Serikali iruhusu tu mabasi kusafiri usiku na mchana sasa hivi hakuna abiria anasafiri na mamilioni cash kwenye basi kama zamani, ziko kwenye akaunti

Serikali iruhusu tu mabasi kusafiri usiku na mchana sasa hivi hakuna abiria anasafiri na mamilioni cash kwenye basi kama zamani, ziko kwenye akaunti

Zamani kabla mifumo ya fedha kuimarika watu wakikuwa wakisafiri na mamilioni ya pesa wakija Dar kununua chochote au kuuza chochote

Sasa hivi watu husafiri tu na hela ya kula njiani tu pesa zote huwa kwenye akaunti

Hivyo tishio la kuwa abiria watavamiwa na kuporwa dogo mno. Hata mporaji hawezi ambulia cha maana labda simu ambazo hata akienda uza walionunua waweza kudakwa kirahisi tu wakaisaidia polisi kuwapata waliowauzia

Labda kwa kuanzia mabasi yaanze kusindikizwa tu na Askari mfano wawili tu wenye silaha kwenye maeneo korofi tu na Askari walipwe posho zao na mwenye basi napendekeza kila Askari alipwe posho ya elfu 20 hivyo kwa Askari wawili elfu 40

Ianze kwa majaribio kwanza
Mabasi yameruhusiwa kuanzia safari saa 9 usiku mpaka saa 7 usiku, nikama yameruhusiwa tu
 
Sasa hivi mbona mabasi nyia nyingi yanasafiri usiku na malori pia tatizo lilikuwa barabara mbaya na nyembamba sasa hivi barabara nyingi zimeboreshwa

Mabasi yaruhusiwe tu kuanza safari muda wowote masaa 24 na kumaliza safari muda wowote masaa 24
Infact nimekuelesha kilichosababisha magari kupigwa marufuku kuwa haikuwa ujambazi. Kama wanadhani barabara zimekuwa nzuri hivyo risk imepungua basi ni jambo jema.
 
Back
Top Bottom