Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Kwa hiyo wakishajenga ofisi nzuri ndo ndo ufumbuzi wa kupata hayo madawati 65,000?
Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.

images (35).jpeg


images (38).jpeg


images (36).jpeg


images (37).jpeg
 
Hakuna nchi iliyomaliza shida za wananchi wake wote kisha ndio ikawekeza kwenye vitega uchumi,ukisema usubiri matatizo yote yaishe ndio uwekeze kwenye Ndege basi sahau kununua hizo Ndege,

Ila hizo Ndege zikisimamiwa vizuri ndizo zitakazo leta faida ya kununua hayo madawati na mahitaji mengine,

Angalizo.Mimi sio shabiki wa vyama vya Siasa,usije ukaniita tu sijui buku 7 au bavicha au vyovyote vile.
Well said.
 
Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.

View attachment 2168937

View attachment 2168938

View attachment 2168939

View attachment 2168940
Chawa na kunguni ni wewe unayechanganya mada.

Wenzako wanaongelea madawati wewe unavimba na ofisi za Chadema!

Foolish.
 
Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.

View attachment 2168937

View attachment 2168938

View attachment 2168939

View attachment 2168940
Pesa ya kuazima haisitiri umasikini wako!

Madarasa na miundombinu ya kujengwa kwa nguvu za wananchi wenyewe ni suluhisho la kudumu?!!
 
Ndio maana maeneo hayo wanayoishi hao billionaires yana shule nzuri na barabara nzuri , sababu ni hizo nyumba zinalipa property taxes na pesa yote inabaki hapo hapo kwa ajiri ya shule zao , park na barabara zao, na sehemu maskini US zina shule mbovu kwa sababu hiyo hiyo hawana loca tax base ya kutosha kufanya shule zao ziwe superb maana pesa wanayopata ni ya federal tuu ambayo ni limited,

Imagine Geita wangekuwa wanapata 10% ya tax inayolipwa hapo na makampuni yanayo operate hapo, ingesaidia kuleta ushindani na watu kufanya kazi kwa bidii popote walipo ili wapate maendeleo
Matatizo yetu ni mengi sana ikiwemo upingaji wa kodi hizo hizo kwa sababu za kisiasa na elimu kuwa duni.

Nadhani unakumbuka namna tozo zilivyopingwa wakati huduma nzuri zitokanazo na kodi hizo kila mtu anazitaka.
 
Akili za kimaskini ndio hizi

Hollywood kuna matajiri kama Will Smith, Denzel Washington na Tom Cruise wanaoishi kwenye majumba ya dola milioni 40 halafu kuna watu wanalala nyumba za maboksi, eneo hilo hilo moja.

Huwezi kusubiri kila mtu akawa vizuri kiuchumi eti ndio ununue ndege.
Yeyooooo

Ova
 
Matatizo yetu ni mengi sana ikiwemo upingaji wa kodi hizo hizo kwa sababu za kisiasa na elimu kuwa duni.

Nadhani unakumbuka namna tozo zilivyopingwa wakati huduma nzuri zitokanazo na kodi hizo kila mtu anazitaka.
Tuliambiwa kupitia tozo za miamala zitapelekwa kwenye elimu na sehemu nyingine sasa hao sumbawanga siyi watanzania?
 
Jf ligi haziishagi

Bora nliamuaga kuwa nutro

Ova
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini ..

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Bila picha au uthibitisho ni UCHONGANISHI
 
Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.

View attachment 2168937

View attachment 2168938

View attachment 2168939

View attachment 2168940
Sidhani kama unatumia akili za kawaida zaidi ya kutumia akili za kichawi kichawi kichawi.
1078507780.jpg
 
Pesa ya kuazima haisitiri umasikini wako!

Madarasa na miundombinu ya kujengwa kwa nguvu za wananchi wenyewe ni suluhisho la kudumu?!!
Huyo hana uwezo wa kuyajibu hayo maswali uliyo muuliza
 
Back
Top Bottom