Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Hakuna nchi iliyomaliza shida za wananchi wake wote kisha ndio ikawekeza kwenye vitega uchumi,ukisema usubiri matatizo yote yaishe ndio uwekeze kwenye Ndege basi sahau kununua hizo Ndege,

Ila hizo Ndege zikisimamiwa vizuri ndizo zitakazo leta faida ya kununua hayo madawati na mahitaji mengine,

Angalizo.Mimi sio shabiki wa vyama vya Siasa,usije ukaniita tu sijui buku 7 au bavicha au vyovyote vile.
Amin nakwambia, hiyo faida ya kuletwa na hizo ndege, kama itatokea, itaanza kupatikana kuanzia miaka 20 ijayo.

Yaani ndege zilizonunuliwa kwa mabilioni ya cash money zirejeshe hiyo pesa halafu zitoe na ya madawati?

Kwa Tanzania hii (ya urefu wa kamba) isiyobadilika hiyo yaweza kuwa ndoto ya Alnacha.

Imagine, Ethiopian kama shirika la ndege linaloongoza kwa “faida” (profitability) Afrika, limesamehewa kodi kadhaa.

Ndege zake nyingi ni za kukodi (lease/purchase). Halina mchango wa maana kwenye hazina ya taifa bali indirectly kwenye uchumi na kule kuweza kujiendesha lenyewe tu.

Na linaendeshwa very professionally lakini zaidi ya kuwa nembo kubwa ya taifa, ziada ya kipato ni peanuts.
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini ..

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Uzuri wa SERIKALI ya CCM Haina kipau mbele
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini ..

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Akili za kimaskini ndio hizi

Hollywood kuna matajiri kama Will Smith, Denzel Washington na Tom Cruise wanaoishi kwenye majumba ya dola milioni 40 halafu kuna watu wanalala nyumba za maboksi, eneo hilo hilo moja.

Huwezi kusubiri kila mtu akawa vizuri kiuchumi eti ndio ununue ndege.
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini ..

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Hawa ndio wale Yerico nyerere kasema wanaihujumu Nchi.
 
Akili za kimaskini ndio hizi za Mmawia. Hollywood kuna matajiri kama Will Smith, Denzel Washington na Tom Cruise wanaoishi kwenye majumba ya dola milioni 40 halafu kuna watu wanalala nyumba za maboksi, eneo hilo hilo moja.

Huwezi kusubiri kila mtu akawa vizuri kiuchumi eti ndio ununue ndege.
Unachanganya mada.

Holywood ndio inatoa huduma za jamii kwa wamarekani?


Umekurupuka ndugu
 
Tunataka katiba mpya...ushuru wa local utumike ulipokusanywa na wananchi wawe na uwezo wa kuhoji na kuamua zitumike vipi,

Hayo matatizo ya madarasa na barabara za mtaani yangepungua, ila kusubiri Mwigulu akusanye then awaletee pesa itabidi msahau maendeleo
 
Akili za kimaskini ndio hizi za Mmawia. Hollywood kuna matajiri kama Will Smith, Denzel Washington na Tom Cruise wanaoishi kwenye majumba ya dola milioni 40 halafu kuna watu wanalala nyumba za maboksi, eneo hilo hilo moja.

Huwezi kusubiri kila mtu akawa vizuri kiuchumi eti ndio ununue ndege.
Ndio maana maeneo hayo wanayoishi hao billionaires yana shule nzuri na barabara nzuri , sababu ni hizo nyumba zinalipa property taxes na pesa yote inabaki hapo hapo kwa ajiri ya shule zao , park na barabara zao, na sehemu maskini US zina shule mbovu kwa sababu hiyo hiyo hawana loca tax base ya kutosha kufanya shule zao ziwe superb maana pesa wanayopata ni ya federal tuu ambayo ni limited,

Imagine Geita wangekuwa wanapata 10% ya tax inayolipwa hapo na makampuni yanayo operate hapo, ingesaidia kuleta ushindani na watu kufanya kazi kwa bidii popote walipo ili wapate maendeleo
 
Atcl wanashindwa kwenda nje kuna mizigo kibao inabidi iletwe na mashirika mengine kama ethiopian nk huku ndege ikimbeba hangaya tu
Hizi ni hasara kubwa kwa taifa letu.

Ndiyo maana watu tunahitaji katiba mpya ya kupunguza nguvu za viongozi wa juu.
 
Amin nakwambia, hiyo faida ya kuletwa na hizo ndege, kama itatokea, itaanza kupatikana kuanzia miaka 20 ijayo. Yaani ndege zilizonunuliwa kwa mabilioni ya cash money zirejeshe hiyo pesa halafu zitoe na ya madawati? Kwa Tanzania hii (ya urefu wa kamba) isiyobadilika hiyo yaweza kuwa ndoto ya Alnacha.

Imagine, Ethiopian kama shirika la ndege linaloongoza kwa “faida” (profitability) Afrika, limesamehewa kodi kadhaa. Ndege zake nyingi ni za kukodi (lease/purchase). Halina mchango wa maana kwenye hazina ya taifa bali indirectly kwenye uchumi na kule kuweza kujiendesha lenyewe tu. Na linaendeshwa very professionally lakini zaidi ya kuwa nembo kubwa ya taifa, ziada ya kipato ni peanuts.
Sisi ndiyo tuna ndoto za kulipita hilo shirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akili za kimaskini ndio hizi za Mmawia. Hollywood kuna matajiri kama Will Smith, Denzel Washington na Tom Cruise wanaoishi kwenye majumba ya dola milioni 40 halafu kuna watu wanalala nyumba za maboksi, eneo hilo hilo moja.

Huwezi kusubiri kila mtu akawa vizuri kiuchumi eti ndio ununue ndege.
Ebu twambie route za siku za ndege zote kumi na kitu mlizo nunua kwa kodi zetu.
 
Tunataka katiba mpya...ushuru wa local utumike ulipokusanywa na wananchi wawe na uwezo wa kuhoji na kuamua zitumike vipi, hayo matatizo ya madarasa na barabara za mtaani yangepungua, ila kusubiri Mwigulu akusanye then awaletee pesa itabidi msahau maendeleo
Nakubaliana na mawazo yako mkuu.
 
Ni kama sisi kila siku tunaaminishwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri, ila cha kushangaza makao makuu yetu hayana tofauti na banda la kuku.

Sasa tukipewa nchi sijui ni kipi cha maana tutachofanya kwa nchi hii.

View attachment 2168606
Kwa hiyo wakishajenga ofisi nzuri ndo ndo ufumbuzi wa kupata hayo madawati 65,000?
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini ..

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Kwenye ndege ndiyo wanakopigia rushwa kubwa
 
Back
Top Bottom