kwa kusoma mazingira mazuri.

Lakini kama kipato chako cha kuunga unga wekeza kwenye uwekezaji utamsaidia mtoto baadae
100% Fact
 
Unapomsomesha mtoto shule za ada kubwa ni ujinga na upunguani kama hautaweza kumalizia kumsomesha Chuo Kikuu kwenye ada ndogo kuliko kule chini
Kabisa na usiishie hapo tu akimaliza chuo mfungulie na kampuni kabisa
 
Back
Top Bottom