Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Serikali isilete tena hoja za mikataba kwa wananchi

Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Wewe ni dikteta uchwara.
 
Hujui ulicho andika! Ngoja nikusaidie mambo mawili matatu ili nikupanue ufahamu wako.
Huu Mkataba una vifungu vinavyo zuia mtu yeyote ambaye hajala kiapo kupata, kuusoma na hata kuutolea maoni. Ni Mali ya DP WORLD kwa niaba ya serikali ya Dubai na Serikali ya Tanzania tu.

Sasa, umefika je mikononi mwa watu nje ya hawa nilio wataja?? UME LEAK! Au ukipenda sema wajanja wachache wameutoa makusudi kwa lengo la kuilinda Nchi yao.

Nani amehusika? Mimi na wewe hatujui.
Du, Mwenzangu ndio umepotea zaidi. Hebu msikilize Johari akitoa maoni yake mbele ya viongozi wa dini juu ya mkataba wa DP World na TZ.
Alihoji kama wote wanao ule mkataba, kwa vile alikuja na nakala ili awpe kila mmoja. Nao wakajibu kuwa wanao mkononi. Sasa kama ni siri ilikuwaje atake kuwapa huo mkataba. Pole ndugu!
 
Kwani Serekali imeleta mkataba kwa wananchi? Mikataba nchi hii ni siri boss. Kilicholetwa kwa wananchi ni makubaliano na sio mkataba.
Haya makubwa tena! Na hapo ndio kwenye ukakasi. Maana asilimia zaidi ya 80 ya wanaojadili wanazungumzia mkataba. Pengine hapo ndio pakuanzia kuelimishana hasa kwa wadau ambao ni wananchi. Ukakasi!
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Bora tuendelee kusainia pasipojulika tena kwa kificho haswa!!
 
Du, Mwenzangu ndio umepotea zaidi. Hebu msikilize Johari akitoa maoni yake mbele ya viongozi wa dini juu ya mkataba wa DP World na TZ.
Alihoji kama wote wanao ule mkataba, kwa vile alikuja na nakala ili awpe kila mmoja. Nao wakajibu kuwa wanao mkononi. Sasa kama ni siri ilikuwaje atake kuwapa huo mkataba. Pole ndugu!
Haya mambo unatakiwa uwe unajua toka Mwanzo ulivyo kuwa. Kuvuja kwa mkataba kuliichanganya serikali, kwanza hawakujua umuvuja kwa kiasi gani, pili Nani amevujisha...... ! Ule mkataba una articles unao ufunga usiingie kwa mtu yeyote ambaye hajaapa kutunza Siri juu ya mkataba ule. Sababu ni nyingi lakini kubwa ni kwasababu ni mkataba Wa kijinga zaidi kupata kutokea Duniani.
 
Samia alitembea nchi nzima akishirikiana na Magufuli 2015 na 2020, bega kwa bega. Wote wakinadi ilani moja ya maendeleo. Mkuu wake alipotutoka, msaidizi alichukua meli.
Wananchi hawana ujuzi wa mikataba. Tunachotaka watoto wetu waende shule, kupata ajira, usalama, n.k.
Mgombea mwenza wa Sa100 alikuwa nani kama aligombea Urais 2020?
 
Hivyo S100 yupo sahihi kuleta huu mkataba kwa wananchi waukosoe au hayupo sahihi?
Avunje makubaliano alosaini kabla ya kutuletea kiinimacho tujadili.

Huwezi Saini bila kusoma, halafu ukiambiwa Kuna tatizo unastuka.
 
Avunje makubaliano alosaini kabla ya kutuletea kiinimacho tujadili.

Huwezi Saini bila kusoma, halafu ukiambiwa Kuna tatizo unastuka.
Kwani ameshtuka?
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Safi sana.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.

..mikataba inaweza kuvuja.

..na kama ni mibovu lawama zitakuwa kubwa zaidi.

..ushauri mzuri zaidi ni kusaini mikataba inayolinda maslahi ya nchi, na kusikiliza na kuheshimu maoni ya wananchi.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Huo ndio ukweli, Watanzania wanatakiwa wapewe tu habari za matukio ya Ubakaji na ajali inatosha
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Ni takwa la kikatiba lazima iletwe kwa wananchi kama ilivyofanya huo wa Bandari ambapo mjadala umekwenda vizuri na serikali imepata kujua hofu ya wananchi? Lazima iendelee kuletwa ili iwe inajadiliwa.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Wapumbavu wengine bwana,ww kweli ni mfupi na unaongea kabisa kudhihirisha UFUPI wako,Hv mwananchi ni nani,ww kama uliishia darasa la kwanza ni vzr ukawa unakaa kimya maana huijui Tanzania kabisa na hujua unachoshauri.Ndio maana tunasema hakuna mtu atamtusi mtu isipokuwa mtu atajitusi mwenyewe kwa matendo yake.na ww hujielewi kabisa.
 
Nilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?

Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.

Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.

Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Hivi kule Rwanda walipeleka mkataba wa DP World ktk bunge lao? Umenena vyema, watanzania hawa bado sana kuelewa mambo hayo, badala yake wanabaki kufuata mkumbo km nyumbu, wanatumiwa na wapinga maendeleo wenye nia ya kumkwamisha Rais. Serikali ishughulike na mambo hayo wananchi waelezwe tu ufanisi wa bandari. Kiwango cha uelewa cha watu wetu bado kipo chini sana, watakuchelewesha sana mh. Rais wetu.
 
Back
Top Bottom