Serikali inafanya makosa kutomfunga jela Zitto Kabwe kwa makosa ya uchochezi anayofanya. Afungwe kwa mujibu wa sheria ili iwe fundisho

Angekuwa Mwanachadema kasema hivyo leo ANGEPEWA KESI ya UGAIDI na KUHUJUMU UCHUMI lakini ZITTO ni wa
 

..Raisi anatakiwa aunde TUME YA UCHUNGUZI itakayopokea malalamiko ya wananchi wanaodai kuonewa na serikali na vyombo vya dola na kupendekeza hatua za kuchukuliwa.

Cc Tindo
 
Serikali haitakiwi kufunga watu bali mahakama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…