the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
daahh hii coment imenichekesha sanKuna wale wanajiita pesa x utapigiwa simu tofauti mara 100, sms mara 500 whatsap kote huko sms zenyewe sasa" tulikuvumilia sana ulipokuja kwetu kuomba mkopo unanuka shida ,ama kweli masikini akipata mku#du hulia mbwata[emoji28][emoji28] tulikupatia mkopo ukaishia kula mikuku na mibia huku ukiimbiwa tajiri huna baya leo kulipa pesa yetu unaona tabu" hapo ni elfu 20 hiyo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
HIi ni leo mapemaa.Kibaya, wakopaji wana andika majina ya watu kama watu wao wa karibu bila ridhaa yao, na baada ya kuandikwa na mkopaji bila taarifa, na wewe unaitwa tapeli, dawa ni kuwashtaki tu
HIi ni leo mspemaa.
View attachment 2907873
Unashangaa wakati anakopa hawakuuliza ila hajalipa unatafutwa
Mbaya hiyo meseji unaweza tumia hadi usiyehusika na kubatizwa jina la mdhamini 😂😂Kuna wale wanajiita pesa x utapigiwa simu tofauti mara 100, sms mara 500 whatsap kote huko sms zenyewe sasa" tulikuvumilia sana ulipokuja kwetu kuomba mkopo unanuka shida ,ama kweli masikini akipata mku#du hulia mbwata😅😅 tulikupatia mkopo ukaishia kula mikuku na mibia huku ukiimbiwa tajiri huna baya leo kulipa pesa yetu unaona tabu" hapo ni elfu 20 hiyo😅😅😅😅
Hahahha, daah, ila ungeficha jina la huyo mkopaji, 😀😀😀HIi ni leo mapemaa.
View attachment 2907873
Unashangaa wakati anakopa hawakuuliza ila hajalipa unatafutwa
Hahaha dahKuna wale wanajiita pesa x utapigiwa simu tofauti mara 100, sms mara 500 whatsap kote huko sms zenyewe sasa" tulikuvumilia sana ulipokuja kwetu kuomba mkopo unanuka shida ,ama kweli masikini akipata mku#du hulia mbwata[emoji28][emoji28] tulikupatia mkopo ukaishia kula mikuku na mibia huku ukiimbiwa tajiri huna baya leo kulipa pesa yetu unaona tabu" hapo ni elfu 20 hiyo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Asee kumbe hao jamaa ni pumbaff kias iko, ndo mana ivo vi app ckuiz vimekuwa vingi kweliKuna wale wanajiita pesa x utapigiwa simu tofauti mara 100, sms mara 500 whatsap kote huko sms zenyewe sasa" tulikuvumilia sana ulipokuja kwetu kuomba mkopo unanuka shida ,ama kweli masikini akipata mku#du hulia mbwata😅😅 tulikupatia mkopo ukaishia kula mikuku na mibia huku ukiimbiwa tajiri huna baya leo kulipa pesa yetu unaona tabu" hapo ni elfu 20 hiyo😅😅😅😅
Hio sio Suluhu, Njia sahihi Kuto ALLOW apps zao ku access your contacts list. Uki Allow app ya mkopo ku access your contact list atapigiwa mpaka Baba mkwe wako aambiwe umetapeli tshs. 18,000/ mtandaoni. Hivyo Kuwa makini na Hiko Kipengele next time.Unapoweka namba za wadhamin weka namba ambazo hazipatikani au zimefungiwa.
Hao jamaa kipind nikiwa nimepigika nilishawaliza sana
Usipo allow hawakupi mkopoHio sio Suluhu, Njia sahihi Kuto ALLOW apps zao ku access your contacts list. Uki Allow app ya mkopo ku access your contact list atapigiwa mpaka Baba mkwe wako aambiwe umetapeli tshs. 18,000/ mtandaoni. Hivyo Kuwa makini na Hiko Kipengele next time.
Wao wanataka contacts zako za kazi gani? Kwani anaekopa ni wewe au ni watu waliopo kwenye simu yako..?🙄Usipo allow hawakupi mkopo
Wanazingua sana,kuna Kampuni Moja hiyo nilipata Dharura nikakopa Elfu 51, afu nikapewa 30 ndani wiki Moja , faida ya Elfu 21 kwa wiki , riba ni zaidi ya 48%.Hii mikopo ya online inasaidia Sana, pamoja na kwamba Riba Yao ni kubwa Sana, wakikupa elf 20 unarudisha elf 29 kwa siku Saba
Shida inakuja Kwa wafanyakazi wao ambao wanadai hiyo mikopo
Aisee ni kama vichaa, mkopo ukibakia siku moja Tu Yan kesho yake unatakiwa kulipa utakuta missed call zaidi ya 20
Msg za vitisho kibao, utaitwa majina ya kila Aina kuanzia mwizi tapeli, mzinguaji
Wale vijana hawana Heshima kabisa
Na mkopo ukizidi siku moja basi ujue hizo msg za vitisho zinaenda Kwa watu wako wote ambao umewasave kwenye simu yako
Unashangaa Tu mama mkwe anakwambia unatafutwa na mkopo wako loan umetapeli elf 20
I think serikali ipige stop kwanza ili wajipange vizuri,
Baada ya kufuta app Yao hawakupigii sim?Wanazingua sana,kuna Kampuni Moja hiyo nilipata Dharura nikakopa Elfu 51, afu nikapewa 30 ndani wiki Moja , faida ya Elfu 21 kwa wiki , riba ni zaidi ya 48%.
Kabla ya siku Moja kufika nikalipa hela yao, ila kwenye app yao deni halikutoka likawa linaongezeka, aisee jamaa wanapiga simu na meseji za vitisho balaa.
Nimefuta na App yao kabisa , Mikopo Nyonya damu ,
🤣🤣🤣Unashangaa Tu mama mkwe anakwambia unatafutwa na mkopo wako loan umetapeli elf 20