GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Kwamba tamko la maaskofu linawanyima amani msile tende na halua kutoka kwa mwarabu?Kwani wapi nimezungumzia habari za DP world katika andiko langu? Acha kukurupuka ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba tamko la maaskofu linawanyima amani msile tende na halua kutoka kwa mwarabu?Kwani wapi nimezungumzia habari za DP world katika andiko langu? Acha kukurupuka ndugu yangu
Nani ana jeuri ya kuwajibu? Kwani wamenyamaza kwa kwa kupenda?Hakuna aliyewajibu toka wameanza mitandaoni, wakaja mikutanoni, sasa wameanza makanisani, waingie na barabarani. Wawaambie na taasisi yao ya bakwata iwasaidie kusambaza waraka misikitini.
Watu hatuna muda na ujinga.
Wanatakiwa warudishe Dinari za Mwarabu,hamna namna!Mtajuta kula hela za Bwana wenu Mwarabu.
Hawana huo uwezo.Tulifikirie hili swala bila jazba kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi. Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni jambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia, hiyo inatosha. Serikali iingize mkono Kanisani. That is my robotic advice. Vinginevyo sasa, tutakuwa na serikali ngapi?
Hahahahaha.Nani ana jeuri ya kuwajibu? Kwani wamenyamaza kwa kwa kupenda?
Mama akienda mahali, intelijensia inasambazwa, mabango hata ya siri yanaibuliwa na kupokwa.
Wanaume hawakutaka kuwapa tabu wana-intel, wakatangaza wazi watasoma waraka na hakuna aliyezuia.
Lingekuwa jambo la wapinzani kwanza wangekutana na virungu vya polisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumuiya ndogondogo ni zaidi ya hapo kanisani unapo paona.Tulifikirie hili swala bila jazba kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi. Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni jambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia, hiyo inatosha. Serikali iingize mkono Kanisani. That is my robotic advice. Vinginevyo sasa, tutakuwa na serikali ngapi?
Kondoo wameenda kuimbIshwa kwaya mpya ya DP-WORLD.Halafu ikawaje
Leo kondoo wameenda kuimbishwa kwaya mpya ya DP-WORLD.Jumuiya ndogondogo ni zaidi ya hapo kanisani unapo paona.
Mnamiliki vyombo vya usalamaHakuna aliyewajibu toka wameanza mitandaoni, wakaja mikutanoni, sasa wameanza makanisani, waingie na barabarani. Wawaambie na taasisi yao ya bakwata iwasaidie kusambaza waraka misikitini.
Watu hatuna muda na ujinga.
Hizo mbinu za kishamba itawacostInatakiwa polisi Kila juma2 wawe wanazagaa kwenye makanisa ya kikatoliki kupiga doria
Mama katowa majibu jana kwa vitendo, mapoyoyo hamkumuelewa.Mnamiliki vyombo vya usalama
Tunajua nini maana ya kusema mtatujibu.
Hizo ndo zinaitwa pumba tena mbichi.Mama katowa majibu jana kwa vitendo, mapoyoyo hamkumuelewa.
Kwa mara ya kwanza, toka aisambaratishe bodi ya wakatoliki mwaka 2021, TPA wamepeleka faida serikalini.
Madudu yaliyoibuliwa bandarini na Rais Samia mbona hayasemwi?
Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao. Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba...www.jamiiforums.com
Leo kanisani kondoo wameimbishwa kwaya mpya ya DP-WORLD.Hizo ndo zinaitwa pumba tena mbichi.
Yaani serikali ilikasimu Wakatoliki kuendesha Bodi ya TPA? Nchi hii ina siri nyingi sana😄
Mmetoa vikosi vyote mpaka vya akiba lakini wapi.Leo kanisani kondoo wameimbishwa kwaya mpya ya DP-WORLD.
Unayo habari?
Mpaka pesa za Mwarabu wazitapike.Mtajuta kula hela za Bwana wenu Mwarabu.
Hii ndyo shida kubwa. Balancing act na hekima inatakiwa; maana mfano huyu Sheikh anazungumzia msikitini halafu hana hata hoja yenye kuonyesha faida ya mkataba badala yake jamani Rais ni mwenzetu Muislam 😴
Hatimaye kwaya ya leo imemtoa nyoka pangoni mapema Sana.Leo kanisani kondoo wameimbishwa kwaya mpya ya DP-WORLD.
Unayo habari?