Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini.

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere.
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65000 mkoani sumbawanga wanakaa chini ..

Ccm tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Dah! Mkuu wengine wanahitaji madawati, na wengine wanahitaji ndege.🤣🤣🤣🤭
 
Mwingine akija akasema wale wanafunzi 65000 wamepewa madawati jioni hii mtakuwa hamna tofauti yoyote.
 
Hakuna nchi iliyomaliza shida za wananchi wake wote kisha ndio ikawekeza kwenye vitega uchumi, ukisema usubiri matatizo yote yaishe ndio uwekeze kwenye Ndege basi sahau kununua hizo Ndege.

Ila hizo Ndege zikisimamiwa vizuri ndizo zitakazo leta faida ya kununua hayo madawati na mahitaji mengine.

Angalizo: Mimi sio shabiki wa vyama vya Siasa, usije ukaniita tu sijui buku 7 au bavicha au vyovyote vile.
 
Hakuna nchi iliyomaliza shida za wananchi wake wote kisha ndio ikawekeza kwenye vitega uchumi,ukisema usubiri matatizo yote yaishe ndio uwekeze kwenye Ndege basi sahau kununua hizo Ndege...
Tulishashindwaga kusimamia hadi tukaingia ubia na AS ndio wakatunyoosha zaidi

Sasa hivi kila mwaka ripoti ya CAG inaonesha shirika linajiendesha kwa hasira ila bado tunasubiria zingine5 by june zinaingia
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini ..

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Ni kama sisi kila siku tunaaminishwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri, ila cha kushangaza makao makuu yetu hayana tofauti na banda la kuku.

Sasa tukipewa nchi sijui ni kipi cha maana tutachofanya kwa nchi hii.

images (33).jpeg
 
Dah....mkuu wengine wanahitaji madawati.....na wengine wanahitaji ndege....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Utawasikia wanasisitiza kuwa tumeagiza ndege nyingine tena kwa ...kuriipa keeeshiiiiiiii.
 
Hakuna nchi iliyomaliza shida za wananchi wake wote kisha ndio ikawekeza kwenye vitega uchumi,ukisema usubiri matatizo yote yaishe ndio uwekeze kwenye Ndege basi sahau kununua hizo Ndege,

Ila hizo Ndege zikisimamiwa vizuri ndizo zitakazo leta faida ya kununua hayo madawati na mahitaji mengine,

Angalizo.Mimi sio shabiki wa vyama vya Siasa,usije ukaniita tu sijui buku 7 au bavicha au vyovyote vile.
Tangu mwaka 2016 mmeanza kununua hizo ndege ebu twambie ni mwaka gani mmeanza kuingiza faida ?
 
Utawasikia wanasisitiza kuwa tumeagiza ndege nyingine tena kwa ...kuriipa keeeshiiiiiiii.
Atcl wanashindwa kwenda nje kuna mizigo kibao inabidi iletwe na mashirika mengine kama ethiopian nk huku ndege ikimbeba hangaya tu
 
Tangu mwaka 2016 mmeanza kununua hizo ndege ebu twambie ni mwaka gani mmeanza kuingiza faida ?
Mbona umejibu kama vile umejikoki kubishana!

Hata nikikuelewesha naona ni kazi bure tu coz umesha jikoki kubishana tu.
 
Back
Top Bottom