Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mike fundi Maiko.Mafundi wenyewe ndiyo Kama ww maana kuandika tu mhmm
ilo jengo ukiangalia kwa nyuma kuna gema alafu nguzo dhaifu kwaiyo limebinuka tu na sio kutitiaLimetitiaje au me ndio sielewi maana ya kutitia
Serikali yenyewe unasema ma engineer wanatupotezea muda, heri kujenga kwa kutumia local fundi, fundi Maiko.Shida Nini ? Engineers hawapo au