Serikali inavuna ilichopanda: Fundi Maiko Syndrome - Goba Collapse

Serikali inavuna ilichopanda: Fundi Maiko Syndrome - Goba Collapse

Mkuu kwa wanaojielewa tu, walipitia njia ngumu sana awamu hiyo

I hate with passion mtu muongo pamoja na uwongo wenyewe ,uongo ni zaidi ya kuuq

For strange reasons though Watanzania tunapenda kuishi maisha ya uongo uongo.
Actually mtu muongo, mwenye hila na nia mbaya, hata vitabu vitakatifu unasema moyo wake ni pango la shetani.
 
Kwa muda mrefu sasa Serikali imepigia debe ujenzi wa majengo kwa kutumia Force Account na kutumia Local Fundi , ambaye mitaani anajulikana kama fundi Maiko.

Wananchi wameupokea mtindo huo kwa kuushangilia katika ujenzi wa majengo kwa nia ya kupunguza gharama.

Jengo lililoanguka huko Goba lilititia na kuanguka kama mbuyu uliojaa maji.

Wanasiasa watajipiga jaramba huku wakiwalaumu wengine.

Waziri wa Ujenzi Prof Mbarawa ni mmoja wa watu wamepigia sana upatu kujenga kwa Force Account na fundi Maiko.

Serikali inavuna ilichopandikiza kwa wananchi wake.
Ushampata kichaka cha kuwasingizia?
 
Huku mbwinde majengo ya serikali yanajengwa na fundi Ally na yapo poa tu

Maengeneer mjipange hawa watoto watawapoteza

Hawa watoto huku kitaa wanajenga na hawana gharama za contingency, supervision, mara 15% and 10% na nyingine nyingi

Watu wanataka impact sio DEGREE zenu
Pole!
Kwa uelewa wako mdogo, pengine ma engineer unawasikia tu.
Ukimkuta engineer ana piga bati kwa nyundo au kusimika milunda ya zege nijulishe.
 
Edit kwanza basi
the first to post...ndilo tatizo.
====
Tunaweza kupata ushahidi kutoka kwa mleta mada kuwa hilo jengo lilikuwa lina jengwa na serikali kwakutumia njia ya forced account? Pia mketa mada anaweza ku declare interest kuwa hana uhusiano wowote na masuala ya ugavi( tendering and procurement)?
 
the first to post...ndilo tatizo.
====
Tunaweza kupata ushahidi kutoka kwa mleta mada kuwa hilo jengo lilikuwa lina jengwa na serikali kwakutumia njia ya forced account? Pia mketa mada anaweza ku declare interest kuwa hana uhusiano wowote na masuala ya ugavi( tendering and procurement)?
You are missing the point entirely.
Watu mlio narrow minded hamuoni precedence mbaya iliyokuwa set na serikali yenyewe katika sekta ya ujenzi.

Quick fix solutions katika mambo technical, always zina backfire.

Mtindo wa fundi Maiko ,only in Tanzania.
 
Ni ajali iliyosababishwa na utendaji kiufundi.
Ulegevu wa Sheria upo sana popote ndo maana hosptali watu wanafariki daktari halaumiwi.
Vigezo na masharti kuzingatiwa
IMG-20211130-WA0002.jpg
IMG_20211118_101536_239.jpg
 
You are missing the point entirely.
Watu mlio narrow minded hamuoni precedence mbaya iliyokuwa set na serikali yenyewe katika sekta ya ujenzi.

Quick fix solutions katika mambo technical, always one backfire.

Mtindo wa fundi Maiko ,only in Tanzania.
Ha hahaaaa! Leta ushahidi Jidu watu waufanyie kazi achana na mbwembwe za ndama mchanga kwenye mteremko!
 
Hata iwe vipi, siwezi kutumia ma engineer uchwara mimi, heri nikakodi ma engineer Kenya kuliko hawa Ardhi University.
We popoma, hujui kuwa Engineering Degree ya Tanzania ina uzito mkubwa zaidi ya ile ya Kenya?
 
Kuna hosteli ilikuwa ikipanuliwa mara mmiliki akabadili gia angani akaanz kujenga nguzo juu kwa juu.
Jengo la hosteli likageuka kuwa ghorofa.mmiliki ni drs 7 mjanja mjanja.
Lile ghorofa ipo siku litaua wanafunzi. Halina zege ya chini waka nondo, ni nguzo zilichimbiwa kwenye baadhi ya kona. Kuna tawi moja la udsm na la uhasibu ndio wateja wa hio hosteli. It is just a matter of time likuja kushuka tu hata kama miaka 30 ijayo litaua.
Maeneo hayo hayo sitaki kutaja kuna muhindi nae alijenga kakwake hilo ni refu kidogo hakukua na bango kuonesha wahusika wanaojenga, lilienda kibubububu tu.
Hii nchi inavituko.
 
Huku mbwinde majengo ya serikali yanajengwa na fundi Ally na yapo poa tu

Maengeneer mjipange hawa watoto watawapoteza

Hawa watoto huku kitaa wanajenga na hawana gharama za contingency, supervision, mara 15% and 10% na nyingine nyingi

Watu wanataka impact sio DEGREE zenu
Wewe ni mwenzao na fundi maiko.
 
Back
Top Bottom