Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
 
Baba tushapigwa tuendeleee
Mi sijui kama tumepigwa au tumepiga. Ninachokijua ni kuwa Nafasi ya Urais mtu halazimishwi, huomba mwenyewe. Na kazi yake kubwa ni kuwatatulia wananchi matatizo yao. Kama hili la bandari lililowashindwa wengi, Samia anafikiri jibu kalipata, aendelee tu. Asituulize wananchi.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua? Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.
Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea. Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Sa100 lini aliomba ridhaa kuongoza Watanzania nafasi ya Urais?

Unadharau wananchi maoni Yao, unasahau viongozi ni wananchi na wanatoka katika JAMII hiyo hiyo.
 
Sa100 lini aliomba ridhaa kuongoza Watanzania nafasi ya Urais?

Unadharau wananchi maoni Yao, unasahau viongozi ni wananchi na wanatoka katika JAMII hiyo hiyo.
Hivyo S100 yupo sahihi kuleta huu mkataba kwa wananchi waukosoe au hayupo sahihi?
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
nani kakudanganya uliletwa na serikali?, au site upo huo mkataba uliwekwa na serikali, au gazeti gani uliona umetangazwa, sema serikali ijitaidi kuficha mikataba, vizuri ili wazalendo wasiirushe kwa wananchi.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Jinga, aliomba lini alipigiwa kura na nani?
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Tutadukua tu na kuzivujisha , tuko kila mahali .
 
nani kakudanganya uliletwa na serikali?, au site upo huo mkataba uliwekwa na serikali, au gazeti gani uliona umetangazwa, sema serikali ijitaidi kuficha mikataba, vizuri ili wazalendo wasiirushe kwa wananchi.
Kwa mawazo yako, kama mkataba umejadiliwa bungeni live katika bunge la wananchi unategemea nani alikuwa msikilizaji. Sisi kijijini kwetu, wote tuliusikiliza na mbunge wetu alituletea nakala. Sijui mbunge wenu alifanya nini?
 
Kwa mawazo yako, kama mkataba umejadiliwa bungeni live katika bunge la wananchi unategemea nani alikuwa msikilizaji. Sisi kijijini kwetu, wote tuliusikiliza na mbunge wetu alituletea nakala. Sijui mbunge wenu alifanya nini?
mkataba uko site mda mrefu tu, sema wewe umesimuliwa na kusomewa jukwaani na Zungu
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Mkataba uliwekwa hadharani na serikali kwenye chombo gani Cha habari tuambie tukajisomee...

Huu mkataba umevujishwa na Watanganyika wazalendo baada ya kuona nchi inauzwa.
 
Kwa mawazo yako, kama mkataba umejadiliwa bungeni live katika bunge la wananchi unategemea nani alikuwa msikilizaji. Sisi kijijini kwetu, wote tuliusikiliza na mbunge wetu alituletea nakala. Sijui mbunge wenu alifanya nini?
Nakala?
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.

Wananchi wa 1960 si wa 2023, wasomi wameongezeka kuliko.
Unadharau eti wananchi hawawezi kujadili? Seriously?

Hiyo mikataba ya siri ambayo nchi iliongia awamu za nyuma bila wananchi kujua imetufikisha wapi kama nchi? Mingi imekuja gundulika ya kifisadi.

Hii nchi ni ya watanzania na watanzania ndio wenye tanzania, means wanaweza kufanya maamuzi si kuamuliwa.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Uko sahihi kabisa
 
Nani kakwambia serikali imeleta Kwa wananchi wajadili? Sheria aliyotuachia shujaa magufuri ndo zinaibana serikali isiingie mkataba mpaka ipate ridhaa ya bunge. So tutaendelea kuiona sababu itapitia bungeni sio kama ilivyokuwa mwanzo
 
Back
Top Bottom