masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Actually mtu muongo, mwenye hila na nia mbaya, hata vitabu vitakatifu unasema moyo wake ni pango la shetani.Mkuu kwa wanaojielewa tu, walipitia njia ngumu sana awamu hiyo
I hate with passion mtu muongo pamoja na uwongo wenyewe ,uongo ni zaidi ya kuuq
For strange reasons though Watanzania tunapenda kuishi maisha ya uongo uongo.
Ushampata kichaka cha kuwasingizia?Kwa muda mrefu sasa Serikali imepigia debe ujenzi wa majengo kwa kutumia Force Account na kutumia Local Fundi , ambaye mitaani anajulikana kama fundi Maiko.
Wananchi wameupokea mtindo huo kwa kuushangilia katika ujenzi wa majengo kwa nia ya kupunguza gharama.
Jengo lililoanguka huko Goba lilititia na kuanguka kama mbuyu uliojaa maji.
Wanasiasa watajipiga jaramba huku wakiwalaumu wengine.
Waziri wa Ujenzi Prof Mbarawa ni mmoja wa watu wamepigia sana upatu kujenga kwa Force Account na fundi Maiko.
Serikali inavuna ilichopandikiza kwa wananchi wake.
Pole!Huku mbwinde majengo ya serikali yanajengwa na fundi Ally na yapo poa tu
Maengeneer mjipange hawa watoto watawapoteza
Hawa watoto huku kitaa wanajenga na hawana gharama za contingency, supervision, mara 15% and 10% na nyingine nyingi
Watu wanataka impact sio DEGREE zenu
Utajuaje ni kichaka kama kichaka chenyewe hukijui?Ushampata kichaka cha kuwasingizia?
Tafuta pesa weweUtajuaje ni kichaka kama kichaka chenyewe hukijui?
the first to post...ndilo tatizo.Edit kwanza basi
Nyumba yako itakuwa ya kwanza kuangukasiku Dar likipiga tetemeko dogo kiasi itakuwa aibu, tunaweza kuzika sana na mji kubakia jangwa....
You are missing the point entirely.the first to post...ndilo tatizo.
====
Tunaweza kupata ushahidi kutoka kwa mleta mada kuwa hilo jengo lilikuwa lina jengwa na serikali kwakutumia njia ya forced account? Pia mketa mada anaweza ku declare interest kuwa hana uhusiano wowote na masuala ya ugavi( tendering and procurement)?
Hata iwe vipi, siwezi kutumia ma engineer uchwara mimi, heri nikakodi ma engineer Kenya kuliko hawa Ardhi University.Tatizo utaliona ukiwa mbunguni/jehanamu baada ya kuangukiwa na hilo gorofa lako.
Hata ukiwatumia wachina, ruksa!Hata iwe vipi, siwezi kutumia ma engineer uchwara mimi, heri nikakodi ma engineer Kenya kuliko hawa Ardhi University.
Mil10 zinatumika kama kawaida, lakini mpaka ipigwe hesabu kitaalamu, hiyo beam itabeba uzito gani.Eti ghorofa saivi wanatumia nondo za mil10
Ha hahaaaa! Leta ushahidi Jidu watu waufanyie kazi achana na mbwembwe za ndama mchanga kwenye mteremko!You are missing the point entirely.
Watu mlio narrow minded hamuoni precedence mbaya iliyokuwa set na serikali yenyewe katika sekta ya ujenzi.
Quick fix solutions katika mambo technical, always one backfire.
Mtindo wa fundi Maiko ,only in Tanzania.
Ngoja nilete picha baadaye.Ha hahaaaa! Leta ushahidi Jidu watu waufanyie kazi achana na mbwembwe za ndama mchanga kwenye mteremko!
We popoma, hujui kuwa Engineering Degree ya Tanzania ina uzito mkubwa zaidi ya ile ya Kenya?Hata iwe vipi, siwezi kutumia ma engineer uchwara mimi, heri nikakodi ma engineer Kenya kuliko hawa Ardhi University.
Wewe ni mwenzao na fundi maiko.Huku mbwinde majengo ya serikali yanajengwa na fundi Ally na yapo poa tu
Maengeneer mjipange hawa watoto watawapoteza
Hawa watoto huku kitaa wanajenga na hawana gharama za contingency, supervision, mara 15% and 10% na nyingine nyingi
Watu wanataka impact sio DEGREE zenu
Ma engineer gani hawa, vilaza walio advance tu.We popoma, hujui kuwa Engineering Degree ya Tanzania ina uzito mkubwa zaidi ya ile ya Kenya?