Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Fundi maiko tangu Lin akajenga ghorofa 100+ ? Fundi maiko anaishia 1Ukiwa ghorofa ya 100 utarukaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fundi maiko tangu Lin akajenga ghorofa 100+ ? Fundi maiko anaishia 1Ukiwa ghorofa ya 100 utarukaje?
Majengo ya serikali ndio hujengwa Kwa force account. Mbona majengo mengi tuu wakandarasi wameyajenga yapo chini ya kiwango kabisaKwa muda mrefu sasa Serikali imepigia debe ujenzi wa majengo kwa kutumia Force Account na kutumia Local Fundi , ambaye mitaani anajulikana kama fundi Maiko. Wananchi wameupokea mtindo huo kwa kuushangilia katika ujenzi wa majengo kwa nia ya kupunguza gharama. Jengo lililoanguka huko Goba lilititia na kuanguka kama mbuyu uliojaa maji.
Wanasiasa watajipiga jaramba huku wakiwalaumu wengine. Waziri wa Ujenzi Prof Mbarawa ni mmoja wa watu wamepigia sana upatu kujenga kwa Force Account na fundi Maiko. Serikali inavuna ilichopandikiza kwa wananchi wake.
Hahhaahahaaa maisha hayaitaji usiriaz ivo utapoteza vingiHuwa sipendi mtu mmoja kumdharau mwingine.
Haya bana.
Kama jengo Lipi kwa mfano.Majengo ya serikali ndio hujengwa Kwa force account. Mbona majengo mengi tuu wakandarasi wameyajenga yapo chini ya kiwango kabisa
Hilo ndio tatizo.Utaalamu unawekwa pembeni wakati watu wanataka kupanda chati za kisiasa
Kuna bweni lilijengwa kwa usimamizi wa engineer ambae baadae ilikuja kugundulika ni engineer wa mitaro ya maji ya kumwagilia hiyo usijidanganye kuna tatizo mbele ya safari tuendako. Maengineer wengi wa halmashauri hatusemi sana. Nisaidieni wenzanguNadhani unapotosha dhana ya force account
Force account haimaanishi kupunguza gharama kwa kupunguza material /ubora, bali kupunguza gharama kwa kutumia uwezo uliopo ndani ya Mifumo ya serikali na kwa wananchi pia.
Kwa mfano ujenzi wa madarasa unaofanyika sasa kwa Mtindo huo, Engineer wa halmashauri ndio msimamizi badala ya kumpa kandarasi mtu binafsi.
Wananchi nao wanachangia nguvu kazi hivyo gharama inapungua na urasimu pia.
Mwenzio mwenye akili kama yako yuko lupango sasa hivi kwa kuua watu wanne na kujeruhi 17.Mimi situmii ma engineer, wana uwezo mdogo sana. Nimejenga ghorofa mbili kwa kumtumia fundi Maiko, hadi sasa sijaona tatizo.
Mimi hawaniwezi, ni mtaalamu wa kuhonga pesa.Mwenzio mwenye akili kama yako yuko lupango sasa hivi kwa kuua watu wanne na kujeruhi 17.
Na hapo alikuwa anajipanga kuongeza ghorofo moja hapo juuKwa muda mrefu sasa Serikali imepigia debe ujenzi wa majengo kwa kutumia Force Account na kutumia Local Fundi , ambaye mitaani anajulikana kama fundi Maiko.
Wananchi wameupokea mtindo huo kwa kuushangilia katika ujenzi wa majengo kwa nia ya kupunguza gharama.
Jengo lililoanguka huko Goba lilititia na kuanguka kama mbuyu uliojaa maji.
Wanasiasa watajipiga jaramba huku wakiwalaumu wengine.
Waziri wa Ujenzi Prof Mbarawa ni mmoja wa watu wamepigia sana upatu kujenga kwa Force Account na fundi Maiko.
Serikali inavuna ilichopandikiza kwa wananchi wake.
"False account" ? hii ni account ya wapigaji . Mafundi wana falsify matumizi ya materials.False account na ubora wa hilo jengo binafsi unahusiana vipi?
Kumweka Mhandisi wa mitambo ya ujenzi akasimamie ujenzi wa madarasa hivi unategemea nini?Kuna bweni lilijengwa kwa usimamizi wa engineer ambae baadae ilikuja kugundulika ni engineer wa mitaro ya maji ya kumwagilia hiyo usijidanganye kuna tatizo mbele ya safari tuendako. Maengineer wengi wa halmashauri hatusemi sana. Nisaidieni wenzangu
Force account nilikuwa ni mfumo wa kujenga nyumba nyingi kwa kutumia gharama kidogo,Shida Nini ? Engineers hawapo au
Hiyo ni staili ya pendwa wetu, self centered, selfish, me first, liar, know all, know everything, uncultivated phase 5 presidaa!Force account nilikuwa ni mfumo wa kujenga nyumba nyingi kwa kutumia gharama kidogo,
Matokeo yake ni majengo mabovu yanayowapa watu political milage
Tatizo utaliona ukiwa mbunguni/jehanamu baada ya kuangukiwa na hilo gorofa lako.Mimi situmii ma engineer, wana uwezo mdogo sana. Nimejenga ghorofa mbili kwa kumtumia fundi Maiko, hadi sasa sijaona tatizo.
Mkuu kwa wanaojielewa tu, walipitia njia ngumu sana awamu hiyoHiyo ni staili ya pendwa wetu, self centered, selfish, me first, liar, uncultivated phase 5 presidaa!