M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Kizuri ni kwamba mnaopenda Kiswahili endeleeni kusomesha watoto wenu kwenye shule za Kiswahili hakuna anayewakataza ila muache kulialia Wakenya na Waganda wanavyozidi kupata kazi nchini mwenu, hakuna mjinga mwenye kampuni inayofanya kazi kimataifa au anayedili na watu wa kimataifa aajiri watu ambao ni 'vihiyo' kwenye Kiingereza.