Serikali inunue umeme Ethiopia, tatizo ni kubwa mno. Pole Biteko

Serikali inunue umeme Ethiopia, tatizo ni kubwa mno. Pole Biteko

Biteko anawaambia TANESCO kuwa wananchi wanataka umeme, wananchi hawataki kusikia sijui kuna mipango na porojo gani kama alivyokuwa anasema Makamba, lakini hata akiwaambia wananchi wanataka umeme huo umeme utatoka wapi? Kwanini wananchi tusiwapime CCM kwa kutumia umeme?

Jinsi na kadiri siku zinavyoenda tatizo la upatikanaji umeme linazidi kwasababu;

1. Mahitaji ya umeme kwa wananchi yameongezeka kwasababu ya kujua kiuchumi, mahitaji ambayo uzalishaji uliopo umefeli. Ndio maana toka Makamba ameingi mpaka leo Biteko yupo mgao wa umeme upo kila siku.

2. TPDC wana uhaba mkubwa wa gesi, hivyo kupelekea baadhi ya mitambo ya gesi mara kwa mara kuwa nje, ila TPDS wamejaa kimya ili hali wanajua kuna uhaba na upungufu wa gesi, na uwezo wa kutatua tatizo hawana mpaka wazungu waingilie kati.

3. Maji ni shida kwenye mabwawa, uzalishaji wa mabwawa hautoshelezi, na nashangaa kwanini mama amemtoa Kalemani, kamtoa Makamba, kaja Biteko lakini kwa tatizo hili ya umeme nchi hii halitakuwa rahisi kwake.

4. Makamba kasaini mikataba ya trilioni 1.9 kuimarisha upatikanaji wa umeme ambao haupo, pamoja na fedha nyingi kutolewa matatizo ya umeme bado ni makubwa, umeme unakatika katika, kwasababu ya ubovu wa miundombinu na uzalishaji usiojitosheleza.

Lengo la uzi huu ni kuiomba Serikali Sasa ifikirie njia rahisi ya kutatua tatizo la umeme Kwa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani Ethiopia wana umeme mwingi wa bwawa la grand.

Kwakuwa upungufu wa Dolla utasababisha Stiglers kuchelewa kukamilika basi tufanye mpango tununue umeme Ethiopia. Japo serikali imeishiwa fedha za kumaliza mradi wa njia kubwa kilo volt 400 kutoka namanga kwenda Arusha, Babati, basi ikakope na tuhakikishe tunajenga miundombinu ya kununua umeme Ethiopia, hizi shida za mgao hazivumiliki.
Pamoja na yote uliyoyaongea
Mbona kipindi Cha Magu hakukua na mgao?
Maji yalikuwa hayapungui? Au ni nn?
 
Mmh kipindi Cha magufuli?!
Kwakweli Kwa hili hapana umeme haukuktika,ss watuambie ilikuwaje na sshv ni nn?
Ulikuwa unakatika. Kinachofanya sasa inaonekana kuwa na kelele ni siasa. Kila mmoja anampiga vita mwenzie. Hata huyo Biteko ana kazi ngumu kweli. Wakati wa JPM ungekoholea wapi ndugu? Ndio maana kumbukumbu zinaonyesha umeme haukukatika. Wakati mwingine ni bahari nzuri tu. Hakukuwa na ukame, mafuta hayakupanda n.k.
 
Tik

Toka Magu aondoke hujui matumizi ya Umeme yameongezeka, TANESCO Wameunga zaidi ya wateja laki 3, Sasa unategemea Nini.

Nimesema Umeme unakatika kwasababu mbili, uzalishaji mdogo na ubovu wa miundombinu, ukinunua utakuwa umetatua tatizo la uzalishaji, halaf unapambana na la ubovu,
Kwahiyo mahitaji yalipungua Rais alipokuwa Magufuli
 
Umeme unakatika saa mbili asubuh na kurudi saa moja jion kila baada ya siku moja.huun mgao mkali sana Tanesco watoe tu ratiba wameshashindwq
 
Ulikuwa unakatika. Kinachofanya sasa inaonekana kuwa na kelele ni siasa. Kila mmoja anampiga vita mwenzie. Hata huyo Biteko ana kazi ngumu kweli. Wakati wa JPM ungekoholea wapi ndugu? Ndio maana kumbukumbu zinaonyesha umeme haukukatika. Wakati mwingine ni bahari nzuri tu. Hakukuwa na ukame, mafuta hayakupanda n.k.
Mmh mengine sawa
Ila kwenye kukatika hapana nakataa!.
Labda huku nilikokuwa kulikuwa hatuoati mgao
 
Umeme unakatika saa mbili asubuh na kurudi saa moja jion kila baada ya siku moja.huun mgao mkali sana Tanesco watoe tu ratiba wameshashindwq
Huku niliko Kila siku,sio hata baada ya siku 1
Yaani Kila siku ,ni asbhi mpk jioni
Sa najiuliza do mgao wa aina gani huu?
 
Ulikuwa unakatika. Kinachofanya sasa inaonekana kuwa na kelele ni siasa. Kila mmoja anampiga vita mwenzie. Hata huyo Biteko ana kazi ngumu kweli. Wakati wa JPM ungekoholea wapi ndugu? Ndio maana kumbukumbu zinaonyesha umeme haukukatika. Wakati mwingine ni bahari nzuri tu. Hakukuwa na ukame, mafuta hayakupanda n.k.
Kwani nani kasema kipindi cha Magufuli hawakufanya ukarabati/matengenezo ndo maana ulikuwa haukatiki?.Halafu mgao ukaanza kwasababu walikuwa wanafanya matengenezo
 
Ulikuwa unakatika. Kinachofanya sasa inaonekana kuwa na kelele ni siasa. Kila mmoja anampiga vita mwenzie. Hata huyo Biteko ana kazi ngumu kweli. Wakati wa JPM ungekoholea wapi ndugu? Ndio maana kumbukumbu zinaonyesha umeme haukukatika. Wakati mwingine ni bahari nzuri tu. Hakukuwa na ukame, mafuta hayakupanda n.k.
Nakupiga kiongozi, umeme haukukatika kama sasa nakumbuka nimekaa miezi 6 umeme haujawahi hata kukata mpeni credits zake
 
Nyie mnaishi wapi ambako hakuna maji wala umeme, acheni siasa za kinafki UMEME UPO NA MAJI YANATOKA
 
Wakati wa magufuli
📢📢 Nchi inaharibika, pesa hakuna, ila umeme ulikuwepo na maji yalitoka, watu walikula wakasaza

Wakati wa kizimkazi
📢📢 Mama amefungua nchi, pesa inaonekana mjini, maisha yamekua mepesi, kula wali imekua anasa, mafuta yamepanda kwa zaidi ya sh 500+, mkafanya na maridhiano uchwara 😂😂, umeme unawaka kwa saa 5 kwa siku, maji wiki ya pili mnalia

Watanzania muwekwe kundi gani nyie..? Mlichokitaka mmekipata
 
Biteko anawaambia TANESCO kuwa wananchi wanataka umeme, wananchi hawataki kusikia sijui kuna mipango na porojo gani kama alivyokuwa anasema Makamba, lakini hata akiwaambia wananchi wanataka umeme huo umeme utatoka wapi? Kwanini wananchi tusiwapime CCM kwa kutumia umeme?

Jinsi na kadiri siku zinavyoenda tatizo la upatikanaji umeme linazidi kwasababu;

1. Mahitaji ya umeme kwa wananchi yameongezeka kwasababu ya kujua kiuchumi, mahitaji ambayo uzalishaji uliopo umefeli. Ndio maana toka Makamba ameingi mpaka leo Biteko yupo mgao wa umeme upo kila siku.

2. TPDC wana uhaba mkubwa wa gesi, hivyo kupelekea baadhi ya mitambo ya gesi mara kwa mara kuwa nje, ila TPDS wamejaa kimya ili hali wanajua kuna uhaba na upungufu wa gesi, na uwezo wa kutatua tatizo hawana mpaka wazungu waingilie kati.

3. Maji ni shida kwenye mabwawa, uzalishaji wa mabwawa hautoshelezi, na nashangaa kwanini mama amemtoa Kalemani, kamtoa Makamba, kaja Biteko lakini kwa tatizo hili ya umeme nchi hii halitakuwa rahisi kwake.

4. Makamba kasaini mikataba ya trilioni 1.9 kuimarisha upatikanaji wa umeme ambao haupo, pamoja na fedha nyingi kutolewa matatizo ya umeme bado ni makubwa, umeme unakatika katika, kwasababu ya ubovu wa miundombinu na uzalishaji usiojitosheleza.

Lengo la uzi huu ni kuiomba Serikali Sasa ifikirie njia rahisi ya kutatua tatizo la umeme Kwa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani Ethiopia wana umeme mwingi wa bwawa la grand.

Kwakuwa upungufu wa Dolla utasababisha Stiglers kuchelewa kukamilika basi tufanye mpango tununue umeme Ethiopia. Japo serikali imeishiwa fedha za kumaliza mradi wa njia kubwa kilo volt 400 kutoka namanga kwenda Arusha, Babati, basi ikakope na tuhakikishe tunajenga miundombinu ya kununua umeme Ethiopia, hizi shida za mgao hazivumiliki.
Kampuni ya TPC Moshi inauza umeme wake Kenya. Umeme huo ni mkubwa na unazalishwa kutokana na mabaki ya miwa kuna kipindi walitaka kutoa umeme bure kwa vijiji jirani ila Tanesco wakawazuia.
Chanzo cha habari hizi sio rasmi
 
Kuwa na umeme imekuwa fadhila.

Kuwa na umeme imekuwa ni anasa.

Miaka 60+ ya uhuru, lakini wapi. Nchi imekuwa ngumu sana.
 
Tatizo linaenda kuathiri uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kiujumla, mgao wa zaidi ya masaa 12 kwa maeneo ya miji mikubwa hasa Dar ni crisis ambayo inatakiwa kutangazwa hali ya dharula.
 
Back
Top Bottom