Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Ukinunua- utanunuaje na hauna dolla? Ethiopia hawataki dolla?Tik
Toka Magu aondoke hujui matumizi ya Umeme yameongezeka, TANESCO Wameunga zaidi ya wateja laki 3, Sasa unategemea Nini.
Nimesema Umeme unakatika kwasababu mbili, uzalishaji mdogo na ubovu wa miundombinu, ukinunua utakuwa umetatua tatizo la uzalishaji, halaf unapambana na la ubovu,
Kama tatizo la umeme ,lipo kwenyelevel za Kalemani, Makamba, au Dotto basi tunashida kubwa ( whichi is obvious) Kam Taifa!Biteko anawaambia TANESCO kuwa wananchi wanataka umeme, wananchi hawataki kusikia sijui kuna mipango na porojo gani kama alivyokuwa anasema Makamba, lakini hata akiwaambia wananchi wanataka umeme huo umeme utatoka wapi? Kwanini wananchi tusiwapime CCM kwa kutumia umeme?
Jinsi na kadiri siku zinavyoenda tatizo la upatikanaji umeme linazidi kwasababu;
1. Mahitaji ya umeme kwa wananchi yameongezeka kwasababu ya kujua kiuchumi, mahitaji ambayo uzalishaji uliopo umefeli. Ndio maana toka Makamba ameingi mpaka leo Biteko yupo mgao wa umeme upo kila siku.
2. TPDC wana uhaba mkubwa wa gesi, hivyo kupelekea baadhi ya mitambo ya gesi mara kwa mara kuwa nje, ila TPDS wamejaa kimya ili hali wanajua kuna uhaba na upungufu wa gesi, na uwezo wa kutatua tatizo hawana mpaka wazungu waingilie kati.
3. Maji ni shida kwenye mabwawa, uzalishaji wa mabwawa hautoshelezi, na nashangaa kwanini mama amemtoa Kalemani, kamtoa Makamba, kaja Biteko lakini kwa tatizo hili ya umeme nchi hii halitakuwa rahisi kwake.
4. Makamba kasaini mikataba ya trilioni 1.9 kuimarisha upatikanaji wa umeme ambao haupo, pamoja na fedha nyingi kutolewa matatizo ya umeme bado ni makubwa, umeme unakatika katika, kwasababu ya ubovu wa miundombinu na uzalishaji usiojitosheleza.
Lengo la uzi huu ni kuiomba Serikali Sasa ifikirie njia rahisi ya kutatua tatizo la umeme Kwa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani Ethiopia wana umeme mwingi wa bwawa la grand.
Kwakuwa upungufu wa Dolla utasababisha Stiglers kuchelewa kukamilika basi tufanye mpango tununue umeme Ethiopia. Japo serikali imeishiwa fedha za kumaliza mradi wa njia kubwa kilo volt 400 kutoka namanga kwenda Arusha, Babati, basi ikakope na tuhakikishe tunajenga miundombinu ya kununua umeme Ethiopia, hizi shida za mgao hazivumiliki.
Kwani huyo makamba alikopa hizo trilioni zifanye kazi ya umeme au ilikuwa kupitishia tu huko katika namna ya kuiba?Biteko anawaambia TANESCO kuwa wananchi wanataka umeme, wananchi hawataki kusikia sijui kuna mipango na porojo gani kama alivyokuwa anasema Makamba, lakini hata akiwaambia wananchi wanataka umeme huo umeme utatoka wapi? Kwanini wananchi tusiwapime CCM kwa kutumia umeme?
Jinsi na kadiri siku zinavyoenda tatizo la upatikanaji umeme linazidi kwasababu;
1. Mahitaji ya umeme kwa wananchi yameongezeka kwasababu ya kujua kiuchumi, mahitaji ambayo uzalishaji uliopo umefeli. Ndio maana toka Makamba ameingi mpaka leo Biteko yupo mgao wa umeme upo kila siku.
2. TPDC wana uhaba mkubwa wa gesi, hivyo kupelekea baadhi ya mitambo ya gesi mara kwa mara kuwa nje, ila TPDS wamejaa kimya ili hali wanajua kuna uhaba na upungufu wa gesi, na uwezo wa kutatua tatizo hawana mpaka wazungu waingilie kati.
3. Maji ni shida kwenye mabwawa, uzalishaji wa mabwawa hautoshelezi, na nashangaa kwanini mama amemtoa Kalemani, kamtoa Makamba, kaja Biteko lakini kwa tatizo hili ya umeme nchi hii halitakuwa rahisi kwake.
4. Makamba kasaini mikataba ya trilioni 1.9 kuimarisha upatikanaji wa umeme ambao haupo, pamoja na fedha nyingi kutolewa matatizo ya umeme bado ni makubwa, umeme unakatika katika, kwasababu ya ubovu wa miundombinu na uzalishaji usiojitosheleza.
Lengo la uzi huu ni kuiomba Serikali Sasa ifikirie njia rahisi ya kutatua tatizo la umeme Kwa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani Ethiopia wana umeme mwingi wa bwawa la grand.
Kwakuwa upungufu wa Dolla utasababisha Stiglers kuchelewa kukamilika basi tufanye mpango tununue umeme Ethiopia. Japo serikali imeishiwa fedha za kumaliza mradi wa njia kubwa kilo volt 400 kutoka namanga kwenda Arusha, Babati, basi ikakope na tuhakikishe tunajenga miundombinu ya kununua umeme Ethiopia, hizi shida za mgao hazivumiliki
Ndio kwasababu serikali imeshafeli kwenye suala la umemeKwani huyo makamba alikopa hizo trilioni zifanye kazi ya umeme au ilikuwa kupitishia tu huko katika namna ya kuiba?
Wazo lako ni kununua umeme kutoka Ethiopia
Hizo gharama za kununua umeme Ethiopia ni upuuz na sio sustainable na viable kiuchumi ,kuna gharama kubwa za kujenga power transmission lines na miundombinu ,wakati tungeweza kutumia pesa hizo na kuongezea kiasi ili kujenga kinu cha nuclear kufua umeme na kuanza kuvuna Uranium yetu pale Dodoma kwa ajili ya uzalishaji wa nishati ya umeme ,kitu ambacho ni sustainable in the future ,Biteko anawaambia TANESCO kuwa wananchi wanataka umeme, wananchi hawataki kusikia sijui kuna mipango na porojo gani kama alivyokuwa anasema Makamba, lakini hata akiwaambia wananchi wanataka umeme huo umeme utatoka wapi? Kwanini wananchi tusiwapime CCM kwa kutumia umeme?
Jinsi na kadiri siku zinavyoenda tatizo la upatikanaji umeme linazidi kwasababu;
1. Mahitaji ya umeme kwa wananchi yameongezeka kwasababu ya kujua kiuchumi, mahitaji ambayo uzalishaji uliopo umefeli. Ndio maana toka Makamba ameingi mpaka leo Biteko yupo mgao wa umeme upo kila siku.
2. TPDC wana uhaba mkubwa wa gesi, hivyo kupelekea baadhi ya mitambo ya gesi mara kwa mara kuwa nje, ila TPDS wamejaa kimya ili hali wanajua kuna uhaba na upungufu wa gesi, na uwezo wa kutatua tatizo hawana mpaka wazungu waingilie kati.
3. Maji ni shida kwenye mabwawa, uzalishaji wa mabwawa hautoshelezi, na nashangaa kwanini mama amemtoa Kalemani, kamtoa Makamba, kaja Biteko lakini kwa tatizo hili ya umeme nchi hii halitakuwa rahisi kwake.
4. Makamba kasaini mikataba ya trilioni 1.9 kuimarisha upatikanaji wa umeme ambao haupo, pamoja na fedha nyingi kutolewa matatizo ya umeme bado ni makubwa, umeme unakatika katika, kwasababu ya ubovu wa miundombinu na uzalishaji usiojitosheleza.
Lengo la uzi huu ni kuiomba Serikali Sasa ifikirie njia rahisi ya kutatua tatizo la umeme Kwa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani Ethiopia wana umeme mwingi wa bwawa la grand.
Kwakuwa upungufu wa Dolla utasababisha Stiglers kuchelewa kukamilika basi tufanye mpango tununue umeme Ethiopia. Japo serikali imeishiwa fedha za kumaliza mradi wa njia kubwa kilo volt 400 kutoka namanga kwenda Arusha, Babati, basi ikakope na tuhakikishe tunajenga miundombinu ya kununua umeme Ethiopia, hizi shida za mgao hazivumiliki.
Tunaongozwa na watu wenye akili finyu ,that's all .Nchi yoyote yenye watu wenye akili ,public utilities hasa umeme na nishati kiujumla sio kitu cha kuleta masikhara kabisa .Tatizo la umeme katika nchi yenye mito, gesi, volcano, makaa ya mawe, upepo na jua ni ya kujitakia.
Halafu hawa wapumbavu TANESCO si ndio walisamehe deni la bilioni 60 walilokuwa wanaodai serikali ya Zanzibar ?Kila mradi mkubwa unapoanzishwa Huwa tunaambiwa bei itashuka. Mradi ukiisha Bei ya umeme inapapnda. Tuliambiwa umeme wa gas ya Mtwara ndiyo kila kitu na bei ingeshuka sana matokeo yake bei inapanda kila mwaka. Hilo bwawala Nyerere nalo likikamilika umeme utapanda tu kwakuwa sasa hivi wameamua kupandisha Bei kwa njia ya tozo. Hakuna nafuu yoyote ya umeme itakayotokea katika Tanganyika
Huyo hajielewi tuMagu aliunganisha wsteja wengi kuliko awamu zote, hatukuona umeme ukikatika,
Ngoja niwaeleze
Umeme unakatika, maji yanakatika, mafuta yanakatia, bei zinapaaa usiku na mchana.
Tuacheni kuongea siasa hawa ccm nchi imewashinda
Halafu hawa wapumbavu TANESCO si ndio walisamehe deni la bilioni 600 walilokuwa wanaidai serikali ya Zanzibar ?
Pumbavu sana
Na huku bwawa la stigler gorge limeanza kutoa nyufa, wabongo sijui tunakwama wapi.Biteko anawaambia TANESCO kuwa wananchi wanataka umeme, wananchi hawataki kusikia sijui kuna mipango na porojo gani kama alivyokuwa anasema Makamba, lakini hata akiwaambia wananchi wanataka umeme huo umeme utatoka wapi? Kwanini wananchi tusiwapime CCM kwa kutumia umeme?
Jinsi na kadiri siku zinavyoenda tatizo la upatikanaji umeme linazidi kwasababu;
1. Mahitaji ya umeme kwa wananchi yameongezeka kwasababu ya kujua kiuchumi, mahitaji ambayo uzalishaji uliopo umefeli. Ndio maana toka Makamba ameingi mpaka leo Biteko yupo mgao wa umeme upo kila siku.
2. TPDC wana uhaba mkubwa wa gesi, hivyo kupelekea baadhi ya mitambo ya gesi mara kwa mara kuwa nje, ila TPDS wamejaa kimya ili hali wanajua kuna uhaba na upungufu wa gesi, na uwezo wa kutatua tatizo hawana mpaka wazungu waingilie kati.
3. Maji ni shida kwenye mabwawa, uzalishaji wa mabwawa hautoshelezi, na nashangaa kwanini mama amemtoa Kalemani, kamtoa Makamba, kaja Biteko lakini kwa tatizo hili ya umeme nchi hii halitakuwa rahisi kwake.
4. Makamba kasaini mikataba ya trilioni 1.9 kuimarisha upatikanaji wa umeme ambao haupo, pamoja na fedha nyingi kutolewa matatizo ya umeme bado ni makubwa, umeme unakatika katika, kwasababu ya ubovu wa miundombinu na uzalishaji usiojitosheleza.
Lengo la uzi huu ni kuiomba Serikali Sasa ifikirie njia rahisi ya kutatua tatizo la umeme Kwa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani Ethiopia wana umeme mwingi wa bwawa la grand.
Kwakuwa upungufu wa Dolla utasababisha Stiglers kuchelewa kukamilika basi tufanye mpango tununue umeme Ethiopia. Japo serikali imeishiwa fedha za kumaliza mradi wa njia kubwa kilo volt 400 kutoka namanga kwenda Arusha, Babati, basi ikakope na tuhakikishe tunajenga miundombinu ya kununua umeme Ethiopia, hizi shida za mgao hazivumiliki.
Last time kuna uzi uliletwa hapa limeanza kupiga ufaKwani JNHPP imefikia wapi?
Bei itapungua tutakapokuwa na uwezo wa kujenga miradi wenyewe kwa kutumia wataalamu wetu.Kila mradi mkubwa unapoanzishwa Huwa tunaambiwa bei itashuka. Mradi ukiisha Bei ya umeme inapapnda. Tuliambiwa umeme wa gas ya Mtwara ndiyo kila kitu na bei ingeshuka sana matokeo yake bei inapanda kila mwaka. Hilo bwawala Nyerere nalo likikamilika umeme utapanda tu kwakuwa sasa hivi wameamua kupandisha Bei kwa njia ya tozo. Hakuna nafuu yoyote ya umeme itakayotokea katika Tanganyika