Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #61
Lazima muipongeze sana corona maana bila hiyo kitu msingepewa hizo fedha.Mnachagua picha kujaribu kuhalalisha mawazo yenu duni. Kuna maelfu ya shule shikizi zinazojengwa muda huu, tafuta picha zake uziweke humu pia.
Jiwe aliidharau nayo ikapita naye