Ndio maana maeneo hayo wanayoishi hao billionaires yana shule nzuri na barabara nzuri , sababu ni hizo nyumba zinalipa property taxes na pesa yote inabaki hapo hapo kwa ajiri ya shule zao , park na barabara zao, na sehemu maskini US zina shule mbovu kwa sababu hiyo hiyo hawana loca tax base ya kutosha kufanya shule zao ziwe superb maana pesa wanayopata ni ya federal tuu ambayo ni limited,
Imagine Geita wangekuwa wanapata 10% ya tax inayolipwa hapo na makampuni yanayo operate hapo, ingesaidia kuleta ushindani na watu kufanya kazi kwa bidii popote walipo ili wapate maendeleo