Serikali imsaidie binti huyu alie katika hatihati ya kuacha masomo ya Chuo kikuu Kwa sababu ya kuponzwa na Shule za private

Serikali imsaidie binti huyu alie katika hatihati ya kuacha masomo ya Chuo kikuu Kwa sababu ya kuponzwa na Shule za private

Serikali itoe haki SAWA Kwa wote. Tena hii sijui asilimia ndio upuuzi ambao hautakiwi.
Huu ni mkopo na utalipwa. Au kama vipi wakati watoto wanaomba mikopo kuwe na kipengele cha kujaza mwanafunzi mwenyewe anataka asilimia ngapi.
Watu wanadhani private ni ghali sana. Mfano 1,800,000# kwa mwaka ni kama 6000# TU Kila siku. Kwahiyo hata boda boda akiwa serious akiacha visungura, anasomesha mtoto private. So, serikali iache ushamba. Private sio Gali kiivyo, kwanza wanasaidiwa. Hizi private zisingekuwepo serikali isingeweza peke yake.
 
Hakuna kayumba anae kosa mkopo Chuo Nakataa kwa asilimia zote
Kipindi mimi nasoma nilikosa mkopo mzee wangu na nimesoma kayumba

Pia alivyoingia mama ndo Mambo yote yamevurugika fanya tafiti Mimi sishabikii private wala medium nazungumza reality

Saa hz wanachuo hata wa kayumba hawana tumaini la mkopo kama sisi kipindi Cha miaka mitano nyuma...
 
Kipindi mimi nasoma nilikosa mkopo mzee wangu na nimesoma kayumba

Pia alivyoingia mama ndo Mambo yote yamevurugika fanya tafiti Mimi sishabikii private wala medium nazungumza reality

Saa hz wanachuo hata wa kayumba hawana tumaini la mkopo kama sisi kipindi Cha miaka mitano nyuma...
Ulikuwa unasoma kozi gani Chuo gani?
 
Huyo mzazi pamoja na wazazi wote vilaza kama huyo ni WA kutiwa viboko tu pumbavu kwanini unamtesa mtoto wako namna hiyo.

WA Kayumba WaPo wanasoma Chuo yeye binti Yake anakosa masomo
mkuu,hawa wa EM umewakomalia kweli,wakigeuka unao wakilala unao,wakitaka kufurukuta unao. mmmh unatisha mkuu.
 
Hizi siku mbili tatu mbona mada zae Em na kayumba zimesimamia ukucha?

Ni kampeni ya kuwasaidia wazazi wenye watoto wanaosoma Ems ambao Hadi Sasa watoto WaPo nyumbani hawajaenda shule Kwa ajili ya ada, wafanye maamuzi sahihi mapema wawatoe watoto Wao Ems wawarudishe Kayumba watoto wapate kujumuika na wenzao shuleni.
 
Kwani huko chuo hao wazazi wameshindwa kujibanabana kama walivyojibana huko private

Watoto wenye wazazi wasioweza hata kujibanabana japo hata kidogo ni wengi zaidi hivyo waendelee kuipunguzia Serikali yetu tukufu mzigo wa ada
 
Kwani huko chuo hao wazazi wameshindwa kujibanabana kama walivyojibana huko private?

Watoto wenye wazazi wasioweza hata kujibanabana japo hata kidogo ni wengi zaidi hivyo waendelee kuipunguzia Serikali yetu tukufu mzigo wa ada kwani mahitaji ni makubwa kuliko uwezo wa kubeba gharama zote
 
Hakuna kayumba anae kosa mkopo Chuo Nakataa kwa asilimia zote
Mimi nilikosa mkopo na ni kayumba. Nikaja kupata mwaka wa pili baada ya kumtumia mtu ambaye sasa ni Waziri serikalini.

Akiyekwambia kusoma kayumba ni guarantee ya kupata mkopo kakudanganya.
 
Pepo la umasikini unalo wewe. Linakutia umasikini in the name of kulipa ada shule English Mediums
Una pepo la umaskini

Sababu hata Biblia inatutaka kutafakari mambo ya juu

Pepo la umaskini siku zite litakuelekeza chini kwenye vitu vya chini sababu shetani mwenyewe yuko chini kuzimu na chini ya miguu.yetu

Wewe ndie una pepo la umaskini kuwaekekeza watu watafakari mambo ya chini ya shule za Kayumba badala ya kutafakari mambo ya juu ya English Medium schools na International schools pepo. mkubwa wewe

Toka pepo mbele ya jamii forums

Kwa jina la Yesu nakukemea toka pepo la umaskini wewe
 
Basi ndio maana. Uliponzwa na Aina ya kozi na Chuo ulichosoma.

Ungekuwa unasoma Chuo cha serikali usingekosa mkopo.


Kayumba huwezi soma Udsm au Udom halafu ukakosa mkopo
Lakini mzee wangu

Mimi nimeshasema akilini kabisa nikijaaliwa wanangu watasoma shule standard tuu......

Akimaliza form four ni diploma

wakati huo anasoma kuanzia primary nakuwa na junior account nawaekea chochote kitu mpaka first born anamaliza diploma..... tyr account Ina kiasi fulani ambacho namuwezesha kufanya biashara ama mradi fulani

Kupitia mradi huo namuambia kuwa msingi wa mradi capital ile inategemewa na wadogo zako..... Awe na nidhamu ya kazi, pesa, usimamizi na mengine ili aukuze mradi au biashara hiyo

Kama Nina watoto watatu maybe mpka waje wamalize kama yule mkubwa wao ina maana Kuna return imeshapatikana!!

Sitaki wanangu wasumbuke na kazi..... Ikiwa kama tegemeo lao la mwisho namaamisha kuajiriwa

Unamsomesha mtoto shule za gharama mwisho wa siku mnakutana IFM au udsm huko Bora angesoma bunge primary tuu.....

Tujifunze kuwa na financial forecasting hasa kwa watoto wetu tusije waumiza mbeleni km huyu anaelia mkopo...... Bado hajamaliza akutane na wimbi la kukosa ajira.....

Hivyo mzee wangu
 
Anaweza kufanya shughuli nyingine Chuo atasoma tu kama mambo yameyumba.
 
Kazaliwa 2003.

Chekechea na Primary: Shule ya English Medium...


O- level : Private

Advance : Private.


Kafika chuo kanyimwa bumu( boom)

Hajawa allocated.

Heslb wana mzungusha tu . Wanasema kanyimwa mkopo Kwa sababu Heslb wali estimate kwamba mzazi wake ana uwezo WA kumlipia ada ya Chuo ambayo ni ndogo Kuliko ile aliyo kuwa analipa kwenye shule za private.


Kumbe mzazi wake alikuwa ana bana Bana tu hana hata hela masikini ni kapuku.

Binti Sasa hivi yupo mwaka wa pili. Mwaka wa kwanza Kuna mitihani kaifanya kama special kwa sababu hiyo hiyo ya changamoto ya ada.

Mwaka huu Kuna mtihani pia hajafanya na yupo chupu chupu kusimamishwa Chuo.

Ada yenyewe anayo takiwa kulipa semester hii ni shilingi laki 4 tu mzazi kakosa kapata laki 2 wameikataa


Ombi langu Kwa serikali mruhusuni binti huyu afanye mitihani Yake.

Wapeni bumu watoto waliosoma shule za EMs na private Kwa sababu wazazi wao wengi hawajielewi wanajibana bana tu kulipa shule za EMs lakini ni masikini WA kutupwa.

Na ninyi wazazi msio na uwezo acheni kuharibu future za watoto wenu Kwa kijitutumua kulipa Ems wakati hamna uwezo .

Wakifika Chuo wanasumbuliwa na kwenye wana sumbuliwa pia.
Mzazi kashindwa kujibana bana kama alivyojibana hapo awali?
 
Mzazi kashindwa kujibana bana kama alivyojibana hapo awali?
Mleta mada ana pepo la umaskini mada zake huwa za kutunga hewani akiongozwa na hilo pepo la umaskini kuandika vitu vya kutunga vya kuusifia umasikini kuwa kusomesha shule za kimaskini za kayumba ndio kitu sahihi akiongozwa na hilo pepo lake la umaskini Alianza kama mzaha sasa limemdaka na kuhamia kabisa kwake na kuweka makao ya kudumu rohoni mwilini na kwenye nafsi yake

Achana naye na pepo lake la umaskini kayataka mwenyewe kwa kukaribisha pepo la umaskini na kuwaza na kuandika kimaskini

Nakuhukakikishia mleta mada akija kutokea kuwa tajiri au kuwa na pesa za kumpeleka mtoto English Medium au International school niite mbwa

Atakufa lofa huyo sababu anskumbatia sana pepo la umaskini badala ya kuomba Mungu amsaidie kumpa uwezo wa kusomesha mtoto English medium au International school anaomva vitu vya kimaskini mtoto asome kayumba
 
Kazaliwa 2003.

Chekechea na Primary: Shule ya English Medium...


O- level : Private

Advance : Private.


Kafika chuo kanyimwa bumu( boom)

Hajawa allocated.

Heslb wana mzungusha tu . Wanasema kanyimwa mkopo Kwa sababu Heslb wali estimate kwamba mzazi wake ana uwezo WA kumlipia ada ya Chuo ambayo ni ndogo Kuliko ile aliyo kuwa analipa kwenye shule za private.


Kumbe mzazi wake alikuwa ana bana Bana tu hana hata hela masikini ni kapuku.

Binti Sasa hivi yupo mwaka wa pili. Mwaka wa kwanza Kuna mitihani kaifanya kama special kwa sababu hiyo hiyo ya changamoto ya ada.

Mwaka huu Kuna mtihani pia hajafanya na yupo chupu chupu kusimamishwa Chuo.

Ada yenyewe anayo takiwa kulipa semester hii ni shilingi laki 4 tu mzazi kakosa kapata laki 2 wameikataa


Ombi langu Kwa serikali mruhusuni binti huyu afanye mitihani Yake.

Wapeni bumu watoto waliosoma shule za EMs na private Kwa sababu wazazi wao wengi hawajielewi wanajibana bana tu kulipa shule za EMs lakini ni masikini WA kutupwa.

Na ninyi wazazi msio na uwezo acheni kuharibu future za watoto wenu Kwa kijitutumua kulipa Ems wakati hamna uwezo .

Wakifika Chuo wanasumbuliwa na kwenye wana sumbuliwa pia.
😆We huna hela tu ya kupeleka mtoto EMs.. acha visingizio..
Unataka watoto wakaanze kujifunza computer chuo.. kuna mwamba tukiwa chuo alikuwa haijui hata mouse..
 
Mama Samia sijawahi kukusikia ukirusha matusi namna hii. Imekuwaje leo? Naomba tumsaidie tu huyo binti aendelee na masomo. Ikiwa uliweza kuwapatia Simba na Yanga sh. Mil. 5 kwa kila goli walilofunga kwenye mashindano ya kimataifa, bila shaka unaweza pia kumsaidia huyu binti.
Huenda wakati baba yake anamsomesha huko nyuma uwezo wake wa kiuchumi ulikuwa vizuri na sasa uchumi umeyumba. Maisha ni safari. Safari haiwezi kuwa barabara iliyonyooka siku zote. Kuna kupanda na kuna kushuka.
Pumbavu wewe. Mnaweza kuchanga harusi watu wakatiane kihalali ila kuchanga mtoto akasome hamuwezi.
 
Back
Top Bottom