muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Matako yako!, ulitaka aweke kila details zake hapa!, choko wahed.Wewe pia ni mpumbavu. Mwandishi wa uzi kasema mzazi kafariki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matako yako!, ulitaka aweke kila details zake hapa!, choko wahed.Wewe pia ni mpumbavu. Mwandishi wa uzi kasema mzazi kafariki?
ada ya chuo na boom ni ndogo kweli ,mzazi atimize wajibu wakeKazaliwa 2003.
Chekechea na Primary: Shule ya English Medium...
O- level : Private
Advance : Private.
Kafika chuo kanyimwa bumu( boom)
Hajawa allocated.
Heslb wana mzungusha tu . Wanasema kanyimwa mkopo Kwa sababu Heslb wali estimate kwamba mzazi wake ana uwezo WA kumlipia ada ya Chuo ambayo ni ndogo Kuliko ile aliyo kuwa analipa kwenye shule za private.
Kumbe mzazi wake alikuwa ana bana Bana tu hana hata hela masikini ni kapuku.
Binti Sasa hivi yupo mwaka wa pili. Mwaka wa kwanza Kuna mitihani kaifanya kama special kwa sababu hiyo hiyo ya changamoto ya ada.
Mwaka huu Kuna mtihani pia hajafanya na yupo chupu chupu kusimamishwa Chuo.
Ada yenyewe anayo takiwa kulipa semester hii ni shilingi laki 4 tu mzazi kakosa kapata laki 2 wameikataa
Ombi langu Kwa serikali mruhusuni binti huyu afanye mitihani Yake.
Wapeni bumu watoto waliosoma shule za EMs na private Kwa sababu wazazi wao wengi hawajielewi wanajibana bana tu kulipa shule za EMs lakini ni masikini WA kutupwa.
Na ninyi wazazi msio na uwezo acheni kuharibu future za watoto wenu Kwa kijitutumua kulipa Ems wakati hamna uwezo .
Wakifika Chuo wanasumbuliwa na kwenye wana sumbuliwa pia.
Usijifanye mwamba hapa mpuuzi mmoja wewe! Unatumia jina mama Samia halafu huna akili. Ubongo wako umejaa tope tu. Idiot!Pumbavu wewe. Mnaweza kuchanga harusi watu wakatiane kihalali ila kuchanga mtoto akasome hamuwezi.
Unamaanisha shule hizi? Au kuna shule nyingine za serikali unazo zungumzia?Sujui nani kawadanganya wazazi wa siki hizi kwamba ukisoma shule za serikali hufanikiwi.
Wakurugenzi wote wa mshirika, mawaziri na wabunge wamesonea shule hizi hizi.
Hizi nyingine ni Anasa tu kama unataka Mwanao Aweze ku Enjoy pesa za Wazazi kwa kusoma mazingira mazuri.
Lakini kama kipato chako cha kuunga unga wekeza kwenye uwekezaji utamsaidia mtoto baadae
Ada za chuo na EM hazitofautiani sana,Chuo Ada Mil 1.5 maximum hafu miaka 3 wakati uko Chekechea ada hadi Mil 4 kwa mwaka, primary 7 years secondary 4 years + 2 years za Advance.
Wazazi waache janja janja wamsomeshe mtoto wao.
1.Hukupata division One au two kama ulisoma sayansi.Mimi nilikosa mkopo na ni kayumba. Nikaja kupata mwaka wa pili baada ya kumtumia mtu ambaye sasa ni Waziri serikalini.
Akiyekwambia kusoma kayumba ni guarantee ya kupata mkopo kakudanganya.