Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
ilo jengo ukiangalia kwa nyuma kuna gema alafu nguzo dhaifu kwaiyo limebinuka tu na sio kutitia
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Lingeanguka siku wanakabidhiwaView attachment 2035455
Kwa muda mrefu sasa Serikali imepigia debe ujenzi wa majengo kwa kutumia Force Account na kutumia Local Fundi , ambaye mitaani mnajulikana kama fundi Maiko.
Wananchi wameupokea mtindo huo kwa kuushangilia katika ujenzi wa majengo kwa one ya kupunguza gharama.
Jengo lililoanguka huko Goba lilititia na kuanguka kama Mungu uliojaa maji.
Wanasiasa watajipiga jaramba huku wakiwalaumu wengine.
Waziri wa Ujenzi Prof Mbarawa ni mmoja wa watu wamepigia sana upatu kujenga kwa Force Account na fundi Maiko.
Serikali inavuna ilichopandikiza kwa wananchi wake.
Ni kawaida kwa nchi ambayo haiongozwi kwa sheria na taratibu badala yake inaongozwa kwa matamko tupuView attachment 2035455
Kwa muda mrefu sasa Serikali imepigia debe ujenzi wa majengo kwa kutumia Force Account na kutumia Local Fundi , ambaye mitaani mnajulikana kama fundi Maiko.
Wananchi wameupokea mtindo huo kwa kuushangilia katika ujenzi wa majengo kwa one ya kupunguza gharama.
Jengo lililoanguka huko Goba lilititia na kuanguka kama Mungu uliojaa maji.
Wanasiasa watajipiga jaramba huku wakiwalaumu wengine.
Waziri wa Ujenzi Prof Mbarawa ni mmoja wa watu wamepigia sana upatu kujenga kwa Force Account na fundi Maiko.
Serikali inavuna ilichopandikiza kwa wananchi wake.
Ni MUNGU tu anatusiaida asee yaani ni hatari snkama siku ukaguzi wa majengo kariakoo upite kuangalia magorofa.basi kariakoo asilimia 89 ya magorofa haya kizi vigezo na vibali
Tatizo ni kutumia local fundi ambayo hata jambo likiharibika ana potea hana address lakini kumbe kampuni utakamata mali zake au kufidiwaNadhani unapotosha dhana ya force account
Force account haimaanishi kupunguza gharama kwa kupunguza material /ubora, bali kupunguza gharama kwa kutumia uwezo uliopo ndani ya Mifumo ya serikali na kwa wananchi pia.
Kwa mfano ujenzi wa madarasa unaofanyika sasa kwa Mtindo huo, Engineer wa halmashauri ndio msimamizi badala ya kumpa kandarasi mtu binafsi.
Wananchi nao wanachangia nguvu kazi hivyo gharama inapungua na urasimu pia.
Mpaka mm 8 mkuuEti ghorofa saivi wanatumia nondo za mil10
Kupitia Maheraunaweza kuta hata uongozi wa nchi ni force account
Wanaume wanavuta rushwa maisha yanaenda vizurihuku mitaani vigorofa vya Aina hyo vipo kibao tu.
Pale bunju b stend kipo kimoja.
Kimejibana bana kweli.hata sehemu ya kuchimba Karo la choo hamna
Ha ha haunaweza kuta hata uongozi wa nchi ni force account
Masahihisho tyari mkuu, hizi simu janja hatari!Mafundi wenyewe ndiyo Kama ww maana kuandika tu mhmm
Huyu nani ati?
Serikali imeupigia debe sana mtindo wa Fosi Akaunti.Kwani ilo jengo ni la serikali mpaka uhusishe na force account?
Akili yako haiwezi kukusaidia hata kujitambuaKwani ilo jengo ni la serikali mpaka uhusishe na force account?
Huyo si ajabu ni kati ya wale wanasiasa ambao wanampigia debe fundi Maiko.Akili yako haiwezi kukusaidia hata kujitambua
Acha uongo force account haina maana hiyo. Force account maana yake unatumia ma engineer walioajiliwa na serikali badala ya kutumia makandarasi ambao wamekuwa na ukiritimba kibao na gharama kubwa. Miradi mingi local fundi ndio wanaotumika wakisimamiwa na qualified engineers kwa hiyo usiwadharau local fundi mkuu.Serikali yenyewe unasema ma engineer wanatupotezea muda, heri kujenga kwa kutumia local fundi, fundi Maiko.
Wewe ndiyo muongo.Acha uongo force account haina maana hiyo. Force account maana yake unatumia ma engineer walioajiliwa na serikali badala ya kutumia makandarasi ambao wamekuwa na ukiritimba kibao na gharama kubwa. Miradi mingi local fundi ndio wanaotumika wakisimamiwa na qualified engineers kwa hiyo usiwadharau local fundi mkuu.