Serikali ishushe hadhi Jiji la Tanga kwa vile haina mpango wa kufanya lolote kusapoti mji huo

Serikali ishushe hadhi Jiji la Tanga kwa vile haina mpango wa kufanya lolote kusapoti mji huo

Habari ndugu zangu wa JF,

Kwanza niseme ile haki, serikali ya Tanzania haitamabui uwepo wa jiji la Tanga katika uhalisia bali linabaki katika maneno.

Huu ni ukweli ambao watu wengi hawaufahamu, ushahidi kutoka ndani kabisa ni kwamba serikali haina mpango na wala haitambui uwepo wa jiji hilo ...Kuna mpango wa kuwezesha miji mingine ikuwe zaidi kufika mbali ila Tanga haitofanyiwa lolote la maana.

Nimeishi Tanga miaka ya 90's na nilirudi tena mwaka 2010, kusema ule ukweli hamna cha maana serikali inafanya haswa kweny miundombinu , baadhi ya mambo ni serikali kutupilia mbali jitihada kuwezesha jiji hilo kwa level za juu kumbuka lilikuwa jiji kabla ya Dodoma na Arusha, kitu gani serikali imefanya kuleta tija ya mji huo zaidi ya kupeleka miradi mikubwa Arusha, Dar es salam, Dodoma.

Kutojengwa kwa miundombinu yeyote kwa mda wa miaka 20 na zaidi, ebu fikiria ni miaka zaid ya 20 hakuna hata jengo jipya wakati kaangalie ndani ya Arusha projects kibao na mji unapigwa promotion ya utalii mpaka jengo la wizara ya utalii limepelekwa kule... Ukifanya tathmini utaona kiukanda bandari ya Tanga ipo karibu na ya Mombasa ambayo ingeweza kuleta ushindani ila wapi imekufa mpaka Magufuli ndio amekufa kuifufua miaka kibao.

Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.

Katika miradi ya muendelezo wa majiji kweny miundombinu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Tanga pekee ndio haipo.Huu ni waziri innocent anaonyesha wazi ubaguzi.

Ombi langu: Serikali ishushe hadhi ya mji wa Tanga kwa vile haina mapngo wa kufanya lolote kuasapot mji huo na haipo kweny mipango, ni aibu kuita jiji kwa kweli.

View attachment 2957167
bila mkoa kujiongoza kirasilimali lazima uzorote. tanga ilitakiwa na ushindani wa kibandari hapo na dar
 
bila mkoa kujiongoza kirasilimali lazima uzorote. tanga ilitakiwa na ushindani wa kibandari hapo na dar
Tanga Ina uchumi mkubwa yaani kwenye kuchangia pesa TRA ni namba 4 sijui hela wanatoa wapi wakati Bandari haitoki hata Bilioni 38 , nadhani ni mpaka wa horohoro.
 
Habari ndugu zangu wa JF,

Kwanza niseme ile haki, serikali ya Tanzania haitamabui uwepo wa jiji la Tanga katika uhalisia bali linabaki katika maneno.

Huu ni ukweli ambao watu wengi hawaufahamu, ushahidi kutoka ndani kabisa ni kwamba serikali haina mpango na wala haitambui uwepo wa jiji hilo ...Kuna mpango wa kuwezesha miji mingine ikuwe zaidi kufika mbali ila Tanga haitofanyiwa lolote la maana.

Nimeishi Tanga miaka ya 90's na nilirudi tena mwaka 2010, kusema ule ukweli hamna cha maana serikali inafanya haswa kweny miundombinu , baadhi ya mambo ni serikali kutupilia mbali jitihada kuwezesha jiji hilo kwa level za juu kumbuka lilikuwa jiji kabla ya Dodoma na Arusha, kitu gani serikali imefanya kuleta tija ya mji huo zaidi ya kupeleka miradi mikubwa Arusha, Dar es salam, Dodoma.

Kutojengwa kwa miundombinu yeyote kwa mda wa miaka 20 na zaidi, ebu fikiria ni miaka zaid ya 20 hakuna hata jengo jipya wakati kaangalie ndani ya Arusha projects kibao na mji unapigwa promotion ya utalii mpaka jengo la wizara ya utalii limepelekwa kule... Ukifanya tathmini utaona kiukanda bandari ya Tanga ipo karibu na ya Mombasa ambayo ingeweza kuleta ushindani ila wapi imekufa mpaka Magufuli ndio amekufa kuifufua miaka kibao.

Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.

Katika miradi ya muendelezo wa majiji kweny miundombinu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Tanga pekee ndio haipo.Huu ni waziri innocent anaonyesha wazi ubaguzi.

Ombi langu: Serikali ishushe hadhi ya mji wa Tanga kwa vile haina mapngo wa kufanya lolote kuasapot mji huo na haipo kweny mipango, ni aibu kuita jiji kwa kweli.

View attachment 2957167
Uko dunia gani eti bandari ya Tanga imekufa? bandari imekarabatiwa kwa bilioni nyingi na mapato yamepañda kwa zaidi ya asilimia 60,na halmashauri mapato yako around bil 16
 
Mawaziri wote wanatumika kisiasa bila ya kujitambua , hawana wanachofanya kule Dodoma miradi inaenda kwa kasi hapo Arusha kutwa miradi inapelekwa.

Uwanja mkubwa bado kituoa cha madini ,jengo la posta ...Huku Tanga miaka karibia 25 hamna hata jengo la floor mbili limejengwa.
Jengo jipya la foor mbili Tanga hakuna? Uko Tanga ipi
 
Ogopa sana kujadili hoja iliyoambatana na Udini ndani yake.

Unasema ulienda Tanga miaka ya 90 then ukaenda 2010

Wakati huo Rais wa Tanzania alikuwa Ali Hassan Mwinyi

Then ulipoenda tena Mwaka 2010 Rais alikuwa Jakaya Mrisho Kikwete

Lakini kwenye maelezo yako unamlaumu Nyerere 🙌

Kwanini hao ambao walikuwa madarakani hawakuweza kuijenga hiyo Tanga?

Awamu hii pekee, Mkoa wa Tanga una Mawaziri zaidi ya 4, vyema hao washirikiane kuinfluence maendeleo ya Mkoa wao badala ya kuendelea kumlaumu Mzee Nyerere

Yaani alipoingiza Udini ndipo alipoharibu umuhimu na mvuto wa hoja yake ambayo kimsingi inamantiki fulani.
 
Huyo ni muongo aliyekubuhu,Kuna apartment pale barabara ya Tatu ya ghorofa nane imejengwa lini?Raskazone pia Kuna ghorofa saba
Kibo hotel pale karibu na shule ya ekenforde imejengwa mwaka gani?

Sasa hizo za kufanya kuhesabu na zikaweza kuhesabika?!
 
Mawaziri wote wanatumika kisiasa bila ya kujitambua , hawana wanachofanya kule Dodoma miradi inaenda kwa kasi hapo Arusha kutwa miradi inapelekwa.

Uwanja mkubwa bado kituoa cha madini ,jengo la posta ...Huku Tanga miaka karibia 25 hamna hata jengo la floor mbili limejengwa.
Yawezekana ni kweli kabisa, kwasababu TANGA hamna kitu pale, hapabadiliki ila kuna mahala umeongea UONGO kishabiki...Rais ambaye alipaswa kuiendeleza sana Tanga ni Hayati Mh. Ali Hassan Mwinyi miaka ya 1985 - 1995

Lakini Pia alikuja JK kwa miaka unayoongelea na aliifanya Pwani karibu yote hasa Bagamoyo kuwa Industrial Areas lakini hauikumbuka Tanga iliyokuwa Baba wa Viwanda Tanzania tena kwa viwanda alivyovijali sana J.K. Nyerere

Cha kushangaza unamtaja Nyerere kwa hoja zako za kidini 🤣🤣🤣
 
Sisi wakazi kiukweli tunashangaa ilikuwaje tukawa jiji..
!
Ni kwa sababu za kihistoria.
Hadi kipindi ilikuwa Jumuia ya Africa Mashariki kuvunjika (late 70’s) mkoa wa Tanga ulikuwa unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi in Tanzania and Over East African countries.

Sasa wakaona walau waukumbe kwa kuutunuku hadhi ya Jiji.
 
Sasa kwa taarifa yako enzi za uongozi wa Mwalimu Nyerere ndipo ambako Tanga ilikuwa kinara kwa kuwa na viwanda vingi kuliko mkoa mwingine wowote nchini.
Tubu kwa Mwenyezi Mungu wako kwa dhambi ya kumchukia mzee wa watu hakuwa na baya.
Acheni chuki za kidini mkokaa mnadanganyana tu.
Ukimchukia mtu sababu ya dini mazuri yake unakuwa huyaoni unayageuza kuwa mabaya.
 
Mbona nasikia ndio mkoa tegemea kwa kupigia kura za ndio chama?
Nasikia Tqnga na Dodoma if not mistaken.
 
Tatizo ubwa.

Mimi nashangaa unakuta mababu walifanyakazi wakajenga,
Miaka hii familia hazijengi zimebaki kubanana kwenye Nyumba za urithi za mababu na kuridhika kabisa.
Ukikuta chakula kinachoandaliwa cha kula familia nzima utashangaa Kwamba hiki watakula wanaume na wanawake.
Lakini sanaridhika na hali hiyo ya mko mmoja au miwili kwa siku.
Hataki kufanya kazi hata.
 
Hii mikoa ya watu wavivu ndio mizuri kwenda kutafuta maisha maana wajinga hawaoni Fursa,, Dar kila mtu macho kodo anatafuta vipenyo vya pesa. Mwakani nakuja Tanga.
 
Ogopa sana kujadili hoja iliyoambatana na Udini ndani yake.

Unasema ulienda Tanga miaka ya 90 then ukaenda 2010

Wakati huo Rais wa Tanzania alikuwa Ali Hassan Mwinyi

Then ulipoenda tena Mwaka 2010 Rais alikuwa Jakaya Mrisho Kikwete

Lakini kwenye maelezo yako unamlaumu Nyerere 🙌

Kwanini hao ambao walikuwa madarakani hawakuweza kuijenga hiyo Tanga?

Awamu hii pekee, Mkoa wa Tanga una Mawaziri zaidi ya 4, vyema hao washirikiane kuinfluence maendeleo ya Mkoa wao badala ya kuendelea kumlaumu Mzee Nyerere
Jiji la tanga lina inadi ndogo sana ya wakazi. Hata msongamano wa magari hakuna. Siku za jpili na jmosi magari machache, sasa mwendo kasi wa nini?
 
Habari ndugu zangu wa JF,

Kwanza niseme ile haki, serikali ya Tanzania haitamabui uwepo wa jiji la Tanga katika uhalisia bali linabaki katika maneno.

Huu ni ukweli ambao watu wengi hawaufahamu, ushahidi kutoka ndani kabisa ni kwamba serikali haina mpango na wala haitambui uwepo wa jiji hilo ...Kuna mpango wa kuwezesha miji mingine ikuwe zaidi kufika mbali ila Tanga haitofanyiwa lolote la maana.

Nimeishi Tanga miaka ya 90's na nilirudi tena mwaka 2010, kusema ule ukweli hamna cha maana serikali inafanya haswa kweny miundombinu , baadhi ya mambo ni serikali kutupilia mbali jitihada kuwezesha jiji hilo kwa level za juu kumbuka lilikuwa jiji kabla ya Dodoma na Arusha, kitu gani serikali imefanya kuleta tija ya mji huo zaidi ya kupeleka miradi mikubwa Arusha, Dar es salam, Dodoma.

Kutojengwa kwa miundombinu yeyote kwa mda wa miaka 20 na zaidi, ebu fikiria ni miaka zaid ya 20 hakuna hata jengo jipya wakati kaangalie ndani ya Arusha projects kibao na mji unapigwa promotion ya utalii mpaka jengo la wizara ya utalii limepelekwa kule... Ukifanya tathmini utaona kiukanda bandari ya Tanga ipo karibu na ya Mombasa ambayo ingeweza kuleta ushindani ila wapi imekufa mpaka Magufuli ndio amekufa kuifufua miaka kibao.

Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.

Katika miradi ya muendelezo wa majiji kweny miundombinu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Tanga pekee ndio haipo.Huu ni waziri innocent anaonyesha wazi ubaguzi.

Ombi langu: Serikali ishushe hadhi ya mji wa Tanga kwa vile haina mapngo wa kufanya lolote kuasapot mji huo na haipo kweny mipango, ni aibu kuita jiji kwa kweli.

View attachment 2957167
Huko Karia atosha....tutakuja mkwakwani.
 
Back
Top Bottom