Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wanachokifanya kusoma waraka huu ni sahihi au sio sahihi?
Ushauri anaoutoa mwandishi kwamba serikali iingilie Kati usisomwe ni sahihi au siyo sahihi?
🙏🙏🙏🙏
Buti haliwezi ingizwa Kanisani, hiyo ni Moja.
Hivyo ushauri wa Mtoa mada hauwezikani.
Wanachokifanya kinaweza kuwa sahihi au kisiwe sahihi. Itategemea na wanafanya hivyo Kwa manufaa ya Nani.
Kama ni Kwa manufaa ya waumini na Watanzania ni Sahihi.