peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Umenikumkusha Joyce Banda yaliyo mkuta kule MalawiNilichokigundua ni kwamba ni kosa kubwa sana kwa serikali kuwatupia hoja ya mikataba kama hili la Bandari kwa wananchi eti wajadili na kutoa ushauri. Hili ni kosa kubwa sana kwa vile mikataba kama hii na wananchi ni mbingu na Ardhi. Mwananchi atashauri vipi kitu asichokijua?
Mpinzani hata huyo msomi wa sheria ataishauri vipi serikali wakati anataka kuchukua Dola. Sijawataja walaji wa bandari.
Rais uliomba ridhaa ya kuiongoza nchi ili uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.
Ukiteleza ni lako na wananchi wako. Maana hii ndio kazi uliopewa.
Elimu yako ni kiwango gani? Hivi mnaona sifa kuwa wajinga? Alivyokuwa anapigwa na vumbi 2020 we ulikuwa hujazaliwa bado? Au ulitaka aje nyumbani kwenu kuomba kura. Muwe mnaona hata haya kuwa wajinga hivyoSa100 lini aliomba ridhaa kuongoza Watanzania nafasi ya Urais?
Unadharau wananchi maoni Yao, unasahau viongozi ni wananchi na wanatoka katika JAMII hiyo hiyo.
jinga mamako kuzaa pumbavuu km weweJinga, aliomba lini alipigiwa kura na nani?
Mgombea mwenza wa Sa100 alipokuwa anagombea urais alikuwa nani vile?Elimu yako ni kiwango gani? Hivi mnaona sifa kuwa wajinga? Alivyokuwa anapigwa na vumbi 2020 we ulikuwa hujazaliwa bado? Au ulitaka aje nyumbani kwenu kuomba kura. Muwe mnaona hata haya kuwa wajinga hivyo
Mkuu utaratibu wa kumpata Makamu wa Rais kupitia CCM ni jambo la kujadili pia, liko vibaya mno.Elimu yako ni kiwango gani? Hivi mnaona sifa kuwa wajinga? Alivyokuwa anapigwa na vumbi 2020 we ulikuwa hujazaliwa bado? Au ulitaka aje nyumbani kwenu kuomba kura. Muwe mnaona hata haya kuwa wajinga hivyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mgombea mwenza wa Sa100 alipokuwa anagombea urais alikuwa nani vile?
Samia aliomba lini uraisi?Mi sijui kama tumepigwa au tumepiga. Ninachokijua ni kuwa Nafasi ya Urais mtu halazimishwi, huomba mwenyewe. Na kazi yake kubwa ni kuwatatulia wananchi matatizo yao. Kama hili la bandari lililowashindwa wengi, Samia anafikiri jibu kalipata, aendelee tu. Asituulize wananchi.
Sawa mlikataa ujamaa, lakini Sasa Hata kujitegemea hamtaki? Ndege pori wenyewe wanajitegemea. Inakuwaje sisi tushindwe kujitegemea Hata kwa mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wetu? Kwa nini?uwatatulie matatizo wananchi leo kama unadhani mkataba utawasaidia watanzania, endelea.
Bunge ulinda maslai ya watawala Kama sehemu ya wanufaika,ubunge ni biasharaunaelewa maana ya bunge? Ulitegemea watanzania milioni 61 serikali ingewakusanya wapi. Ni kwamba hamuelewi au mnafanya makusudi kujifanya hamnazo?
Umelaaniwa wewe sisterjinga mamako kuzaa pumbavuu km wewe
Huyu naye hatoboiUmenikumkusha Joyce Banda yaliyo mkuta kule Malawi
Kusoma sana ni uoga wa maisha. Huoni wasomi wenye PhD wakipewa Ubunge au nafasi serikalini wanavyozungumza utumbo. Mfano Prof Kabudi, Mkandala n.k. Warioba anazungumza sasa hivi akiwa nje ya ulingo, alipokuwa ulingoni ni utumbo mtupu.Wapumbavu wengine bwana,ww kweli ni mfupi na unaongea kabisa kudhihirisha UFUPI wako,Hv mwananchi ni nani,ww kama uliishia darasa la kwanza ni vzr ukawa unakaa kimya maana huijui Tanzania kabisa na hujua unachoshauri.Ndio maana tunasema hakuna mtu atamtusi mtu isipokuwa mtu atajitusi mwenyewe kwa matendo yake.na ww hujielewi kabisa.
Katiba ilimpa Tiki, Ukitaka mgombea mwenza subiri 2025.Mgombea mwenza wa Sa100 alikuwa nani kama aligombea Urais 2020?
Si alishasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Sasa unataka usikie nini?Hutaki bunge lijadili mikataba na kuwashirikisha wananchi?! Una tofauti gani na Magufuli?