Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Kwa mawazo yako, kama mkataba umejadiliwa bungeni live katika bunge la wananchi unategemea nani alikuwa msikilizaji. Sisi kijijini kwetu, wote tuliusikiliza na mbunge wetu alituletea nakala. Sijui mbunge wenu alifanya nini?
Bunge ni jengo la wananchi kupeleka wawakilishi wao, lakini wabunge walioko humo ndani hawakupelekwa kwa kura za wananchi, bali kwa maagizo ya Magufuli. Hivyo hao wabunge hawako kutetea wananchi, bali kuhakikisha kila kichatakiwa na serekali kinapitishwa.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Kwani wewe umezaliwa juzi?au umeingia mjini leo?mbona kalibu mikataba yote tumepigwa?au wewe mzazibari?
 
Bunge ni jengo la wananchi kupeleka wawakilishi wao, lakini wabunge walioko humo ndani hawakupelekwa kwa kura za wananchi, bali kwa maagizo ya Magufuli. Hivyo hao wabunge hawako kutetea wananchi, bali kuhakikisha kila kichatakiwa na serekali kinapitishwa.
Toka chaguzi za vyama vingi zianze, kila bunge linapochaguliwa huitwa si la wananchi na rais naye si wa wananchi. Ndio maana sioni maana ya serikali kuleta mikataba kwa wananchi. Waamue wenyewe tu.
 
Hivi nchi ikingia mikataba na nchi zingine ifanyike kwa siri?
Au

Ova
 
Wananchi wa 1960 si wa 2023, wasomi wameongezeka kuliko.
Unadharau eti wananchi hawawezi kujadili? Seriously?

Hiyo mikataba ya siri ambayo nchi iliongia awamu za nyuma bila wananchi kujua imetufikisha wapi kama nchi? Mingi imekuja gundulika ya kifisadi.

Hii nchi ni ya watanzania na watanzania ndio wenye tanzania, means wanaweza kufanya maamuzi si kuamuliwa.
Tofauti ya hao wananchi wa 1960 na hawa wa 2023 ni moja tu. Hawa wa 2023 ni wapigaji kweli kweli kuliko wale wa 1960. Eti kupiga sikuhizi ndio sifa ya kuwa kiongozi. Afadhali wale wa 1960 wametutunzia Rasilimali zetu mpaka leo, kazi yetu ni kuponda mali tu. Hatujui chochote kile. Ni watupu tu.
 
Mi sijui kama tumepigwa au tumepiga. Ninachokijua ni kuwa Nafasi ya Urais mtu halazimishwi, huomba mwenyewe. Na kazi yake kubwa ni kuwatatulia wananchi matatizo yao. Kama hili la bandari lililowashindwa wengi, Samia anafikiri jibu kalipata, aendelee tu. Asituulize wananchi.
Akiwa fisadi itakuwaje?! Kwamba kwa kuwa aliomba ndo afanye anavyotaka. No way.
 
Tofauti ya hao wananchi wa 1960 na hawa wa 2023 ni moja tu. Hawa wa 2023 ni wapigaji kweli kweli kuliko wale wa 1960. Eti kupiga sikuhizi ndio sifa ya kuwa kiongozi. Afadhali wale wa 1960 wametutunzia Rasilimali zetu mpaka leo, kazi yetu ni kuponda mali tu. Hatujui chochote kile. Ni watupu tu.

You mean tofauti ni ethics? Wale wa 1960 ukiwaleta 2023 hawatopiga ?
 
Sa100 lini aliomba ridhaa kuongoza Watanzania nafasi ya Urais?

Unadharau wananchi maoni Yao, unasahau viongozi ni wananchi na wanatoka katika JAMII hiyo hiyo.
Samia alitembea nchi nzima akishirikiana na Magufuli 2015 na 2020, bega kwa bega. Wote wakinadi ilani moja ya maendeleo. Mkuu wake alipotutoka, msaidizi alichukua meli.
Wananchi hawana ujuzi wa mikataba. Tunachotaka watoto wetu waende shule, kupata ajira, usalama, n.k.
 
Samia alitembea nchi nzima akishirikiana na Magufuli 2015 na 2020, bega kwa bega. Wote wakinadi ilani moja ya maendeleo. Mkuu wake alipotutoka, msaidizi alichukua meli.
Wananchi hawana ujuzi wa mikataba. Tunachotaka watoto wetu waende shule, kupata ajira, usalama, n.k.

“Wananchi hawana ujuzi wa mikataba”. Bullshit
 
Ninaimani hata kama watapiga ni kidogo kwa vile hawakufundishwa mbinu za kupiga.

Sasa wasisi wa upigaji ndio hawa wazee wa kipindi hiko. Todauti ni kuwa back then hakukuwa na channels nyingi lakini pia hawakuwa exposed so haikuwa rahis kuwajua.
Two evils doesnt wash abother evil, upigaji ni upigaji tu
 
Sasa wasisi wa upigaji ndio hawa wazee wa kipindi hiko. Todauti ni kuwa back then hakukuwa na channels nyingi lakini pia hawakuwa exposed so haikuwa rahis kuwajua.
Two evils doesnt wash abother evil, upigaji ni upigaji tu
Mmmm, kuna mtu anapiga huku anafikiria kuwa watoto hawana madarasa. Hawa wa sasa ni hatari- Naelewa kwanini China wana adhabu ya kifo kwa wapigaji hawa wa sasa. Nasi tuirudishe hiyo sheria, maana mtu mmoja anaua watu wengi, ni bora kumuua mwenyewe tukaendelea na safari.
 
Huo siyo mkataba uliosainiwa. Huo ni ule uliochakachuliwa na kutafsiriwa kwa Kiswahili ili kuwadanganya wajinga.
Ha ha haaaa! Nipe ule Original. Au unataka wa kiingereza? Nao huo ninao.
 
acheni wapige zao pesa,

mimi toka niwe na ufaham sikuwahi kusikia mzazi yeyote akimuhimiza mtoto wake asome/apate elimu ili ajekua mzalendo,

isipokua nimekua nikisikia watoto wasome ili baadae waje wasaidie familia zao, sasa mnataka watu waliopata hizo nafasi huko serikalini wawafikilie ninyi? labda sio kwa njaa na uhaba wa mali (utajiri)tulizonazo

chamsingi kwa yeyote mwenye uwezo wakusomesha. watoto/ndugu. nk. hakikisha unapambana kusomesha kwasababu wakiingia serikalini, umasikini ni bai bai
 
Toka chaguzi za vyama vingi zianze, kila bunge linapochaguliwa huitwa si la wananchi na rais naye si wa wananchi. Ndio maana sioni maana ya serikali kuleta mikataba kwa wananchi. Waamue wenyewe tu.
Kwani Serekali imeleta mkataba kwa wananchi? Mikataba nchi hii ni siri boss. Kilicholetwa kwa wananchi ni makubaliano na sio mkataba.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Hii haikuletwa ILIVUJISHWA NA WAZALENDO ndio serikali ikaja baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Hujui ulicho andika! Ngoja nikusaidie mambo mawili matatu ili nikupanue ufahamu wako.
Huu Mkataba una vifungu vinavyo zuia mtu yeyote ambaye hajala kiapo kupata, kuusoma na hata kuutolea maoni. Ni Mali ya DP WORLD kwa niaba ya serikali ya Dubai na Serikali ya Tanzania tu.

Sasa, umefika je mikononi mwa watu nje ya hawa nilio wataja?? UME LEAK! Au ukipenda sema wajanja wachache wameutoa makusudi kwa lengo la kuilinda Nchi yao.

Nani amehusika? Mimi na wewe hatujui.
 
Back
Top Bottom