Serikali ishushe hadhi Jiji la Tanga kwa vile haina mpango wa kufanya lolote kusapoti mji huo

Serikali ishushe hadhi Jiji la Tanga kwa vile haina mpango wa kufanya lolote kusapoti mji huo

Mawaziri wote wanatumika kisiasa bila ya kujitambua , hawana wanachofanya kule Dodoma miradi inaenda kwa kasi hapo Arusha kutwa miradi inapelekwa.

Uwanja mkubwa bado kituoa cha madini ,jengo la posta ...Huku Tanga miaka karibia 25 hamna hata jengo la floor mbili limejengwa.
Lipo pale Kange Bus terminal jengo zuri la uwekezaji
 
tanga n mji ambao ukifika saa 4 kasoro hakuna gar barabarani.........na ukitoka saa 11 kasoro asubuh hutaona gar barabarani (daladala) ......ila kwenye kupangika tuu umepangika
 
Mjinga wewe eti mji wa watu wa dini fulani unataka serikali ifanyeje? Mmekalia uvivu na uzembe tu mradi gani mkubwa umepelekwa Arusha?
Tanga haina mradi bomba la mafuta?
Bandari imeboreshwa, stand kubwa mpya.
Arusha haina stand ukumbuke, maendeleo yanafuata patterns. Kuna pulling factors ambazo Tanga mmekalia uvivu kukaa kwenye mikeka
 
Mjinga wewe eti mji wa watu wa dini fulani unataka serikali ifanyeje? Mmekalia uvivu na uzembe tu mradi gani mkubwa umepelekwa Arusha?
Tanga haina mradi bomba la mafuta?
Bandari imeboreshwa, stand kubwa mpya.
Arusha haina stand ukumbuke, maendeleo yanafuata patterns. Kuna pulling factors ambazo Tanga mmekalia uvivu kukaa kwenye mikeka
Cool down.
 
Habari ndugu zangu wa JF,

Kwanza niseme ile haki, serikali ya Tanzania haitamabui uwepo wa jiji la Tanga katika uhalisia bali linabaki katika maneno.

Huu ni ukweli ambao watu wengi hawaufahamu, ushahidi kutoka ndani kabisa ni kwamba serikali haina mpango na wala haitambui uwepo wa jiji hilo ...Kuna mpango wa kuwezesha miji mingine ikuwe zaidi kufika mbali ila Tanga haitofanyiwa lolote la maana.

Nimeishi Tanga miaka ya 90's na nilirudi tena mwaka 2010, kusema ule ukweli hamna cha maana serikali inafanya haswa kweny miundombinu , baadhi ya mambo ni serikali kutupilia mbali jitihada kuwezesha jiji hilo kwa level za juu kumbuka lilikuwa jiji kabla ya Dodoma na Arusha, kitu gani serikali imefanya kuleta tija ya mji huo zaidi ya kupeleka miradi mikubwa Arusha, Dar es salam, Dodoma.

Kutojengwa kwa miundombinu yeyote kwa mda wa miaka 20 na zaidi, ebu fikiria ni miaka zaid ya 20 hakuna hata jengo jipya wakati kaangalie ndani ya Arusha projects kibao na mji unapigwa promotion ya utalii mpaka jengo la wizara ya utalii limepelekwa kule... Ukifanya tathmini utaona kiukanda bandari ya Tanga ipo karibu na ya Mombasa ambayo ingeweza kuleta ushindani ila wapi imekufa mpaka Magufuli ndio amekufa kuifufua miaka kibao.

Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.

Katika miradi ya muendelezo wa majiji kweny miundombinu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Tanga pekee ndio haipo.Huu ni waziri innocent anaonyesha wazi ubaguzi.

Ombi langu: Serikali ishushe hadhi ya mji wa Tanga kwa vile haina mapngo wa kufanya lolote kuasapot mji huo na haipo kweny mipango, ni aibu kuita jiji kwa kweli.

View attachment 2957167
Tulia mkuu, kila mkoa una sifa zake. Sijawahi kusikia Tanga ikidharauliwa kuhusu mapenzi, yatumieni mapenzi na ushirikina kujinufaisha kiuchumi. Kwenye economics tunasema comperative advanrage 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Habari wana jf ,

Nimemsilikiza Nape Nauye kweny hotuba yake , amesema kwamba serikali imepanga mijiji kuwa kitovu cha tehama ila ametaja majiji matano , pamekosekana Tanga tu .

Kama hapo awali , naye Bushungwa alisema watejnga miundombinu katika majiji ila alitaja matano isipokuwa Tanga ...Serikali bora iseme hadharani jiji la Tanga limefutwa ,majiji yaliyopandishwa hadhi baada ya yeye wanapewa kipaumbele kweny maendeleo ila Tanga wanaachwa .

USHAURI : Muungano ukivunjika Tanga iende zanzibar angalau kule kwa ndugu zao watapata maendeleo sio huku bara.
 
Tanga iende zanzibar angalau kule kwa ndugu zao watapata maendeleo sio huku bara.
Mkuu una uhakika watu wa Tanga wana udugu na wazanzibari?

Napinga jiji la Tanga au jiji lingine lelote kutengwa...

Ukichunguza vizuri utagundua majiji ya Tanga, Mbeya na Mwanza kuna namna serikali inasuasua kuyaendeleza kwenye miundo mbinu...

Sijui kama wana sababu za msingi...
 
Tatizo wakati wa ibada zetu pia hatumuombi mungu yale tunayoyataka ktk maeneo yetu.Kilindi inahitaji umeme wa uhakika na lami na hili huwa namuomba mungu awape wepesi viongozi Kilindi ikumbukwe.
 
Mkuu una uhakika watu wa Tanga wana udugu na wazanzibari?

Napinga jiji la Tanga au jiji lingine lelote kutengwa...

Ukichunguza vizuri utagundua majiji ya Tanga, Mbeya na Mwanza kuna namna serikali inasuasua kuyaendeleza kwenye miundo mbinu...

Sijui kama wana sababu za msingi...
Ndio kuliko bara
 
TATIZO LA TANGA ELIMU DUNI NA UDUMAVU WA FIKRA WA WENYEJI WAPALE SBB CCM IMEDUMAZA AKILI ZAO.MAJIJI YOTE YALIYOCHUKULIWA NA CHADEMA YALIBADILIKA KIUCHUMI NA ELIMU PIA.VIJANA WA TANGA BDO WANATEGEMEA MAWAZO YA WAZEE WAO KARNE HI
 
Habari ndugu zangu wa JF,

Kwanza niseme ile haki, serikali ya Tanzania haitamabui uwepo wa jiji la Tanga katika uhalisia bali linabaki katika maneno.

Huu ni ukweli ambao watu wengi hawaufahamu, ushahidi kutoka ndani kabisa ni kwamba serikali haina mpango na wala haitambui uwepo wa jiji hilo ...Kuna mpango wa kuwezesha miji mingine ikuwe zaidi kufika mbali ila Tanga haitofanyiwa lolote la maana.

Nimeishi Tanga miaka ya 90's na nilirudi tena mwaka 2010, kusema ule ukweli hamna cha maana serikali inafanya haswa kweny miundombinu , baadhi ya mambo ni serikali kutupilia mbali jitihada kuwezesha jiji hilo kwa level za juu kumbuka lilikuwa jiji kabla ya Dodoma na Arusha, kitu gani serikali imefanya kuleta tija ya mji huo zaidi ya kupeleka miradi mikubwa Arusha, Dar es salam, Dodoma.

Kutojengwa kwa miundombinu yeyote kwa mda wa miaka 20 na zaidi, ebu fikiria ni miaka zaid ya 20 hakuna hata jengo jipya wakati kaangalie ndani ya Arusha projects kibao na mji unapigwa promotion ya utalii mpaka jengo la wizara ya utalii limepelekwa kule... Ukifanya tathmini utaona kiukanda bandari ya Tanga ipo karibu na ya Mombasa ambayo ingeweza kuleta ushindani ila wapi imekufa mpaka Magufuli ndio amekufa kuifufua miaka kibao.

Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.

Katika miradi ya muendelezo wa majiji kweny miundombinu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Tanga pekee ndio haipo.Huu ni waziri innocent anaonyesha wazi ubaguzi.

Ombi langu: Serikali ishushe hadhi ya mji wa Tanga kwa vile haina mapngo wa kufanya lolote kuasapot mji huo na haipo kweny mipango, ni aibu kuita jiji kwa kweli.

View attachment 2957167
Mkuu caliph ulizaliwa miaka ya tisini primary ukasoma moshi na kurudi kwenu pwani. Mambo ya Tanga umesimuliwa tu na kama umeishi basi ulikuwa mdogo sana huna uelewa. Usidhani sikufahamu humu jamvin
 
Habari ndugu zangu wa JF,

Kwanza niseme ile haki, serikali ya Tanzania haitamabui uwepo wa jiji la Tanga katika uhalisia bali linabaki katika maneno.

Huu ni ukweli ambao watu wengi hawaufahamu, ushahidi kutoka ndani kabisa ni kwamba serikali haina mpango na wala haitambui uwepo wa jiji hilo ...Kuna mpango wa kuwezesha miji mingine ikuwe zaidi kufika mbali ila Tanga haitofanyiwa lolote la maana.

Nimeishi Tanga miaka ya 90's na nilirudi tena mwaka 2010, kusema ule ukweli hamna cha maana serikali inafanya haswa kweny miundombinu , baadhi ya mambo ni serikali kutupilia mbali jitihada kuwezesha jiji hilo kwa level za juu kumbuka lilikuwa jiji kabla ya Dodoma na Arusha, kitu gani serikali imefanya kuleta tija ya mji huo zaidi ya kupeleka miradi mikubwa Arusha, Dar es salam, Dodoma.

Kutojengwa kwa miundombinu yeyote kwa mda wa miaka 20 na zaidi, ebu fikiria ni miaka zaid ya 20 hakuna hata jengo jipya wakati kaangalie ndani ya Arusha projects kibao na mji unapigwa promotion ya utalii mpaka jengo la wizara ya utalii limepelekwa kule... Ukifanya tathmini utaona kiukanda bandari ya Tanga ipo karibu na ya Mombasa ambayo ingeweza kuleta ushindani ila wapi imekufa mpaka Magufuli ndio amekufa kuifufua miaka kibao.

Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.

Katika miradi ya muendelezo wa majiji kweny miundombinu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Tanga pekee ndio haipo.Huu ni waziri innocent anaonyesha wazi ubaguzi.

Ombi langu: Serikali ishushe hadhi ya mji wa Tanga kwa vile haina mapngo wa kufanya lolote kuasapot mji huo na haipo kweny mipango, ni aibu kuita jiji kwa kweli.

View attachment 2957167
Sasa ni Serikali au Tanga ndio mwenye shida?
 
Habari ndugu zangu wa JF,

Kwanza niseme ile haki, serikali ya Tanzania haitamabui uwepo wa jiji la Tanga katika uhalisia bali linabaki katika maneno.

Huu ni ukweli ambao watu wengi hawaufahamu, ushahidi kutoka ndani kabisa ni kwamba serikali haina mpango na wala haitambui uwepo wa jiji hilo ...Kuna mpango wa kuwezesha miji mingine ikuwe zaidi kufika mbali ila Tanga haitofanyiwa lolote la maana.

Nimeishi Tanga miaka ya 90's na nilirudi tena mwaka 2010, kusema ule ukweli hamna cha maana serikali inafanya haswa kweny miundombinu , baadhi ya mambo ni serikali kutupilia mbali jitihada kuwezesha jiji hilo kwa level za juu kumbuka lilikuwa jiji kabla ya Dodoma na Arusha, kitu gani serikali imefanya kuleta tija ya mji huo zaidi ya kupeleka miradi mikubwa Arusha, Dar es salam, Dodoma.

Kutojengwa kwa miundombinu yeyote kwa mda wa miaka 20 na zaidi, ebu fikiria ni miaka zaid ya 20 hakuna hata jengo jipya wakati kaangalie ndani ya Arusha projects kibao na mji unapigwa promotion ya utalii mpaka jengo la wizara ya utalii limepelekwa kule... Ukifanya tathmini utaona kiukanda bandari ya Tanga ipo karibu na ya Mombasa ambayo ingeweza kuleta ushindani ila wapi imekufa mpaka Magufuli ndio amekufa kuifufua miaka kibao.

Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.

Katika miradi ya muendelezo wa majiji kweny miundombinu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Tanga pekee ndio haipo.Huu ni waziri innocent anaonyesha wazi ubaguzi.

Ombi langu: Serikali ishushe hadhi ya mji wa Tanga kwa vile haina mapngo wa kufanya lolote kuasapot mji huo na haipo kweny mipango, ni aibu kuita jiji kwa kweli.

View attachment 2957167
Tanga ni moja ya Mikoa inayopewa kipaombele na Serikali Kisiasa na kiuchumi Sasa mtoa mada unamlaumu nini?
 
Back
Top Bottom