Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wananchi wameupokea mtindo huo kwa kuushangilia katika ujenzi wa majengo kwa nia ya kupunguza gharama.
Jengo lililoanguka huko Goba lilititia na kuanguka kama mbuyu uliojaa maji.
Wanasiasa watajipiga jaramba huku wakiwalaumu wengine.
Waziri wa Ujenzi Prof Mbarawa ni mmoja wa watu wamepigia sana upatu kujenga kwa Force Account na fundi Maiko.
Serikali inavuna ilichopandikiza kwa wananchi wake.