inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hizo shule ni biashara,mimi wamekuja mchukua binti very intelligent, wamesema watamsomesha bure kila kitu,Ili shule ijenge jina,so kama biashara tegemea mambo ya pembeni ya kuboost biashara,na huwezi taifisha biashara ya mtu kisa inafanya vizuri,shule ya sekondari jokate mwegelo haina zero,haina four,one kibao huko kisaraweKubinafsisha hapana... Taasisi nyingi tu Zina shule mbali na hizi za kidini. Nafikiri taasisi na serikali wakajifunze mbinu kutoka kwao kwa manufaa mapana ya taifa.