Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Umenikumkusha Joyce Banda yaliyo mkuta kule Malawi
 
Sa100 lini aliomba ridhaa kuongoza Watanzania nafasi ya Urais?

Unadharau wananchi maoni Yao, unasahau viongozi ni wananchi na wanatoka katika JAMII hiyo hiyo.
Elimu yako ni kiwango gani? Hivi mnaona sifa kuwa wajinga? Alivyokuwa anapigwa na vumbi 2020 we ulikuwa hujazaliwa bado? Au ulitaka aje nyumbani kwenu kuomba kura. Muwe mnaona hata haya kuwa wajinga hivyo
 
Elimu yako ni kiwango gani? Hivi mnaona sifa kuwa wajinga? Alivyokuwa anapigwa na vumbi 2020 we ulikuwa hujazaliwa bado? Au ulitaka aje nyumbani kwenu kuomba kura. Muwe mnaona hata haya kuwa wajinga hivyo
Mgombea mwenza wa Sa100 alipokuwa anagombea urais alikuwa nani vile?
 
Elimu yako ni kiwango gani? Hivi mnaona sifa kuwa wajinga? Alivyokuwa anapigwa na vumbi 2020 we ulikuwa hujazaliwa bado? Au ulitaka aje nyumbani kwenu kuomba kura. Muwe mnaona hata haya kuwa wajinga hivyo
Mkuu utaratibu wa kumpata Makamu wa Rais kupitia CCM ni jambo la kujadili pia, liko vibaya mno.

Ila yule wa awamu ya nne na bi mkubwa kuna makubwa kati yao.
 
Mi sijui kama tumepigwa au tumepiga. Ninachokijua ni kuwa Nafasi ya Urais mtu halazimishwi, huomba mwenyewe. Na kazi yake kubwa ni kuwatatulia wananchi matatizo yao. Kama hili la bandari lililowashindwa wengi, Samia anafikiri jibu kalipata, aendelee tu. Asituulize wananchi.
Samia aliomba lini uraisi?
 
uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.
Sawa mlikataa ujamaa, lakini Sasa Hata kujitegemea hamtaki? Ndege pori wenyewe wanajitegemea. Inakuwaje sisi tushindwe kujitegemea Hata kwa mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wetu? Kwa nini?
 
unaelewa maana ya bunge? Ulitegemea watanzania milioni 61 serikali ingewakusanya wapi. Ni kwamba hamuelewi au mnafanya makusudi kujifanya hamnazo?
Bunge ulinda maslai ya watawala Kama sehemu ya wanufaika,ubunge ni biashara
 
Wapumbavu wengine bwana,ww kweli ni mfupi na unaongea kabisa kudhihirisha UFUPI wako,Hv mwananchi ni nani,ww kama uliishia darasa la kwanza ni vzr ukawa unakaa kimya maana huijui Tanzania kabisa na hujua unachoshauri.Ndio maana tunasema hakuna mtu atamtusi mtu isipokuwa mtu atajitusi mwenyewe kwa matendo yake.na ww hujielewi kabisa.
Kusoma sana ni uoga wa maisha. Huoni wasomi wenye PhD wakipewa Ubunge au nafasi serikalini wanavyozungumza utumbo. Mfano Prof Kabudi, Mkandala n.k. Warioba anazungumza sasa hivi akiwa nje ya ulingo, alipokuwa ulingoni ni utumbo mtupu.
 
Back
Top Bottom