Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Dawa Ni kuwatuma wasiojulikana wakamteke Pompeo, mchezo kwisha
itakuwa poa sana
IMG-20200104-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
Baada ya Gree Card kuguswa akili zineanza kuwarudia.
Qmamaaaaae

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Tatizo ni figa lake analotegemea akilitoa mboga umemwagika
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
Chifu Pascal Mayala alisema anajua sababu kwanini Makonda hatambuliwi japo alisema hawezi ziweka hadharani
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?

Angalau umeanza kutumia akili yako sasa.
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘Gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
unawezaje kumuondoa mtu anayekuondolea usio wataka na huku akikukusanyia waganga nchi nzima ?
 
Mimi huwa nashangaa karibia kila mtu wa Jamii Forums anataka Raisi Magufuli aongoze nchi jinsi anavyotaka yeye mwana Jamii forums, tena wanakwenda mbali kulalamika kwamba Raisi hashauriki kisa tu hajachukuwa ushauri wao, labda hata hajui na hajasikia kama ulimshauri, isitoshe hilo haliwezekani siyo practical hata kama Raisi Magufuli angeamua kufanya kila mmoja wenu anavyotaka, siyo realistic, hata muda tu hautoshi, kama hamuwapendi wateule wake so be it, next time just vote otherwise, man!
 
weka pembeni swala la Makonda,pia tuna viongozi wa upinzani ambao wanatanguliza mbele maslahi yao binafsi kuliko ya kitaifa.

Mtu yuko tayari kusifiwa kwa muda flani lakini akaleta madhara kwa Taifa lake.

Hii tabia ya kwenda kushitaki nje huko ni ulimbukeni ambao kwa Taifa lolote lile haukubaliki.

Nadhani hata hao nao tunaowapelekea mashtaka wanatushangaa namna tunavyokosa busara.

Hii tabia haifai.
 
Hao wawili wanatunziana siri zao, mmoja anatoa order mwingine anaenda kutekeleza, siku mkimkamata mtekelezaji lazima mtamuuliza nani aliekutuma!, hilo balaa ndio wanalificha lisije kutokea, hivyo anaona bora kuendelea kumkumbatia D.A.B.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom