jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Karibu Tanga,ukitaka kula lazima uliwe kidogo!!Hii mikoa ya watu wavivu ndio mizuri kwenda kutafuta maisha maana wajinga hawaoni Fursa,, Dar kila mtu macho kodo anatafuta vipenyo vya pesa. Mwakani nakuja Tanga.