Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Mnajisifu kuua huku mnajinadi watu wa MunguKama "bwana yule" alivyoonesha dharau kubwa sana kwa Kanisa na viongozi wake katika mapambano dhidi ya Covid19......tena akiwa kanisani! Sote tunajua alipo kwa sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app